Ushauri kwako Injinia Hersi

Ushauri kwako Injinia Hersi

Mashindano ya klabu bingwa ndo haya yameanza, tafuteni scout wa kuwatafutia wachezaji wazuri zaidi watakaowasaidia hapo yanga Katika mashindano ya kimataifa

Huu ujinga wa kuleta mchezaji toka uingereza anakuja kulipwa hela nyingi na kuja kukaa benchi....... ni hela ambazo zingetosha kabisa kumuajiri scout wa kutafuta vipaji vitakavyo isadia yanga kipiga hatua nyingi mbele

Na huu ujinga mwingine wa kutujazia wakongo ambao viwango vyao vinazidiwa na wachezaji wengi tu wa kitanzania muuache vilevile tafuta scout afanye kazi hiyo

Na huu ujinga wa kumsajili mchezaji baada ya kumuona akicheza mechi moja au mbili na akacheza vizuri, mkakurupuka na kumsajili vilevile muuache tafuta scout afanye hiyo kazi ya kumfatilia zaidi huyo mchezaji..... maana inawezekana hata hapo baada ya kucheza na Al Ahli mshaanza na maongezi na baadhi ya wachezaji wao


Nimemaliza


Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Ushauri mzuri.
 
Yani wewe jamaa ni mpuuzi sana, hivi hao wadhamini unaozungumzia wanatosha kucover salary za quality players? Bongo bado ndio tunaanza kujitafuta kwenye soka usiwe mjinga unanyoosha tu vidole jitahidi uielewe soka kwanza acha ushabiki maandaz
Ungejikita kwenye hoja zake bila kumtukana ingependeza zaidi.
 
Umeshawahi kuchangia hela kiasi gani kusajili wachezaji?
Akili mgando hii! Mshabiki akilipia tu kiingilio cha kuingia uwanjani, tayari amechangia fedha kwenye klabu yake! Akinunua jezi ya timu, tayari amechangia fedha kwenye klabu yake!

Wadhamini wengi huvutiwa kuingia mikataba minono na timu yenye fans base wengi! Na fedha hizo kutoka kwa wadhamini, ndizo zinazotumika kusajilia hao wachezaji!
Sasa wewe unapata wapi ujasiri wa kumdharau shabiki wa timu?
 
Mashindano ya klabu bingwa ndio haya yameanza, tafuteni scout wa kuwatafutia wachezaji wazuri zaidi watakaowasaidia hapo yanga Katika mashindano ya kimataifa

Huu ujinga wa kuleta mchezaji toka uingereza anakuja kulipwa hela nyingi na kuja kukaa benchi....... ni hela ambazo zingetosha kabisa kumuajiri scout wa kutafuta vipaji vitakavyo isadia yanga kipiga hatua nyingi mbele

Na huu ujinga mwingine wa kutujazia wakongo ambao viwango vyao vinazidiwa na wachezaji wengi tu wa kitanzania muuache vilevile tafuta scout afanye kazi hiyo

Na huu ujinga wa kumsajili mchezaji baada ya kumuona akicheza mechi moja au mbili na akacheza vizuri, mkakurupuka na kumsajili vilevile muuache tafuta scout afanye hiyo kazi ya kumfatilia zaidi huyo mchezaji..... maana inawezekana hata hapo baada ya kucheza na Al Ahli mshaanza na maongezi na baadhi ya wachezaji wao


Nimemaliza


Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Hii tabia isijirudie... so sad!
 

Attachments

  • Screenshot_20221018-131028.png
    Screenshot_20221018-131028.png
    88.6 KB · Views: 3
Yani wewe jamaa ni mpuuzi sana, hivi hao wadhamini unaozungumzia wanatosha kucover salary za quality players? Bongo bado ndio tunaanza kujitafuta kwenye soka usiwe mjinga unanyoosha tu vidole jitahidi uielewe soka kwanza acha ushabiki maandaz
Punguza hasira Utopolo, pokea ushauri umpelekee "injinia"
 
Huo udhamini ambao huwezi gombania mchezaji na tp mazembe, asec au piramid?

Yanga bado timu changa kimuundo tusitarajie makubwa
Mazembe hii hii au ya zamani? Mazembe hii ya Thomas Ulimwengu, Ramadhani Singano na Eliud Ambokile? Ndo usajili wa kutisha huo!? Kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati hakuna mbabe wa kuwanyanganya mchezaji Simba na Yanga, tuache kuishi kwa historia.
 
Hii tabia isijirudie... so sad!
Na hiyo slogan yao HAWATAAMINI ni kwamba usajili wao asilimia kubwa ilikuwa kushindana na simba tu baas..... matokeo yake wenzetu wameenda makundi champions league na sisi usajili wetu wa kuwaringishia simba azizi ki unaenda kututia aibu tu mtaani

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Akili mgando hii! Mshabiki akilipia tu kiingilio cha kuingia uwanjani, tayari amechangia fedha kwenye klabu yake! Akinunua jezi ya timu, tayari amechangia fedha kwenye klabu yake!

Wadhamini wengi huvutiwa kuingia mikataba minono na timu yenye fans base wengi! Na fedha hizo kutoka kwa wadhamini, ndizo zinazotumika kusajilia hao wachezaji!
Sasa wewe unapata wapi ujasiri wa kumdharau shabiki wa timu?
Shabiki maandazi mwingine huyu, game kubwa kimataifa mpo nyumbani na uwanja haukujaa. Mpo mitaani mnachosubiri ni ushindi tu.

Wewe utaendesha club ya kushindana kimataifa na vilabu vikubwa huku mdhamini mkubwa anaweka bil 4 kwa mwaka??!!!

Ebu jifunzeni soka kwanza kuna watu mnastarehe ya kuropokaropoka.
 
Na hiyo slogan yao HAWATAAMINI ni kwamba usajili wao asilimia kubwa ilikuwa kushindana na simba tu baas..... matokeo yake wenzetu wameenda makundi champions league na sisi usajili wetu wa kuwaringishia simba azizi ki unaenda kututia aibu tu mtaani

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Simba wameenda makundi sio kwa sababu wana timu bora, wamefuzu sababu wamekutana na vibonde. Mungu alikuwa upande wao, sasa subiri uwaone kwenye makundi
 
Back
Top Bottom