Ushauri kwa Walevi : Pombe mbaya jamaa jana nimetukanwa sana na Mlevi

Ushauri kwa Walevi : Pombe mbaya jamaa jana nimetukanwa sana na Mlevi

Mjumbe anatembea na mke wake mlevi akishalewa hachagui wa kumtukana
huyo mlevi ni mpumbavu ni kawaida yake akilewa kama anakujua anakutukana na kuanza kudai unatembea na mke wake sasa leo kala makofi ya kutosha na kapelekwa kituoni kesho nafikiri atanza kufuatilia kesi yake akiwa timamu
 
huyo mlevi ni mpumbavu ni kawaida yake akilewa kama anakujua anakutukana na kuanza kudai unatembea na mke wake sasa leo kala makofi ya kutosha na kapelekwa kituoni kesho nafikiri atanza kufuatilia kesi yake akiwa timamu
Hahaha kachezea mitama ya kutosha
 
leo nimekuta mahali mlevi anakula kelebu za kutosha...

kisa kalewa kisha namfuata mjumbe na kuanza kutukana eti mjumbe achane na familia yake(anahisi anamegewa) ikumbukwe jamaa ni wa chadema jamaa alinyanyuka na kumpiga kelebu za kutosha kumbe bana jama akishalewa ana ropoka kwa mtu yoyote eti anatembea na mke wake
[emoji23][emoji23]
 
Walevi hawa hawa ambao hawapoteagi njia ya kufika nyumbani kwao au?
Ulishawahi kuona mlevi kapotea nyumbani kwake?
Mlevi akiingià nyumba si yake huyo alimnywea pombe huyo mwenye nyumba hasa akiwa mwanamke.
 
Back
Top Bottom