Ushauri kwa wamiliki wa HILL WATER

Ushauri kwa wamiliki wa HILL WATER

Habarini za Usiku ndugu Zangu poleni na Majukumu ya kazi ya wiki nzima huku tukisubiri bia za Bure kutoka kwa Konda boy

Nirudi kwenye mada, Hill Water mliingia vizuri sana kwenye soko mkapindua pindiua woote waliokuepo, mkawa nyinyi tuuuu, si masafi, si uhai, si Kili mkagaragazaaaa

Mmeongeza Tshs.100 tu kufanya 600, mmejiua Wenyewe, mmejizika, mtapotea kwenye soko, muulizen Uhai alipoongeza 100 ikawa 600 alijuta na Masafi ikatake over soko mpaka mkaja kuishinda.

Kuna mwingine kaingia sokoni CANADIAN PURE Tshs 500 tu, huyu atakua mzikaji wenu

Huu ni ushauri tu mnaweza kuuchukua au kiuacha

Usiku mwema


Naambatisha picha kwa maelezo zaidiView attachment 1052563
As long as Hill Water hawataweka Fluoride katika maji yao kama wengine akina Kili, Uhai etc (except masafi) hata wauze 1000/- wenye ufahamu kuhusu fluoride wataendelea kuwa wateja wao
 
Habarini za Usiku ndugu Zangu poleni na Majukumu ya kazi ya wiki nzima huku tukisubiri bia za Bure kutoka kwa Konda boy

Nirudi kwenye mada, Hill Water mliingia vizuri sana kwenye soko mkapindua pindiua woote waliokuepo, mkawa nyinyi tuuuu, si masafi, si uhai, si Kili mkagaragazaaaa

Mmeongeza Tshs.100 tu kufanya 600, mmejiua Wenyewe, mmejizika, mtapotea kwenye soko, muulizen Uhai alipoongeza 100 ikawa 600 alijuta na Masafi ikatake over soko mpaka mkaja kuishinda.

Kuna mwingine kaingia sokoni CANADIAN PURE Tshs 500 tu, huyu atakua mzikaji wenu

Huu ni ushauri tu mnaweza kuuchukua au kiuacha

Usiku mwema


Naambatisha picha kwa maelezo zaidiView attachment 1052563
Asali haiwezi shindana na maji.
 
Habarini za Usiku ndugu Zangu poleni na Majukumu ya kazi ya wiki nzima huku tukisubiri bia za Bure kutoka kwa Konda boy

Nirudi kwenye mada, Hill Water mliingia vizuri sana kwenye soko mkapindua pindiua woote waliokuepo, mkawa nyinyi tuuuu, si masafi, si uhai, si Kili mkagaragazaaaa

Mmeongeza Tshs.100 tu kufanya 600, mmejiua Wenyewe, mmejizika, mtapotea kwenye soko, muulizen Uhai alipoongeza 100 ikawa 600 alijuta na Masafi ikatake over soko mpaka mkaja kuishinda.

Kuna mwingine kaingia sokoni CANADIAN PURE Tshs 500 tu, huyu atakua mzikaji wenu

Huu ni ushauri tu mnaweza kuuchukua au kiuacha

Usiku mwema


Naambatisha picha kwa maelezo zaidiView attachment 1052563
Afya Lita 1.5 500tu. Ya nn hill water?
 
Ulikunywa ya dukani?

Yes naona kabisa yanashushwa na Gari la hill...Na pia kuna mtu mwingine naye sehemu tofauti alisema maji kama yana chumvi ndiyo nikaconfirm basi production yao ya sasa ina tatizo.
 
Kwa us
Habarini za Usiku ndugu Zangu poleni na Majukumu ya kazi ya wiki nzima huku tukisubiri bia za Bure kutoka kwa Konda boy

Nirudi kwenye mada, Hill Water mliingia vizuri sana kwenye soko mkapindua pindiua woote waliokuepo, mkawa nyinyi tuuuu, si masafi, si uhai, si Kili mkagaragazaaaa

Mmeongeza Tshs.100 tu kufanya 600, mmejiua Wenyewe, mmejizika, mtapotea kwenye soko, muulizen Uhai alipoongeza 100 ikawa 600 alijuta na Masafi ikatake over soko mpaka mkaja kuishinda.

Kuna mwingine kaingia sokoni CANADIAN PURE Tshs 500 tu, huyu atakua mzikaji wenu

Huu ni ushauri tu mnaweza kuuchukua au kiuacha

Usiku mwema


Naambatisha picha kwa maelezo zaidiView attachment 1052563
Wakutafute wakupe kamisheni Kwa ushauri uliowapa
 
Back
Top Bottom