USHAURI: kwa wasioamini maswala ya time travel


Nimeshakujibu huko juu.

Naomba ujibu yale ambayo nimekuuliza huko juu ili tupate kueleweshana vizuri..
 
Nimeshakujibu huko juu.

Naomba ujibu yale ambayo nimekuuliza huko juu ili tupate kueleweshana vizuri..
Sasa usitake niendelee kujibu ujinga, wakati unayo hoji na ninayo yaandika vitu viwili tofauti.
 
Time dilation.
Kwa ushahidi gani waikato wewe mwenyewe ulishasema kuwa time dilation ni utofauti wa muda katika Moja ya post huko juu
Time dilation ipo kote kote, mafhumu ya time fdilation ni kutofautiana kwa muda ndani ya sehemu moja au sehemu mbili tofauti kutokana na tofauti ya mwendo au mvutano. Haya ni mapito ya watu wa Fizikia.
Hapa ulisema mwenyewe kuwa time dilation ni utofauti wa muda ndani ya sehemu moja au mbili tofauti.

Sasa naomba kuelewa watu wa pangoni kuwaingiza katika time dilation utofauti wa muda ulikuwa baina ya wapi na wapi au wapi ?
 
Sasq usitake niendelee kujibu ujinga, wakati unayo hoji na ninayo yaandika vitu viwili tofauti.
Nimeshauliza mambo mengi huko juu uyaelezee ili na mimi nipate faida.

Sio lazima lakini
 
Sasq usitake niendelee kujibu ujinga, wakati unayo hoji na ninayo yaandika vitu viwili tofauti.
Usinune ndugu kama kitu hutaki kuhojiwa usikizungumzie tu.

Tukihoji unanuna unapaniki jifunze kuchukulia poa mambo kwa wale unaopishana nao mitazamo.
 
Usinune ndugu kama kitu hutaki kuhojiwa usikizungumzie tu.

Tukihoji unanuna unapaniki jifunze kuchukulia poa mambo kwa wale unaopishana nao mitazamo.
Rejea niliyo andika huko juu.
 
Mbona mnabishania jambo dogo /tatizo lenu wote mnashindwa kutofautisha kati ya Muda Na Wakati...kubalianeni kwanza mnachoshindania ni Muda au Wakati?
 
Déjà vu (/ˌdeɪʒɑː ˈvuː, - ˈvjuː/ ( listen)[1][2] DAY-zhah-VOO, -⁠VEW; French: [deʒa vy]) is the feeling that one has lived through the present situation before.[3][4][5][6] The phrase translates literally as "already seen".
Déjà vu - Wikipedia
 
Kuna eneo nililiona ndani ya ndoto miaka mingi.Basi jana nimebahatika kufika urambo kwa mara ya kwanza,lile eneo nimeliona vile vile kama nishawahi kufika.
Hii wanaita "reincarnation " . Ikimaanisha nafsi yako iliwahi kuishi kabla kwenye mwili mwingine, baada ya huo mwili kufa, hiyo nafsi ikazaliwa upya kwenye mwili uliopo. Sasa unakuwa una-experience matukio ya nyuma wakati nafsi yako ikiwa kwenye ule mwili mwingine.
 
Assalamu Alaykum Samahani kuhusu hayo ya kuwa mtu kaenda kukoga kisha akageuka mwanamke unao ushahidi wa hadithi iliyokuwa sahihi
 
Assalamu Alaykum Samahan naomba ushahidi: Ni sura gani na ni Aya ya ngapi kama hautojali
 
Kwani mda ni nini ?vitu kama hivi vinahitaji vinasaba vya kina newton ukitaka kuanza kudadisi
Time/muda ni jibu linalotokea baada ya kupima mwanzo wa tukio A mpaka mwisho wa tukio A baada ya movement kufanyika.
Hivyo duniani tunapata time baada ya solar system inayosababisha rotation na revolution inayoathiri dunia hivyo duniani kupata time baada ya vipimo vya rotation na revolution kufanyika.
Kama kungekuwa hakuna solar system basi tusingejua kama kuna time.
Kama solar system ingekuwepo ila dunia haimake movement yoyote pia tusingejua kama kuna time.

Right or wrong Time ni illusion.
 
Au mtu unaota ndotoni na hapo ndotoni umetumia miaka zaidi ya mitatu,cha ajabu ukiamka ni masaa saba ya usiku tu.

Kuhusu ndoto mkuu ni inshu nyingine. NDOTO ina mambo mengi ambayo binadamu hata aishi miaka 250 hatofumbua hili fumbo la ndoto.

Kuna kipindi nilikuwa naota ndoto zinajiendeleza. Yaani leo nanunua kiwanja kesho naota naanza ujenzi kesho kutwa naoto mafundi wananisumbua mshahara kesho yake naota nawalipa mara naamia.
 
Ila jaman inakuwaje mtu unalala unaota mwaka wa zamani sana hata wewe hujawahi kuwepo huko
Umejuaje ni mwaka wa zamani?

Mpaka unasema mwaka wa zamani ambao wewe haujawahi kuwepo. maana yake huo mwaka unaujua kivyovyote vile iwe kwa kusoma,kusikia,kuona kwenye picha au Tv.

Ndoto nyingi zinatokana na mzunguko wa maisha yako yote kama nje ya hapo basi ni image iliyotengenezwa na ubongo wako kutoka kwenye vitu ambavyo huvikumbuki hata kidogo ila uliviexperiance kwa kusikia,kusoma,kuona na kamwe hutoweza kujua mwaka au chochote kuhusu hiyo ndoto ila madhanio tu yasiyo na uhakika.
 
Hivi kama mama hazai kuna uwezekano na mtoto kutokuzaa pia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…