Uchaguzi 2020 Ushauri kwa wanasiasa: Mbio zenu za Madaraka zisiathiri maisha yetu; kuigingilia mitandao na intaneti ni kuzuia haki zetu

Uchaguzi 2020 Ushauri kwa wanasiasa: Mbio zenu za Madaraka zisiathiri maisha yetu; kuigingilia mitandao na intaneti ni kuzuia haki zetu

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,858
Reaction score
5,101
Nimesikitishwa na upuuzi uliofanywa na wanasiasa wanaotumia nguvu nyingi kutaka kutawala na hatimaye wanaingilia uhuru na haki yetu.

Kitendo cha kulimit mtandao ili usifanye kazi kwa baadhi ya social media ni kuingilia maisha yetu binafsi na ni ujinga kwa kiongozi anayelipwa mshahara wa kodi za wananchi kuja na utekelezaji wa jambo hili la kipuuzi.

Hali hii imeathiri baadhi ya kazi za watu na hivyo kuwakosesha kipato.

Tunaitaka Serikali aiche mara moja kuingiia mitandao ya kijamii na intaneti ili watu waedelee na maisha yao ya kawaida. Hatujawahi kushuhudia upuuzi kama huu na tumekuwa na uchaguzi miaka nenda rudi.
 
daaaah politicians are very low
very selfish

wanafanya kitu cha kuumiza watu mamilioni kwa ajili ya manufaa yao.

Leo kazi zimestuck za watu ambao hawajihusishi hata na hizo siasa majitaka.

inatia hasara to the extent
 
Unaonekana umebarehe juzi. 2015 ilikuwa hivi hivi hata JF ilizimwa 2015. Be prepared boss.
 
Twitter kwangu imegoma kabisa.wengine hatuhusiki Na uchaguzi.what a shhit move
 
Back
Top Bottom