Ushauri kwa Waziri Nape: Mitandao ya ngono ifunguliwe mkazo uwekwe kwenye sheria ya faragha

before i answer you i want to ask you what is the mearning of fluent sorry
Okay, to be fluent mean you speak without having any kind of difficulties, that means you understand everything you say before you say and when you say, so you good can we proceed?
 
Hizi ni bidhaa za kikubwa ni sawa na bangi
 
Yaani Ni Aibu kwa kweli badala ya wizara kufanya miradi kuwezesha watu kupata mtandao wanahangaika na kuzuia.

Hivi wanazani watu bilion nane waliokotwa milimani, hovyo sana
 
Kwa mujibu wa sheria watoto ni under 18 na kwa umri huo hawawezi kusajili laini, sasa linabaki suala la malezi la familia kwa familia.
sawa mkuu ila s unaona sku hz had ctoto vya la saba vina simu
 
Kwani zimefungwa lini mbona mm naangalia sanaa najichukulia maujuzi yakutosha plus mautundu yangu mwenyewe hadi raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…