TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
Ingekuwa sawa kama yanga ndo angekuwa mwenyeji ila yanga ni mgeni kwenye hiyo mechiWakuu heshima kwenu, naomba kutoa wazo kwa uongozi wa YANGA,kuwa jumapili mechi ya Simba na YANGA wanayanga wote wavae KITAMBAA begani wakiaanisha KUTAMBUA MCHANGO WA kapten wetu bakar nondo mwamunyeto. yaani iwe mwamunyeto day.waliokaribu na uongozi tufikishieni hilo
Mimi napendekeza muingie uwanjani huku mnakata viuno mwanzo mwisho na kuvaa kata k kumuenzi Mama J itapendeza sanaWakuu heshima kwenu, naomba kutoa wazo kwa uongozi wa YANGA,kuwa jumapili mechi ya Simba na YANGA wanayanga wote wavae KITAMBAA begani wakiaanisha KUTAMBUA MCHANGO WA kapten wetu bakar nondo mwamunyeto. yaani iwe mwamunyeto day.waliokaribu na uongozi tufikishieni hilo
Mbumbumbu umeanzaMimi napendekeza muingie uwanjani huku mnakata viuno mwanzo mwisho na kuvaa kata k kumuenzi Mama J itapendeza sana
Nime-subscribeHuyu hata kuanza hataanza... Mark my words... Ukuta utakua Yao,job,bacca na lomalisa
Huyu hata kuanza hataanza... Mark my words... Ukuta utakua Yao,job,bacca na lomalisa
Umeongea kiufundi sana Mkuu.
Binafsi kitaalam naona aanze na Back 3 kuiweka yanga salama
Job, mwamnyeto na Baka.
Inonga hana mayele wa kumkaba hivyo atapandisha sana timu na kufunga pia.....
Madhara.
Akianza na Hao watatu inabidi pakome au yao mmoja awe benchi
Kitu ambacho ni kigumu pia.
Mechi ya Derby iliyopita, Inonga hakuwa na Mayele wa kumkaba vipi alipandisha sana timu na kufunga?
Yanga kipindi cha Nabi, Mayele ndiye aliyekuwa tegemeo wa kufunga ila kwasasa
Aziz Ki anaweza kufunga
Yao anaweza kufunga
Pacome anaweza kufunga
Maxi anaweza kufunga
Mbumbumbu mumeo anayeshindwa kukufikisha kileleni
HakuanzaHuyu hata kuanza hataanza... Mark my words... Ukuta utakua Yao,job,bacca na lomalisa