Huwa hakanywi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hakanywi
mm nimeacha mkuu, pombe ni ukichaaUkilewa kalale
Huyo nae ni mlevi?Huwa hakanywi
Mlevi akilewa eti anaanza kulia unamuuliza unalia nini eti kaona mende yaan mende ndio unakufanya unalia?mm nimeacha mkuu, pombe ni ukichaa
Mwaka huu nimeanza hili ila kila nikiangalia friji limejaa bia nakwazika mno🤔Alcohol free since January 1 2024.
Free tena wapi hio 2024?Alcohol free since January 1 2024.
Hahaha kwa hio unagambeka bia ngapi kwa siku?Mwaka huu nimeanza hili ila kila nikiangalia friji limejaa bia nakwazika mno🤔
Mlevi akishalewa anaingiwa na ukichaa kwa muda utayaoga usiyoyatarajia matapishi yake yote yatakuangukia weweHiyo ndio tofauti ya mnywaji na mlevi
Kwangu mimi (si lazima iwe hivyo kwa kila mtu) hii inatakiwa ufanye huku friji limejaa bia.Mwaka huu nimeanza hili ila kila nikiangalia friji limejaa bia nakwazika mno🤔
Ndiomaana tunashauri kwamba kunywa lakini usileweMlevi akishalewa anaingiwa na ukichaa kwa muda utayaoga usiyoyatarajia matapishi yake yote yatakuangukia wewe
Mwaka huu nimeanza hili ila kila nikiangalia friji limejaa bia nakwazika
hizo zitupe utakuwa umeanza safari moja kwenda nyingine ukisema uzimalizie tu ndo basi,Mwaka huu nimeanza hili ila kila nikiangalia friji limejaa bia nakwazika mno🤔
2,3 mpaka 4Hahaha kwa hio unagambeka bia ngapi kwa siku?
Salute 🫡 kwako mkuuKwangu mimi (si lazima iwe hivyo kwa kila mtu) hii inatakiwa ufanye huku friji limejaa bia.
Kama unafanya huku huna bia/pombe, utajuaje kuwa hunywi pombe kwa sababu umechagua kutokunywa, na si kwamba umeishiwa tu pombe?
Mimi ninavyosema nimeacha kunywa, nina mini bar ina Scotch Whisky, Vodka, Gin, Tequila na Wine.
Halafu nina friji la garage lina bia kibao.
Na sijazigusa mwaka mzima.
Lakini zipo, siku nikipata mgeni anakunywa nitampa anywe.
Na kuwapo kwa pombe hizo mwaka mzima ndani ya nyumba, bila ya mimi kuzigusa, na bila ya mimi kulazimishwa na mtu au kitu chochote nisinywe, ndiyo uthibitisho kwangu kwamba nimeamua kukataa mwenyewe kunywa pombe.
mimi nina mwezi sasa lengo ni kuacha kbs bdo niko safarini, ila mm nilimwaga na hata walioacha kabisa wanasemaga hivyoWewe uliishia wapi kwenye safari yako ya tungi ulimwaga pombe chini na kustaafu rasmi?