USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel

USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel

Kuendelea kujadiliana na mimi ni kuendelea wewe kukosea. Naona unakimbia kivuli chako, awali kabila ulipo ni quote ukaandika mambo ya "delaying". Sasa kama unahoji ninacho kiandika, iweje kwenye "Dilation" ukaingiza mambo ya "Delay" ? Hili la kudelay ulilipata wapi ?

Huwa najitahidi sana nisimdhulumu mtu, lakini fanyia kazi ushauri wangu, utakusaidia sana. Ulikuja kwa haraka ukahoji kama unajua lakini jambo hulijui.

Sasa unapokuwa mjinga sana, nakupuuza. Kingine una kumbukumbu ndogo sana.

Kuendelea kujadiliana na mimi ni kuendelea wewe kukosea. Naona unakimbia kivuli chako, awali kabila ulipo ni quote ukaandika mambo ya "delaying". Sasa kama unahoji ninacho kiandika, iweje kwenye "Dilation" ukaingiza mambo ya "Delay" ? Hili la kudelay ulilipata wapi ?

Huwa najitahidi sana nisimdhulumu mtu, lakini fanyia kazi ushauri wangu, utakusaidia sana. Ulikuja kwa haraka ukahoji kama unajua lakini jambo hulijui.

Sasa unapokuwa mjinga sana, nakupuuza. Kingine una kumbukumbu ndogo sana.
Nimeshakujibu huko juu.

Naomba ujibu yale ambayo nimekuuliza huko juu ili tupate kueleweshana vizuri..
 
Nimeshakujibu huko juu.

Naomba ujibu yale ambayo nimekuuliza huko juu ili tupate kueleweshana vizuri..
Sasa usitake niendelee kujibu ujinga, wakati unayo hoji na ninayo yaandika vitu viwili tofauti.
 
Time dilation.
Kwa ushahidi gani waikato wewe mwenyewe ulishasema kuwa time dilation ni utofauti wa muda katika Moja ya post huko juu
Time dilation ipo kote kote, mafhumu ya time fdilation ni kutofautiana kwa muda ndani ya sehemu moja au sehemu mbili tofauti kutokana na tofauti ya mwendo au mvutano. Haya ni mapito ya watu wa Fizikia.
Hapa ulisema mwenyewe kuwa time dilation ni utofauti wa muda ndani ya sehemu moja au mbili tofauti.

Sasa naomba kuelewa watu wa pangoni kuwaingiza katika time dilation utofauti wa muda ulikuwa baina ya wapi na wapi au wapi ?
 
Sasq usitake niendelee kujibu ujinga, wakati unayo hoji na ninayo yaandika vitu viwili tofauti.
Nimeshauliza mambo mengi huko juu uyaelezee ili na mimi nipate faida.

Sio lazima lakini
 
Sasq usitake niendelee kujibu ujinga, wakati unayo hoji na ninayo yaandika vitu viwili tofauti.
Usinune ndugu kama kitu hutaki kuhojiwa usikizungumzie tu.

Tukihoji unanuna unapaniki jifunze kuchukulia poa mambo kwa wale unaopishana nao mitazamo.
 
Usinune ndugu kama kitu hutaki kuhojiwa usikizungumzie tu.

Tukihoji unanuna unapaniki jifunze kuchukulia poa mambo kwa wale unaopishana nao mitazamo.
Rejea niliyo andika huko juu.
 
Hii tafsiri ya kuwa ni kutofautiana kwa muda ndani ya sehemu moja ama sehemu mbili tofauti ndio niliuliza huko juu kuwa watu wa pangoni huo muda ulitofautiana baina ya wapi na wapi mkuu ?

Allah mwenyewe kasema kuwa wale hawakulala sehemu ya siku kama walivyodhani,bali ni hakika kuwa walilala idadi ya miaka ile ile ambayo watu wengine wasiokuwa wao walihesabu hivyo.

Utofauti wa muda katika tukio la watu wa pangoni ni baina ya wapi na wapi ndugu ?


Hizo sababu ni zipi kwa mujibu wa ushahidi wa kisa kile wakati ambapo Allah anathibitisha kuwa wale walilala pale miaka mingi mfano wa miaka ile ile iliyopita kwa wasiokuwa wao ?

Allah aliwaziba masikio na akawalaza humo pangoni kwa miaka kadha wa kadha kisha wewe unasema kulikuwa na tofauti ya muda,hiyo tofauti ilikuwa wapi ?

Allah kataja sababu kuwa wale walizibwa masikio na kulazwa pale miaka na miaka ndio maana wakaona wamelala kidogo.

Huu muda wa miaka 309 haukuwa tofauti na miaka ya nje ya pango,kwa maana muda ulienda sawa kabisa baina ya pangoni na kusikokuwa pangoni.

Sasa huo utofauti wa muda unaousema sijaelewa ulikuwa wapi ?

Pengine wewe ukaona umeeleweka ulichokusudia,lakini waliopokea ujumbe wameelewa tofauti.

Ikitokea hivyo usiwe na kejeli na dharau kwa wengine.

Unaposema nimehitimisha kwa kauli ya uongo ya kuwa wewe umehusisha sehemu mbili tofauti kwani hii ya wewe kuhusisha sehemu mbili tofauti hukuisema ?

Umesema mwenyewe kuwa umetoa mifano miwili na mmoja wao ni huo wa kuwa inaweza kuwa ya sehemu mbili tofauti kama ulivyosema siku moja ni sawa na masiku mengi kwa Allah,hii ulikusudia ni sehemu mbili tofauti.

Sasa mimi kusema kuwa umgusia sehemu mbili tofauti,unaniambia muongo ilhali haya maneno umeyasema wewe mwenywwe.

Labda useme nimekunukuu kwa kauli moja ambayo ni kweli umeisema na ilhali ulikuwa umeweka kauli mbili.

Kusema kuwa ni uongo wakati kauli umeisemamwenyewe nashida kutia neno lolote.

Mifano yako iliashiria hivyo kuwa time dilation inahusisha sehemu mbili tofauti.ndio maana ulinukuu mfano wa siku moja kwa Allah na siku moja ya duniani utofauti wao.

Sasa mifano uliyotoa inaonesha utofauti wa muda baina ya sehemu mbili.

Watu wa pangoni bado tupo kwenye kueleweshana kama pale palikuwa na tofauti ya muda baina ya sehemumoja(duniani)

Kwa hiyo mifano uliyotoa inaonesha tofauti ya muda baina ya sehemu mbili,watu wa pangoni bado hatujaafikiana kama ilikuwa ni tofauti ya muda baina ya sehemu moja.

Wapi tumekubaliana kuwa kuwa hiyo mifano yote kuwa ni time dilation ?

Unasahau kuwa hapa ndo tunajadili kwamba je mifano yako uliyotoa ni time dilation kweli hasa lile la watu wa pangoni ?

Sasa kutoa kwako mifano ukainasibisha na time dilation unataka na mimi nikubali moja kwa moja kuwa ni kweli time dilation bila kuhoji.

Yani unarudi kule kule kwamba mawazo yako unataka tuyakubali tu moja kwa moja jambo ambalo sio sahihi kabisa.hatujakubaliana katika mifano yako yote kuwa hiyo ni time dilation.

Okey sawa Mungu akubariki.

Nilichokubaliana na wewe ni mfano wako wa time dilation kuwa ni muda na sehemu mbili tofauti.
Na hatujakubaliana kuwa time dilation kama inaweza kutokea baina ya sehemu moja.

Sasa sijichanganyi kwa sababu bado sijakubaliana na wewe kuwa aswhabu al kahfi ilikuwa time dilation.

Nimeshangaa kuwa vipi watu wa pangoni uwatie katika time dilation wakati mifano uliyotoa inahusisha sehemu mbili tofauti na watu wa pangoni ilohusisha sehemu moja.

Hapa kazi yako iwe ni kunifahamisha mimi kuwa watu wa pangoni ililkuwa kweli ni time dilation .

Ikiwa utanifafanulia juu ya hili ndipo una haki ya kusema kuwa NILIJICHANGANYA.

Mimi hapa nahoji kwa mujibu wa maana ulizozitoa wewe.

Wewe umeeleza kuwa time dilation ni utofauti wa muda baina ya sehemu moja ama mbili na ukatoa mifano.

Nahoji kutokea katika maana yako hiyo ambayo mwanzo KIUKWELI SIKUIPATA KUTOKA KWAKO.
Mbona mnabishania jambo dogo /tatizo lenu wote mnashindwa kutofautisha kati ya Muda Na Wakati...kubalianeni kwanza mnachoshindania ni Muda au Wakati?
 
Hii wanaita "reincarnation " . Ikimaanisha nafsi yako iliwahi kuishi kabla kwenye mwili mwingine, baada ya huo mwili kufa, hiyo nafsi ikazaliwa upya kwenye mwili uliopo. Sasa unakuwa una-experience matukio ya nyuma wakati nafsi yako ikiwa kwenye ule mwili mwingine.
Déjà vu (/ˌdeɪʒɑː ˈvuː, - ˈvjuː/ (About this soundlisten)[1][2] DAY-zhah-VOO, -⁠VEW; French: [deʒa vy]) is the feeling that one has lived through the present situation before.[3][4][5][6] The phrase translates literally as "already seen".
Déjà vu - Wikipedia
 
Kuna eneo nililiona ndani ya ndoto miaka mingi.Basi jana nimebahatika kufika urambo kwa mara ya kwanza,lile eneo nimeliona vile vile kama nishawahi kufika.
Hii wanaita "reincarnation " . Ikimaanisha nafsi yako iliwahi kuishi kabla kwenye mwili mwingine, baada ya huo mwili kufa, hiyo nafsi ikazaliwa upya kwenye mwili uliopo. Sasa unakuwa una-experience matukio ya nyuma wakati nafsi yako ikiwa kwenye ule mwili mwingine.
 
Uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo unapofikia ukomo wake sema mimi sijui na sina nilijualo katika jambo hilo wala usiseme halipo wala haiwezekani..mf ulioutoa wa watu wa pangoni.(ahlul kahfi),sio muda ulicheleweshwa ni miaka halisi ya usingizi waliolala vijana wale...katika maelezo yangu ya post ulioniomba ushahidi...nenda katika suratul aala..aya 1 mpaka ya 4, Ama kutokea time travel ni safar ya miraj...huoni kua alisafiri katika future? Aliona mpaka watu wanaoadhibiwa motoni..mbali na hio maisha ya Dajali yote aliyaona na mpaka sehemu atakapouwa na kuzikwa alipaona....sio njozi.. alifika kiuhalisia.
Nenda kakitafute kitubu kinachoitwa "Hayatu alkuburat Qubra." utapata mambo ya kukushangaza na kukustajaabisha. Kipo kisa cha swahaba alimuuliza Nabii Abal Kasim.kati ya m/mke na m/me nani anafaid katika jimai. Huyu swahaba aliuliza swali lake baada ya swala ya alfajir siku ya ijumaa..abal kasim akamwambia atampa jibu baada ya swala ya ijumaa.
Swahaba huyu muda wa kwenda kwenye swala ya ijumaa alijiandaa na kwenda mtoni kuoga na kuchukua udhu.Muda ambao anaingia mtoni kuoga na adhana ya kwanza ya swala ya ijumaa ilikua ina adhiniwa.
Alipojutupa mtoni alipoibuka aliibuka sehemu nyingine asioifahamu na akiwa na jinsia ya kike...alikaa huko mika mingi akaolewa na akazaa watoto 3,,,siku moja akapata hamu ya kwenda mtoni kuoga na alipo jitupa ndani ya maji alipoibuka akatokea palepale alipojitosa mara ya kwanza akiwa m/me na adhana ndio ilikua inamalizika...huyu jamaa hakusafiri katika muda.? Na yeye mwenyewe ndio alietoa jibu kua M/mke ndio anaefaidi zaid jimai kuliko m/me...unaposema jambo halipo .isemee nafsi yako.kama hujui jambo kaa kimya..!
Assalamu Alaykum Samahani kuhusu hayo ya kuwa mtu kaenda kukoga kisha akageuka mwanamke unao ushahidi wa hadithi iliyokuwa sahihi
 
Time dilation ipo kote kote, mafhumu ya time fdilation ni kutofautiana kwa muda ndani ya sehemu moja au sehemu mbili tofauti kutokana na tofauti ya mwendo au mvutano. Haya ni mapito ya watu wa Fizikia.

Kwahiyo tukio la watu wa pangoni hakuna kusimama kwa muda,muda upo kama kawaida ila umetofautiana kutokana na sababu fulani.

Katika aya inayosema malaika huwa wanatoka duniani kuelekea mbinguni kwa ajili ya kazi husika waliyopewa na Allah,kwa siku yao moja ni sawa na miaka Elfu 50,kwa hapa kwetu. Huu ni uhusiano wa kutofautiana kwa muda na hakuna kusimama kwa muda hapo.

Watu wa pangoni vivyo hivyo, walipigwa usingizi kwa miaka hiyo aliyoitaja Allah katika Qur'aan, lakini wao wakaona kama wametoka kuamka tu, yaani kama sehemu ya siku lakini kumbe muda ulikuwa ni miaka 309.

Unatakiwa uongeze umakini ukiwa unasoma ninacho kiandika. Nimetoa mifano miwili ya Time Dilation, lakini naona umehitimisha kwa kauli ya uongo kwamba nimehusisha sehemu mbili tofauti. Huku nikukosa kwako umakini. Ule ushauri nilio kupa ufanyie kazi utakusaidia sana. Sas

Sasa kijana inakuwaje unahitimisha kwa vitu ambavyo havipo, nikikuuliza unionyeshe wapi nimesema Time dilation inahusisha sehemu mbili tofauti pekee utanionyesha ? Wakati nimetoa mifano miwili tofauti na yote inaonyesha Time Dilation ? Ongeza umakino ili usiwe unapoteza muda kuhoji vitu vya kijinga kwa kutokuwa makini.

Sasa nani anasema tukio lile muda haukuenda katika utaratibu. Naona pale mwanzo ulikurupuka kwa kufasiri neno kwa mjengeko wake ukahusisha "Dilation" na "Delay".Hivi vitu viwili tofauti. Fanyia kazi ushauri wangu.

Umeona sasa unavyo jiumbua ? Huko juu umetoa hitimisho kwa mfano mmoja nilio utoa, lakini hapa uajumuisha mifano yote miwili, sasa huoni unavyojichanganya ?
Mfano mwingine tunasoma katika Qur'aan ya kuwa siku moja kwa Allah kwatu sisi ni miaka elfu moja.

Shida yako unahoji kitu kama unakijua halafu hukijui, sasa unazidi kukosea. Nilikwambia soma kwanza kitu ukijue au hoji kwa usahihi.

Ngoja nikusaidie, kwani Time Dilation ni nini ? Jifunze kuhoji kwa usahihi. Unavyojua wewe.

Sasa fanyia kazi ushauri nilio kupa.

Ahsante.
Assalamu Alaykum Samahan naomba ushahidi: Ni sura gani na ni Aya ya ngapi kama hautojali
 
Kwani mda ni nini ?vitu kama hivi vinahitaji vinasaba vya kina newton ukitaka kuanza kudadisi
Time/muda ni jibu linalotokea baada ya kupima mwanzo wa tukio A mpaka mwisho wa tukio A baada ya movement kufanyika.
Hivyo duniani tunapata time baada ya solar system inayosababisha rotation na revolution inayoathiri dunia hivyo duniani kupata time baada ya vipimo vya rotation na revolution kufanyika.
Kama kungekuwa hakuna solar system basi tusingejua kama kuna time.
Kama solar system ingekuwepo ila dunia haimake movement yoyote pia tusingejua kama kuna time.

Right or wrong Time ni illusion.
 
Au mtu unaota ndotoni na hapo ndotoni umetumia miaka zaidi ya mitatu,cha ajabu ukiamka ni masaa saba ya usiku tu.

Kuhusu ndoto mkuu ni inshu nyingine. NDOTO ina mambo mengi ambayo binadamu hata aishi miaka 250 hatofumbua hili fumbo la ndoto.

Kuna kipindi nilikuwa naota ndoto zinajiendeleza. Yaani leo nanunua kiwanja kesho naota naanza ujenzi kesho kutwa naoto mafundi wananisumbua mshahara kesho yake naota nawalipa mara naamia.
 
Ila jaman inakuwaje mtu unalala unaota mwaka wa zamani sana hata wewe hujawahi kuwepo huko
Umejuaje ni mwaka wa zamani?

Mpaka unasema mwaka wa zamani ambao wewe haujawahi kuwepo. maana yake huo mwaka unaujua kivyovyote vile iwe kwa kusoma,kusikia,kuona kwenye picha au Tv.

Ndoto nyingi zinatokana na mzunguko wa maisha yako yote kama nje ya hapo basi ni image iliyotengenezwa na ubongo wako kutoka kwenye vitu ambavyo huvikumbuki hata kidogo ila uliviexperiance kwa kusikia,kusoma,kuona na kamwe hutoweza kujua mwaka au chochote kuhusu hiyo ndoto ila madhanio tu yasiyo na uhakika.
 
Umejuaje ni mwaka wa zamani?

Mpaka unasema mwaka wa zamani ambao wewe haujawahi kuwepo. maana yake huo mwaka unaujua kivyovyote vile iwe kwa kusoma,kusikia,kuona kwenye picha au Tv.

Ndoto nyingi zinatokana na mzunguko wa maisha yako yote kama nje ya hapo basi ni image iliyotengenezwa na ubongo wako na kamwe hutoweza kujua mwaka au chochote kuhusu hiyo ndoto ila madhanio tu yasiyo na uhakika.
Hivi kama mama hazai kuna uwezekano na mtoto kutokuzaa pia??
 
Back
Top Bottom