Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwamba kahawa ya Kagera na baadhi ya maeneo ya Kigoma ina sifa za organic maana madawa na mbolea za viwandani havitumiki. Baada ya Waganda kuliona kila mwaka huwa wanatoa ofa kubwa kuliko ya vyama vya ushirika. Kutokana na kwamba kuna mirija ndani ya vyama vya ushirika basi hakuna kiongozi wa serikali anayependa kahawa iuzwe Uganda. Ukikamatwa kahawa yako inaitwa magendo unashtakiwa na Jamhuri. Mleta mada ana hoja lakini nahisi hata kwenye korosho ni hivyohivyo.fafanua zaidi mkuu
Wazo zuri,tatizo nchi hii kuna kundi fulani wao tu ndiyo wanataka waendele kuwepo na wao tu ndiyo wawe matajiriIfungulie fursa ya mazao ya biashara kama vile ngano,kahawa,miti n.k
mfano tunatakiwa kutafuta fursa ya kusafirisha mkaa nchi za ulaya hususani majira ya baridi.
Mkuu ongezea na bangi piaSalamu!
Mada inajieleza,
Fursa zinazotakiwa kufunguliwa na ambazo nitaziona kama kipimo cha wizara ni zile za mazao ya biashara mfano pamba,kahawa,mwani na mazao ya wanyama kama ngozi ,pembe na kwato.
Nadhani nimeeleweka!