Ushauri kwa wamiliki wa HILL WATER

Ushauri kwa wamiliki wa HILL WATER

Habarini za Usiku ndugu Zangu poleni na Majukumu ya kazi ya wiki nzima huku tukisubiri bia za Bure kutoka kwa Konda boy

Nirudi kwenye mada, Hill Water mliingia vizuri sana kwenye soko mkapindua pindiua woote waliokuepo, mkawa nyinyi tuuuu, si masafi, si uhai, si Kili mkagaragazaaaa

Mmeongeza Tshs.100 tu kufanya 600, mmejiua Wenyewe, mmejizika, mtapotea kwenye soko, muulizen Uhai alipoongeza 100 ikawa 600 alijuta na Masafi ikatake over soko mpaka mkaja kuishinda.

Kuna mwingine kaingia sokoni CANADIAN PURE Tshs 500 tu, huyu atakua mzikaji wenu

Huu ni ushauri tu mnaweza kuuchukua au kiuacha

Usiku mwema


Naambatisha picha kwa maelezo zaidiView attachment 1052563

Mtaani kwetu mbona wanauza 500 tuu.. itakuwa maduka ya kwenu how come
 
Canadian pure maji yao ni mazuri sana hayana zengwe.....uhai mengi yamechakachuliwa ukiyafungua yakalala siku mbili yanachacha. Yanakuwa na harufu na ladha kama yamewekwa konyagi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hill water 600 Tamaaa zitawaponza ki ukweli walinishika hata mimi nikiagiza mtu namwambia Aulizie Hill water akikosa ndio alete Masafi sasa kama wamejifanya wanaijua hela wameweka 600 Hongera yao kwa kujiamini...Mwenye BEI yake ni Kilimanjaro Tu hawa wengine ni 500 kwa nusu lita ukiongeza hata 50 hupati kitu.
 
Mkemia Mkuu wa Serikali ebu tuma Vijana wako Mapinga wakakague kiwanda cha Maji ya Hill ,Ebwana Tangia Juzi nakunywa haya maji yana Chumvi balaa ,ebu ibuka kwa kustukiza upime PH na contents nyingine kama zipo sawa,maji niliyonunua ni ya Hill kwasababu yalishushwa kwenye gari ya Hill huku mimi naona nikaagiza moja nikanywa.
 
Habarini za Usiku ndugu Zangu poleni na Majukumu ya kazi ya wiki nzima huku tukisubiri bia za Bure kutoka kwa Konda boy

Nirudi kwenye mada, Hill Water mliingia vizuri sana kwenye soko mkapindua pindiua woote waliokuepo, mkawa nyinyi tuuuu, si masafi, si uhai, si Kili mkagaragazaaaa

Mmeongeza Tshs.100 tu kufanya 600, mmejiua Wenyewe, mmejizika, mtapotea kwenye soko, muulizen Uhai alipoongeza 100 ikawa 600 alijuta na Masafi ikatake over soko mpaka mkaja kuishinda.

Kuna mwingine kaingia sokoni CANADIAN PURE Tshs 500 tu, huyu atakua mzikaji wenu

Huu ni ushauri tu mnaweza kuuchukua au kiuacha

Usiku mwema


Naambatisha picha kwa maelezo zaidiView attachment 1052563
Wakala wa Canadian water wamekulipa sh ngap
 
Mkemia Mkuu wa Serikali ebu tuma Vijana wako Mapinga wakakague kiwanda cha Maji ya Hill ,Ebwana Tangia Juzi nakunywa haya maji yana Chumvi balaa ,ebu ibuka kwa kustukiza upime PH na contents nyingine kama zipo sawa,maji niliyonunua ni ya Hill kwasababu yalishushwa kwenye gari ya Hill huku mimi naona nikaagiza moja nikanywa.
Ulikunywa ya dukani?
 
Back
Top Bottom