hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,916
- Thread starter
- #41
Hauwezi kupata madhara yoyote ila Siku zote usifanye mazoezi ambayo yatakufanya utoke na jasho.mi nafanya mazoezi kila Sikh bila kupumzika,nawez pata madhara
Kwa mfano siku moja unaweza ukafanya mazoezi ya kujinyosha viungo tu.
Na usifanye zoezi lingine.