Ushauri kwa Walevi : Pombe mbaya jamaa jana nimetukanwa sana na Mlevi

Mjumbe anatembea na mke wake mlevi akishalewa hachagui wa kumtukana
huyo mlevi ni mpumbavu ni kawaida yake akilewa kama anakujua anakutukana na kuanza kudai unatembea na mke wake sasa leo kala makofi ya kutosha na kapelekwa kituoni kesho nafikiri atanza kufuatilia kesi yake akiwa timamu
 
huyo mlevi ni mpumbavu ni kawaida yake akilewa kama anakujua anakutukana na kuanza kudai unatembea na mke wake sasa leo kala makofi ya kutosha na kapelekwa kituoni kesho nafikiri atanza kufuatilia kesi yake akiwa timamu
Hahaha kachezea mitama ya kutosha
 
[emoji23][emoji23]
 
Walevi hawa hawa ambao hawapoteagi njia ya kufika nyumbani kwao au?
Ulishawahi kuona mlevi kapotea nyumbani kwake?
Mlevi akiingià nyumba si yake huyo alimnywea pombe huyo mwenye nyumba hasa akiwa mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…