Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 672
- 860
Wadau habari ya muda huu.
Nimetafakari sana juu ya madhara ya watu wanaotaka kuona kwa kupimwa HIV_muda kidogotu nakupewa kibali cha kufungishwa ndoa
Kwangu naona jambo hili halijakaa sawa. Bado mtu anaweza akamuambukiza mwenza wake kutokana na kupimwa HIV kwa mwendo waharaka.
Pia madaktari wawapime ujauzito wanawake wanaotaka kuolewa. Hii itasaidia kuepuka migogoro katika familia na kupelekana mahakamani
Nimetafakari sana juu ya madhara ya watu wanaotaka kuona kwa kupimwa HIV_muda kidogotu nakupewa kibali cha kufungishwa ndoa
Kwangu naona jambo hili halijakaa sawa. Bado mtu anaweza akamuambukiza mwenza wake kutokana na kupimwa HIV kwa mwendo waharaka.
Pia madaktari wawapime ujauzito wanawake wanaotaka kuolewa. Hii itasaidia kuepuka migogoro katika familia na kupelekana mahakamani