Ushauri kwako Injinia Hersi

Ushauri kwako Injinia Hersi

jombaa askari

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
494
Reaction score
530
Mashindano ya kimataifa ndiyo imeanza, tafuteni scout wa kuwatafutia wachezaji wazuri zaidi watakaowasaidia hapo Yanga katika mashindano ya kimataifa.

Huu ujinga wa kuleta mchezaji toka Uingereza anakuja kulipwa hela nyingi na kuja kukaa benchi, ni hela ambazo zingetosha kabisa kumuajiri scout wa kutafuta vipaji vitakavyoisadia Yanga kipiga hatua nyingi mbele.

Na huu ujinga mwingine wa kutujazia Wakongo ambao viwango vyao vinazidiwa na wachezaji wengi tu wa Kitanzania muuache vilevile tafuta scout afanye kazi hiyo.

Na huu ujinga wa kumsajili mchezaji baada ya kumuona akicheza mechi moja au mbili na akacheza vizuri, mkakurupuka na kumsajili vilevile muuache. Tafuta scout afanye hiyo kazi ya kumfatilia zaidi mchezaji huyo.

Maana inawezekana hata hapo baada ya kucheza na Al Hilal mshaanza na maongezi na baadhi ya wachezaji wao.

Nimemaliza.
 
Injinia aongezewe ulinzi🐒

images (7).jpeg
 
Labda achangie ushuzi, anadhani wachezaji wanasajiliwa na mdomo.
Timu ina wadhamini hivyo pesa hizo zitumike vyema kufanya kazi...

Kama akili zako ni ushuzi basi umeula...

Timu ikiendelea hivi ina maana wazamini ambao wataweka pesa watapungua... na akija yoyote atachukuliwa ata kama udhamini wake hauna tija, Sababu kuu itakuwa ni pesa, kutembeza bakuli

Ni bora timu ifahamike ina matatizo ya kifedha kuliko fedha zipo alafu zina tumika vibaya na wapenzi washabiki wakae kimya

Washabiki wana ipa timu mapato kwa njia mbalimbali ndizo sehemu ya kuendesha timu
Viingilio
Jezi
Kadi za uanachama
Nk

Wakati timu zingine zina tafuta ata hao mashabiki waweze kuendeleza timu yao/zao
 
Hoja sio kuchangia pesa, ingekuwa ni hoja ya pesa basi mjadala ungeegemea hapo

Mjadala ni aina ya wachezaji na viwango vyao....
Kiwango cha mchezaji mwenye quality kubwa kinataka pesa. Al Hilal wana wachezaji wamesajili kwa billion+. Huyo scout atacompete na timu za waarabu wanaolipa mishahara million 200? Au mmezoea mpira wenu wa maneno mengi
 
Timu ina wadhamini hivyo pesa hizo zitumike vyema kufanya kazi...

Kama akili zako ni ushuzi basi umeula...

Timu ikiendelea hivi ina maana wazamini ambao wataweka pesa watapungua... na akija yoyote atachukuliwa ata kama udhamini wake hauna tija, Sababu kuu itakuwa ni pesa, kutembeza bakuli

Ni bora timu ifahamike ina matatizo ya kifedha kuliko fedha zipo alafu zina tumika vibaya na wapenzi washabiki wakae kimya

Washabiki wana ipa timu mapato kwa njia mbalimbali ndizo sehemu ya kuendesha timu
Viingilio
Jezi
Kadi za uanachama
Nk

Wakati timu zingine zina tafuta ata hao mashabiki waweze kuendeleza timu yao/zao
Yani wewe jamaa ni mpuuzi sana, hivi hao wadhamini unaozungumzia wanatosha kucover salary za quality players? Bongo bado ndio tunaanza kujitafuta kwenye soka usiwe mjinga unanyoosha tu vidole jitahidi uielewe soka kwanza acha ushabiki maandaz
 
Pia injinia kama rais wA club, aache muda mwingi kushinda na team, wachezaji wanamzoea sana.. awe anatokea kwenye matukio muhimu hata wachezaji wakimuona siku hiyo wanajua kuna jambo zito
Muda mwingi alioshinda na wachezaji umeuhesabu wapi wewe?

Soka ni mchezo wa mihemko ila bongo tumechanganya mihemko na ujinga.
 
Mashindano ya klabu bingwa ndo haya yameanza, tafuteni scout wa kuwatafutia wachezaji wazuri zaidi watakaowasaidia hapo yanga Katika mashindano ya kimataifa

Huu ujinga wa kuleta mchezaji toka uingereza anakuja kulipwa hela nyingi na kuja kukaa benchi....... ni hela ambazo zingetosha kabisa kumuajiri scout wa kutafuta vipaji vitakavyo isadia yanga kipiga hatua nyingi mbele

Na huu ujinga mwingine wa kutujazia wakongo ambao viwango vyao vinazidiwa na wachezaji wengi tu wa kitanzania muuache vilevile tafuta scout afanye kazi hiyo

Na huu ujinga wa kumsajili mchezaji baada ya kumuona akicheza mechi moja au mbili na akacheza vizuri, mkakurupuka na kumsajili vilevile muuache tafuta scout afanye hiyo kazi ya kumfatilia zaidi huyo mchezaji..... maana inawezekana hata hapo baada ya kucheza na Al Ahli mshaanza na maongezi na baadhi ya wachezaji wao


Nimemaliza


Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Mbona unaumia mkuu, ela si zao?
Tukimfunga simba tu inatosha, hayo mengine ziada.
Wapambane kwanza kujenga uwanja wa timu huko kuna wenyewe, unaijua bajeti ya timu zinazoshindana huko fainali au unajiropokea tu
 
Pia injinia kama rais wA club, aache muda mwingi kushinda na team, wachezaji wanamzoea sana.. awe anatokea kwenye matukio muhimu hata wachezaji wakimuona siku hiyo wanajua kuna jambo zito
Kweli kabisa.... maana yeye mechi za mikoani yupo mechi ya sudani yupo mpaka wachezaji wakimuona hawamchukulii kama bosi wao tena

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Yani wewe jamaa ni mpuuzi sana, hivi hao wadhamini unaozungumzia wanatosha kucover salary za quality players? Bongo bado ndio tunaanza kujitafuta kwenye soka usiwe mjinga unanyoosha tu vidole jitahidi uielewe soka kwanza acha ushabiki maandaz
Sasa huo upuuzi wake ni upi.... kama huwezi kuchangia kwa lugha ya stara kaa kimya

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Timu ina wadhamini hivyo pesa hizo zitumike vyema kufanya kazi...

Kama akili zako ni ushuzi basi umeula...

Timu ikiendelea hivi ina maana wazamini ambao wataweka pesa watapungua... na akija yoyote atachukuliwa ata kama udhamini wake hauna tija, Sababu kuu itakuwa ni pesa, kutembeza bakuli

Ni bora timu ifahamike ina matatizo ya kifedha kuliko fedha zipo alafu zina tumika vibaya na wapenzi washabiki wakae kimya

Washabiki wana ipa timu mapato kwa njia mbalimbali ndizo sehemu ya kuendesha timu
Viingilio
Jezi
Kadi za uanachama
Nk

Wakati timu zingine zina tafuta ata hao mashabiki waweze kuendeleza timu yao/zao
Huo udhamini ambao huwezi gombania mchezaji na tp mazembe, asec au piramid?

Yanga bado timu changa kimuundo tusitarajie makubwa
 
Back
Top Bottom