100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
- Thread starter
-
- #21
Vyema mkuu, wachahe kama wewe, kuna vijana anaiga kila kitu anachokiona, kuanzia uvaaji hadi lifestyle.Mimi ni msikilizaji mzuri sana wa hizo nyimbo na kila weekend lazima niingie viwanja either Elements, SamakiSamaki au kitambaa cheupe na sivuti sigara, bangi wala sinywi pombe.
Anayewafwatisha wasanii na tabia za watu wa social media ni mjinga.
Kwa hiyo huwa unaenda kufanya nini kama hivyo vyote hutumii?Mimi ni msikilizaji mzuri sana wa hizo nyimbo na kila weekend lazima niingie viwanja either Elements, SamakiSamaki au kitambaa cheupe na sivuti sigara, bangi wala sinywi pombe.
Anayewafwatisha wasanii na tabia za watu wa social media ni mjinga.
1996 hadi 1999.
Daaah mzee kweli hujui?Kwa hiyo huwa unaenda kufanya nini kama hivyo vyote hutumii?
Uchane na msambaNapenda nikilewaa
Nipande juu ya mezaaaaa
Minjonjooo
Natema kingerezaaa [emoji2089][emoji2089][emoji100]
1996 hapo ni wale vijana wamejitafuta wamejipata(kwa mawazo yao) na crown yake na pensi humuelezi kitu.Awee
Em tutoe
Yani tunalipa mpaka PAYE bado tuige kina Zuchu?
Upuuzi huo sina.
Kama ttz ni pombe kwann usikate mzizi wa fitina kwa kuishauri serikali isitishe uzalishaji wa bidhaa hiyoSio kwamba mnafuatiliwa maisha yenu, ni ile kukumbushana kwamba tupo katika nyakati mbaya, mtandao wa business insiders africa umetoa takwimu Tanzania ni nchi ya pili bara la Africa kwa kunywa pombe.
Hivyo lazima tunakumbushana, ukiona mtu anakumabia ujue anakupenda na kukutakia mema.
Nadhani wauzaji wapewe leseni maalumu za kuuza mvinyo, na ile haiuzwi kwa walio chini ya miaka 18 waachane nayo, 18 yrs ni mtoto huyo, wasogeze at least 22 hapo, na store yeyote wakiuza pombe chini ya umri, mfanya biashara anyang'anywe leseni.Kama ttz ni pombe kwann usikate mzizi wa fitina kwa kuishauri serikali isitishe uzalishaji wa bidhaa hiyo
Kwenye suala la umri wafanyabiashara hawajali kabisa. Kuna sehemu niliingia nikakuta watoto wa shule wanabet katika ile mashine ya kuingiza shilingi 200 mpaka nikamwambia mhusika wa pale asiwaruhusu watoto kucheza kamariNadhani wauzaji wapewe leseni maalumu za kuuza mvinyo, na ile haiuzwi kwa walio chini ya miaka 18 waachane nayo, 18 yrs ni mtoto huyo, wasogeze at least 22 hapo, na store yeyote wakiuza pombe chini ya umri, mfanya biashara anyang'anywe leseni.
Wanatuonea wivu kwa sababu hatuna kisukari mkuu.Safari hii vijana shughuli tunayo. Kila tunachogusa lazima itafutwe angle ya kutusimanga. Mbona kuna mafaza na mabroo kibao tu ni walevi mbwa. Anyway ushauri mzuri
ππ nehiiiikuanzia 97 ni gen zπ AKA kina chinno
Hii ni gani? Mbona siijuiKuna ile nyingine anakuambia ''eti nilale nimlalie nani? wakati pesa nimezipata ukubwani...''
tajiri, huna adui, tajiri
google uoneπππ nehiiii
2000s ndio generation Z
Tulia usimangwe!Late 90s ni gani?