Ushauri kwako Injinia Hersi

Huo udhamini ambao huwezi gombania mchezaji na tp mazembe, asec au piramid?

Yanga bado timu changa kimuundo tusitarajie makubwa
Bil 12 ya mdhamini mkuu kwa miaka mitatu kwa timu kama Al Alhy ni pesa ya mishahara ya makocha tu
 
Ushauri mzuri.
 
Yani wewe jamaa ni mpuuzi sana, hivi hao wadhamini unaozungumzia wanatosha kucover salary za quality players? Bongo bado ndio tunaanza kujitafuta kwenye soka usiwe mjinga unanyoosha tu vidole jitahidi uielewe soka kwanza acha ushabiki maandaz
Ungejikita kwenye hoja zake bila kumtukana ingependeza zaidi.
 
Umeshawahi kuchangia hela kiasi gani kusajili wachezaji?
Akili mgando hii! Mshabiki akilipia tu kiingilio cha kuingia uwanjani, tayari amechangia fedha kwenye klabu yake! Akinunua jezi ya timu, tayari amechangia fedha kwenye klabu yake!

Wadhamini wengi huvutiwa kuingia mikataba minono na timu yenye fans base wengi! Na fedha hizo kutoka kwa wadhamini, ndizo zinazotumika kusajilia hao wachezaji!
Sasa wewe unapata wapi ujasiri wa kumdharau shabiki wa timu?
 
Hii tabia isijirudie... so sad!
 

Attachments

  • Screenshot_20221018-131028.png
    88.6 KB · Views: 3
Yani wewe jamaa ni mpuuzi sana, hivi hao wadhamini unaozungumzia wanatosha kucover salary za quality players? Bongo bado ndio tunaanza kujitafuta kwenye soka usiwe mjinga unanyoosha tu vidole jitahidi uielewe soka kwanza acha ushabiki maandaz
Punguza hasira Utopolo, pokea ushauri umpelekee "injinia"
 
Huo udhamini ambao huwezi gombania mchezaji na tp mazembe, asec au piramid?

Yanga bado timu changa kimuundo tusitarajie makubwa
Mazembe hii hii au ya zamani? Mazembe hii ya Thomas Ulimwengu, Ramadhani Singano na Eliud Ambokile? Ndo usajili wa kutisha huo!? Kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati hakuna mbabe wa kuwanyanganya mchezaji Simba na Yanga, tuache kuishi kwa historia.
 
Hii tabia isijirudie... so sad!
Na hiyo slogan yao HAWATAAMINI ni kwamba usajili wao asilimia kubwa ilikuwa kushindana na simba tu baas..... matokeo yake wenzetu wameenda makundi champions league na sisi usajili wetu wa kuwaringishia simba azizi ki unaenda kututia aibu tu mtaani

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Shabiki maandazi mwingine huyu, game kubwa kimataifa mpo nyumbani na uwanja haukujaa. Mpo mitaani mnachosubiri ni ushindi tu.

Wewe utaendesha club ya kushindana kimataifa na vilabu vikubwa huku mdhamini mkubwa anaweka bil 4 kwa mwaka??!!!

Ebu jifunzeni soka kwanza kuna watu mnastarehe ya kuropokaropoka.
 
Simba wameenda makundi sio kwa sababu wana timu bora, wamefuzu sababu wamekutana na vibonde. Mungu alikuwa upande wao, sasa subiri uwaone kwenye makundi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…