Aiseeh hiyo kitu kupaka mdomoni ilinishinda kabisa, nilishawahi kujaribu kwa kufata mkumbo wa marafiki lakini niliishia kujifuta tuu. Kwanza nikikutana na mtu akanitazama uwiii najiskia vibaya naona kama nimekuwa kituko fulani.
Mie mafuta na wanja kwangu burudani kabisa ila wakipaka wenzangu naona wanapendeza kwelikweli, labda ni kwasababu sio kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu.