Ushauri kwa wafanya mazoezi

Ushauri kwa wafanya mazoezi

Hiyo namba 4 ni dalili ya stable angina, mm ningeshauri aende hospitali kwa uchunguzi coz hata akipipa gym bado hali itaendelea kuwepo tu
 
1: Kama unaamka asubuhi kwenda kukimbia na kwasababu ubongo unakuwa umekauka unashauliwa kunywa maji ili kuuchangamsha ubongo na usipo fanya hivyo ukienda mazoezini unakuwa mvivu kufanya mazoezi.

2: Unapofanya mazoezi usitumie viatu vyenye soli ngumu kwasababu ukitumia kiatu chenye soli ngumu migumu inakuwa inakaza na inafikia wakati misuli ya miguuni inaanza kuuma.
kwahiyo kiatu chenye soli inayo nesa ndio kinafaa zaidi kwa kujenga misuli.

3: Unapofanya mazoezi usihemee mdomoni
kwani kwa kufanya hivyo kwa muda mrefu inaweza kukusababishia ugonjwa wa pumu.

4: Kama unakimbia unasikia kichomi kwenye moyo Mara kwa Mara jaribu uwe unaenda jimu kunyenyua vitu vizito kwani kwa kufanya hivyo itakusaidia kukaza misuli ya kwenye moyo.

5: na Kama unapenda kunyenyua vitu vizito ukifika zoezini usianze kunyenyua vitu vizito moja moja bila kufanya mazozi madogo ya kuupasha mwili. kwani kwa kufanya hivyo kwa muda mrefu inaweza kusababishia matatizo ya mfumo wa upumuaji.


6: Ukitoka kwenye mazoezi usile kitu chochote nyenye sukari ndani ya masaa mawili kwani kwa kufanya hivyo utakuwa umeharibu zoezi lote la siku nzima.

7: mwisho usifanye mazoezi kila Siku ili misuli iweze kupumnzika

Ubongo kumbe huwa unakauka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Baioloji baiolojiani
 
Maximo alikuwa anawapa miwa akina Ngassa na Nditi baada ya mazoezi!
 
Ndugu unakiwango gani cha elimu kuhusiana na physical trainning.
Nafanya sana mazoezi na huo ushauri nimeukusanya kutoka kwa wataalamu wa ambao huwa nafanya nao mazoezi pamoja na kusoma makala za afya.
 
Nafanya sana mazoezi na huo ushauri nimeukusanya kutoka kwa wataalamu wa ambao huwa nafanya nao mazoezi pamoja na kusoma makala za afya.
kumbe unatumia ujanja ujanja tu si daktari. shikamooo Mtanzania.
 
kumbe unatumia ujanja ujanja tu si daktari. shikamooo Mtanzania.
Hiyo mada ya kuwashauri wafanya mazoezi sijawahi kuiona humu jf na wakati huo hili jukwaa linamadokta kibao na kila siku wanakuja mada jinsi kuongeza nguvu za kiume.

Nikaona sii vibaya nikashare na watu kile ninacho kifahamu kuhusu mazoezi

Halafu kaa ukitambua sio kukifahamu kila kitu hadi uende shuleni.
 
Kwa wiki nifanye zoezi siku ngapi na nipumzike siku ngapi
Kwa wiki unashauliwa ufanye mazoezi anagalau Mara 3 ambayo yatakufanya utoke jasho. na kwa siku unapofanya mazoezi isiwe chini ya dakika 30. na isizidi zaidi saa 1 zaidi ya hapo unakuwa unautesa mwili.

Sent from my itel it1556 using JamiiForums mobile app
 
Kwa wiki unashauliwa ufanye mazoezi anagalau Mara 3 ambayo yatakufanya utoke jasho. na kwa siku unapofanya mazoezi isiwe chini ya dakika 30. na isizidi zaidi saa 1 zaidi ya hapo unakuwa unautesa mwili.

Sent from my itel it1556 using JamiiForums mobile app
Dokta. Lisizidi lisaa limoja kweli?
 
Dokta. Lisizidi lisaa limoja kweli?
Kama MTU anaye fanya kweli kweli saa 1 ni muda mwingi sana.
Na kama MTU unategea kufanya mazoezi unaweza ukafanya zoezi hata masaa 4 na usichoke.
 
Kwa wiki unashauliwa ufanye mazoezi anagalau Mara 3 ambayo yatakufanya utoke jasho. na kwa siku unapofanya mazoezi isiwe chini ya dakika 30. na isizidi zaidi saa 1 zaidi ya hapo unakuwa unautesa mwili.

Sent from my itel it1556 using JamiiForums mobile app
Mim kwa wiki uwa najitaid nafanya mara 5, mazoezi mepesi tu kama kukimbia, push up na kukata tumbo ila sibebi vyuma
 
Mim kwa wiki uwa najitaid nafanya mara 5, mazoezi mepesi tu kama kukimbia, push up na kukata tumbo ila sibebi vyuma
Hata mm kwa wiki nafanya Mara 5
Ila push up huwa sizipendelei sana kwasabu ilifikia wakati nikaona push up hazinichoshi saizi huwa nanyanyua chuma kidogo na kupiga skwati kwa wingi.
 
Back
Top Bottom