Ushauri kwa Waziri Nape: Mitandao ya ngono ifunguliwe mkazo uwekwe kwenye sheria ya faragha

Ushauri kwa Waziri Nape: Mitandao ya ngono ifunguliwe mkazo uwekwe kwenye sheria ya faragha

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Mh Nape Nnauye Watanzania wako wana uelewa mkubwa sana kuhusiana na maswala yote ya faragha, ndio maana hakuna Kibandaumiza chochote kinachoonesha video za ngono na wala hakuna sehemu yeyote ya makutano au hadhara inayoonesha video za ngono katika nchi hii

Video za ngono huwa zinatizamwa faragha yaani mtumiaji anatazama peke yake katika simu yake kwa faragha kubwa. Vilevile masuala ya ngono ni michezo ya watu wazima hapa duniani hivyobasi kila mmoja anapaswa kutambua na kuheshimu bidhaa zote za faragha ikiwemo vinywaji, vilevi, sigara, michezo ya ngono na mengineyo

Nashauri mitandao ya ngono iruhusiwe lakini sheria ya faragha ikazwe, maana kuwa mtazamaji wa maudhui hayo atazame kwa faragha na wala isiruhusiwe maudhui hayo kurushwa hadharani iwe katika mitandao ya kijamii wala katika runinga

Sababu za kutaka iruhusiwe ni kuwa pamoja na kufungiwa bado watazamaji wanafanikiwa kutazama kwa 100% hivyobasi maana ya kufungiwa haipo.

Pili walevi wa ngono huwa hawafai kuzuia na wala hakuna njia yeyote hapa duniani ya kuwanyima watu maudhui ya ngono kwasababu teknolojia imekua kila jambo linaloundwa huwa lina teknolojia ya kufunga na kufungua (bypass).
 
Mh Nape Nnauye Watanzania wako wana uelewa mkubwa sana kuhusiana na maswala yote ya faragha, ndio maana hakuna Kibandaumiza chochote kinachoonesha video za ngono na wala hakuna sehemu yeyote ya makutano au hadhara inayoonesha video za ngono katika nchi hii

Video za ngono huwa zinatizamwa faragha yaani mtumiaji anatazama peke yake katika simu yake kwa faragha kubwa. Vilevile masuala ya ngono ni michezo ya watu wazima hapa duniani hivyobasi kila mmoja anapaswa kutambua na kuheshimu bidhaa zote za faragha ikiwemo vinywaji, vilevi, sigara, michezo ya ngono na mengineyo

Nashauri mitandao ya ngono iruhusiwe lakini sheria ya faragha ikazwe, maana kuwa mtazamaji wa maudhui hayo atazame kwa faragha na wala isiruhusiwe maudhui hayo kurushwa hadharani iwe katika mitandao ya kijamii wala katika runinga

Sababu za kutaka iruhusiwe ni kuwa pamoja na kufungiwa bado watazamaji wanafanikiwa kutazama kwa 100% hivyobasi maana ya kufungiwa haipo.

Pili walevi wa ngono huwa hawafai kuzuia na wala hakuna njia yeyote hapa duniani ya kuwanyima watu maudhui ya ngono kwasababu teknolojia imekuwa kila jambo linaloundwa huwa lina teknolojia ya kufunga na kufungua (bypass)
Tumia VPN
 
Back
Top Bottom