Ushauri kwa Waziri Nape: Mitandao ya ngono ifunguliwe mkazo uwekwe kwenye sheria ya faragha

Sio hapo nyuma, kuna sehemu wanaita pilau, movie ikiisha watoto wanatoka wanabaki watu wazima. kiingilio ni 2x regular, wanaangalia dakika 15 to 20 inazimwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjini kuna mambo kumbee
 
Yuko sahihi, kama wamezuia watu kuangalia ngono wafungie night club zote ambazo watu wakilewa wanafanya ngono zembe na ndiko watu wanajiuza. Sasa unafungia watu kutazama ngono halafu unaruhusu wauzaji kubaki free.
Uzuri nikuwa watu wanaangalia kwa siri sasa kama watu wanaangalia kwa siri tena kwenye simu zao tatizo liko wapi ni sawa na kuzuia watu wasifanye mapenzi wakati mapenzi yanafanywa kwa siri tena chumbani, hiki ndicho alichokifanya
 
LGBTQI at work
 
Bora walifunga ili mpate Akili maana siyo wote Wana akili km za kwako
 
Yuko sahihi, kama wamezuia watu kuangalia ngono wafungie night club zote ambazo watu wakilewa wanafanya ngono zembe na ndiko watu wanajiuza. Sasa unafungia watu kutazama ngono halafu unaruhusu wauzaji kubaki free.
lbbda wamefnya hvyo kuzuia watoto wasiangalie porn
 
Sema hizi vitu bhana huwa zinatazamwa kwa siri sana, tena na watu usiyowategemea. Siku moja kuna mzee aliniomba nimrekebishie settings za internet alibadilisha simcard, sasa nimeset fresh nikasema ngoja nitest kama iko sawa. Ile nafungua browser nikakutana na page ya porn. Daaah nikaminimize nikatest ilivyokaa sawa nikarudisha page yake. Nikajua tu kwakuwa mzee umri umeenda labda huwa anatafuta booster
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…