Ushauri kwa wenye mamlaka serikalini: Itumieni JF kubaini mapungufu katika maeneo yenu mnayosimamia/mnayoyaongoza

Ushauri kwa wenye mamlaka serikalini: Itumieni JF kubaini mapungufu katika maeneo yenu mnayosimamia/mnayoyaongoza

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
JF ni hazina (rich source of information) ya taarifa mbali mbalimbli zinazotolewa na members. Fahamu kuwa kila idara/sekta/eneo la kiserikali la kazi haiwezi kukosa mtu member wa JF. Hivyo kama kuna maovu yanayotendeka, ukifuatilia JF utayakuta wameyataja/wameyaandika. Unaanzia hapo unatafuta ukweli wa hizo taarifa.

Hata Rais Samia alisema siku ya wanawake duniani kuwa anapitia JF na kusoma yanayoandikwa. Hii ilikuwa message kubwa kuwa hata Rais anaamini kuwa anaweza akapata some valuable information from JF.

Huko utapata ukweli, uongo, fitna etc etc. Unachuja na kupata ukweli.
 
Viongozi wanautumia huu mtandao sema kuchukia hatua Hilo ndo tatizo linaanzia hapo.
 
Upo sahihi kabisa mkuu ,mfano mmoja pale Mikumi national park ile T1 bado inasababisha ajali nyingi mno kati ya wanyama na vyombo vya moto, na kupunguza hizi ajali sio rocket science kabisa ni kutumia akili kidogo na ajali zile zitapungua zaidi ya 90%,Mnyama mkubwa kama Twiga hakutatokea tena ajali ya eti gari imegongana na Twiga
 
Just in case somebody care about you, your worries and sufferings !!!
 
Back
Top Bottom