USHAURI: Kwako Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu

USHAURI: Kwako Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu

Una akili sana wewe jamaa!!! Hata Mimi nampenda sana Lissu ila kasoro ndo hizo ulizosema.

Labda niongeze jambo Moja tu,
Lissu ana msimamo usioyumba lakini yumo ndani ya chama Cha mtu ambaye ni king'ang'anizi sana. Mbowe hataki kufunikwa na Wala kukisolewa. Mbowe siyo mwaminifu na mtu wa deal mno. Ni rahisi sana Lissu kuuzwa!!

Ikimpendeza Mungu basi AMTWAE MBOWE ili Taifa lipone na Lissu aongoze nchi
Sidhani kama mbowe ni Tatizo, naamni hadi kufkia ilpochadema pamoja na jitihada za viongozi wengne, lakini uimara wa chadema mpaka sasa umechangiwa Kwa kiasi kikubwa na uwepo wa mbowe

Sidhani kama unaushahidi, kama unachuki bnafsi na viongozi wa chademana usiziweke katika maandishi mkuu, zihifadhi katika ubongo wako tu.
 
En
Kumbuka Magufuli alikuwa anashirikiana na akina Makonda , Bashiru Ally , Polepole , Kipilimba , Sirro , Kingai na wengine wengi ambao wako hai , Waliyoyafanya ni lazima yakemewe kwa kuwataja hadharani ili pasitokee tena uchafu ule , ni lazima watajwe hadharani ili Wananchi waliopotelewa na ndugu zao waelewe Wahusika halisi wa huu uharamia .

Shetani hapaswi kuhurumiwa na ndio maana anatajwa miaka yote
Endeleeni na ujinga wenu Ikulu mtaisikia tu!!!

Wenzenu CCM walitaka kuungana na ujinga wenu, wamegundua watapotea saa hizi Kila siku Kiguu na njia kwenda kujisafisha kwa Magufuli.

Mngekuwa na akili hapo ndo mngecheza vizuri karata ya siasa!!

Endeleeni kupambana na marehemu Kwa sababu Mbowe Wala hana haja ya kumchukua Dola, yeye ana mgao wake!
 
Pamoja na ombi lako , lakini huwezi kutatua matatizo bila kuwataja waliyoyaleta na kuwatolea mfano , kwa mfano huwezi kuzungumzia Demokrasia ya Tanzania bila kumtaja Dikteta Magufuli , enzi za huyu mtu ndio viroba vilivyojaa maiti viliokotwa Baharini kila Wiki , baada ya yeye kuondoka na viroba vimepotea .

Huwezi kutatua changamoto kwa kuficha Ukweli
Unavyong'ang'a na Magufuli utadhani atafufuka aje kugombea uenyekiti Chadema "sumu haionjwi".
 
Sidhani kama mbowe ni Tatizo,naamni hadi kufkia ilpochadema pamoja na jitihada za viongozi wengne,lkn uimara wa chadema mpaka sasa umechangiwa Kwa kias kikubwa na uwepo wa mbowe

Sidhani kama unaushahidi,kama unachuki bnafsi na viongozi wa chademana usiziweke ktk maandishi mkuu,zihifadhi ktk ubongo wako tu.
Magenge ya majizi
 
Pamoja na ombi lako , lakini huwezi kutatua matatizo bila kuwataja waliyoyaleta na kuwatolea mfano , kwa mfano huwezi kuzungumzia Demokrasia ya Tanzania bila kumtaja Dikteta Magufuli , enzi za huyu mtu ndio viroba vilivyojaa maiti viliokotwa Baharini kila Wiki , baada ya yeye kuondoka na viroba vimepotea .

Huwezi kutatua changamoto kwa kuficha Ukweli
Faraja nayo ni tiba
 
Salaam Mhe. Tundu lissu, Natumaini unaendelea vema. Mhe. Tundu lissu nikiri kwamba mimi ni miongoni mwa watanzania ninayekupenda na kukufatilia sana.

Naamin kabisa katika siasa za Tanzania wewe ndiye mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa kwa sasa. Ushawishi wako unajengwa na misimamo yako na uelewa mkubwa ulionao katika maswala ya sheria na kimataifa. Eneo hili unalitendea haki kwelikweli. Ukweli usiopingika wewe ni mbishi sana na unaamin unachokisimamia, upo tayari kukifia na kukifanya kwa Gharama yoyote unahulka kama za Magufuri ila tofauti yenu ni kwamba wewe ulkuwa na uelewa wa mambo ya sheria na uko tayari kukosolewa, Hayati Magufuli alikuwa amenyooka, anadhubutu kufanya anachoamini na hakutaka ushauri na kukosolewa.

Mhe.Tundu lissu, naamini kupitia chama chako kama itawependeza utapitishwa kugombea tena nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

leo kupitia jukwaa hili naomba nikushauri mambo 3 tu, ninayoyaona kwako na ninayoamin watanzania wengi watayapenda, Inawezekana nisiwe sahihi sana lakin kwa mtazamo wangu kama utaamua kuyafanya, itakuongezea ushawishi maradufu.

1. UTATUZI WA MATATIZO YA JAMII.
Watanzania wanapenda kutatuliwa matatizo katika jamii, hawataki kujua aliyeyaleta au kuwasababishia.

Magufuli aliliweza hili, alkuwa tayari kuikana CCM ili tu kuwaonesha kuwa yeye yupo kutatua matatizo ya jamii,Viongozi waliokosea hakusita kuwasema, kuwapa onyo na kalipio kali au kuwatumbua,hii ni njia iliyompa umaarufu sana hasa kwa watu maskini. Watanzania wala hawajali kama matatizo yote haya yameletwa na CCM lkn wanahtaji mtu atakaeweza kuwasemea tena kwa ukali bila hofu,anaeonya na anaeonesha utatuzi.

Kwa sasa huna uwezo wa kimamlaka kutatua matatizo ya jamii,lakini unaweza kusababisha utatuzi na jamii ikaona wewe ndiye uliyeleta suluhu,katika ziara za kisiasa utakazofanya sasa jikite sana katika kueleza matatizo yaliyopo katika jamii, waseme watendaji wazembe, wanaojitahidi wape stahiki yao,lakini pia wambie wananchi wewe ukishika mamlaka utafanya lipi au utatatuaje hayo matatizo waliyonayo.

2. USITUMIE MUDA MWINGI KUMLAUMU MAGUFULI, HILI WATANZANIA WANALIJUA VIZURI KWA SASA.
Naomba niweke wazi tu katika hili. Kama nilvoeleza licha ya mapungufu mengi aliyokuwa nayo magufuri lakini mpaka sasa wananchi wa kawaida na hata baadhi ya watanzania wanamkumbuka magufuli hasa katika hatua zake nyingi za haraka alizokuwa anachukua kutatua changamoto za kiutendaji serikalini, kwa sasa hakuna kiongozi mwenye udhubutu huo,Raisi anaagiza lakin maagizo yake hayazingatiwi na watendaji.

Mfano tu Rais ameagiza mara nyingi kutocheleweshwa malipo ya makandarasi hasa wazawa ambayo hulimbikizwa na mwisho wa siku wanaanza kucharge interest za kuchelewehewa malipo lakini ukweli ni kwamba wakandarasi wa ndani na wazabuni sasa ni zaidi ya miezi takribani 10 hawajalipwa, ukitoa miradi ya TARURA labda na TANROAD na hazina wanajua hili na hakuna anaewajibika.

Watanzania wengi wanajua hukutendewa haki,ulionewa na halkuwa jambo jema kabisa kushambuliwa lakin kwa sasa wanawaza sana matatizo waliyonayo,wanataka kiongozi anayesema na wasaidizi kutii na kufanya,wanamkumbuka magufuri ndo mana wanamuona makonda kama anaweza kuvaa viatu vyake.

Watanzania wamechoka na siasa za uchawa, hawapendi kiongozi anayesema tu bila utekelezwaji, wewe ndie unaeweza kusema na kutenda, unaweza kusimamia ulichosema na kikatendeka,kwa sasa jikite katika kuwakusanya watanzania kwa pamoja bila kuajli itikadi zao na bila kujali walimpenda nani.

Hakika nakwambia Tundu Lissu, Watanzania wanakuamini usiwaangushe kuna kitu unawanyima.

3. USIKAE KIMYA SANA HASA WATANZANIA WANAPOKUMBWA NA JAMBO KATIKA JAMII.
Inawezekana kuna ile hali ya kusema ngoja wote tuongee lugha moja,lkn watanzania ni wasahaulifu sana, ikitokea tatzo walilonalo limeisha wanajisahaulisha. Mfano kwa sasa kunatatizo kubwa la kukatika kwa umeme na mgao wa maji baadhi ya maeneo.

Hakuna kiongozi yoyote wa serikali aliyeingilia kutatua hili swala, hata kauli za Viongozi wa kuu wa serikali zinaonesha zimekaa kisiasa na utani tu.mimi naamini nyakati kama hizi hustahili kuwa kimya, na hii itawafanya Viongozi waamke lkn watanzania wataona wewe ndo umewapa msaada. kiongozi uskate tamaa kuaddress matatizo lakini kila wakati ukiaddress jitahidi sana kuonesha mbadala wa kutatua.

Mhe.Tundu Lissu pamoja na wote mtakao wania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkumbuke tu kwamba watanzania wengi ni maskini,mifumo ya uwajibikaji ni mibovu, elimu inayotolewa haijitoshelezi kuwezesha vijana kujiajiri lkn mifumo ya kusidia vijana kujiajiri ni mibovu pia, mifumo ya kufanya biashara si rafiki sana, Viongozi wengi wa juu serikalini ni mafisadi kwa kiwango kikubwa.

Mhe.Tundu lissu, umasikini ni mbaya sana,ni kama laana. Tafadhali ukiwa Raisi jitahidi kuinua kaya maskini, na vijana ikibidi kwa kutenga budget ya kuwalipa kila mwezi kiwango kizuri kitakachowainua kiuchumi, najua pia serikali ya CCM inafanya Hivyo lkn kinachofanyika ni uhuni na urasimu mkubwa sana, pesa zinatafunwa na haziwafikii walengwa no body cares in the system.

Mhe.Tundu lissu, naamin utakuwa Rais ajae. Najua unajua mengi sana katika jamii ya watanzania lkn naamn andiko langu litakusaidia walau kama si kufanya yote lkn utapata nafasi ya kutafakari upya.

View attachment 2864655
Halafu wewe jamaa wa ajabu sana. Na Mimi nikushauri yafuatayo:

1. Kwanza, huwezi kutatua matatizo ya nchi hii pasipo kuwataja waasisi wa matatizo haya CCM na viongozi wao kuanzia J. K. Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Hayati Benjamin Mkapa, J. M. Kikwete, Hayati John Pombe Magufuli na sasa Samia Suluhu Hassan..

2. Pili, Baada ya kukusoma nimeamini bila shaka yoyote kuwa kumbe huwa humsikilizi wala kumwelewa Tundu Lissu katika hoja zake za nini anataka kwa ajili ya watu/jamii, nchi na taifa hili...

3. Tatu, kwa upload video hiyo ya Hayati Rais Magufuli (likely ukijaribu kumlinganisha TL na JPM ktk kile ulichokiita "kutatua matatizo ya kijamii"). Kwamba TL amwige Magufuli ktk njia za kutatua hayo matatizo ya kijamii na hivyo atapendwa na watu. Mimi nakuambia wewe hujui lakini hujui kuwa hujui...

Kwa sababu kwa hili, naweza kukuuliza swali moja tu kubwa, kwamba, Je hayo matatizo yaliondoka au yapo tu mpaka leo?

Mfano;

√ Je, aliondoa tatizo la umeme au lipo tu mpaka leo na pengine hali ni mbaya zaidi?

√ Je, aliondoa kero na tatizo na huduma za afya, elimu, maji nk au zipo tu mpaka leo na pengine hali ni mbaya zaidi?

√ Je, aliondoa matatizo la rushwa, ufisadi, uzembe kazini na wizi wa mali ya umma unaofanywa na viongozi wa wenye mamlaka walio ktk ofisi za umma au yapo na tena hali ikiwa mbaya zaidi?


Kama yapo, sasa wewe unaotoa wapi ujasiri wa kutuambia kuwa Magufuli alitatua matatizo ya watu? Au unapiga propaganda za uongo na hadaa Kwa ajili ya uchaguzi tu?


Labda km unamaanisha kuamua matatizo kama ya ugoni, kuamua ugomvi wa mtu na mtu, kufukuza kazi watumishi hadharani tena ktk namna dhalili ya kuwavunjia utu na heshima yao hadharani nk, basi unaweza kuwa sahihi..

Lakini kama ni utatuzi wa matatizo sugu ya jamii ya Kitanzania, kama rushwa, ufisadi, wizi wa mali ya umma, wizi wa kura ktk chaguzi, uhovyo wa huduma za kijamii kama elimu, umeme, maji nk nk hakuwahi kufanya lolote la maana na ndio maana matatizo haya yapo mpaka leo na tena hali ni mbaya zaidi..!!

3. Nne, na Kwa kuzingatia hoja hiyo hapo☝️☝️☝️juu ndipo unapoweza kuona tofauti ya approach ykati ya TL na Magufuli na CCM Kwa ujumla ktk utatuzi matatizo na changamoto za kijamii hizi👇👇👇👇👇

√ Ukosefu wa haki ktk jamii yetu

√ Ubovu na uduni wa huduma za kijamii kama maji, umeme, elimu, usafiri na usafirishaji, afya nk nk.

√ Tatizo la rushwa na ufisadi + wizi wa mali na fedha za umma kwenye ofisi za umma toka kwa viongozi wenye maamuzi na mamlaka..

√ Tatizo la mfumo wa hovyo wa uchaguzi Kwa ajili ya kupata viongozi nk nk..

4. Tano, Tofauti ya watu hawa wawili TL & JPM na CCM yote Kwa ujumla wake ni njia (approach) ya kutatua matatizo haya...

👉Tundu Lissu anaamini kuwa matatizo haya, yanaweza kupata suluhu ya kudumu kwa kujenga taasisi na mifumo imara ya utawala inayojitegemea kwa njia ya kutengeneza mfumo imara wa Kikatiba na Kisheria. Hii ndiyo mission ya Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla. Na Mimi nakubaliana nao..

👉John Pombe Magufuli (hayati) na sasa Samia Suluhu Hassan na CCM yao kwa ujumla wao wanaamini ktk personality ya mtu aitwaye "Rais" kuwa ndiye anayeweza kutatua changamoto na matatizo ya kijamii kama nilivyoyaorodhesha hapo juu. Huu ni uongo na haiwezekani...!!

👉Personality ya mtu (Rais) inaweza kufanya kazi kwa muda tu. Akiondoka au akifa, huondoka au hufa na kila kilichokuwa chake (mawazo na plan zake) na baada ya hapo mnaanza upya tena. Mfano Magufuli unayemsifia alikufa na hayo mazuri yake na Leo watu wanamtafuta Magufuli mwingine..!!
 
Sehemu kubwa ya ushauri wa MDAU upo SAWA,.ni busara kuchukua yale nayofaa na kuyafanyia kazi, ngazi ya chama na hata Mh Lissu mwenyewe..nimependa hapo kwenye kutoa Suluhu MBADALA

Labda na mimi niongezee kwa CDM,KUANZISHA TV na RADIO ya chama haraka kwa ajili ya kueneza SERA MBADALA za chama,

Huwa ninautamaduni wa kuingia you tube na kuangalia MICHANGO ya Mh Lissu et al wakiwa bungeni na kwenye mikutano ya HADHARA,hakika ni michango yenye TIJA sana,sasa chama kingekuwa kina Runinga yake,hakika ELIMU ingesambaa kwa haraka,
Lifanyieni kazi haraka na nauhakika wapenda demokrasia wengi tupo tayari kuchangia
Asante@ Ethrocytes
 
Salaam Mhe. Tundu lissu, Natumaini unaendelea vema. Mhe. Tundu lissu nikiri kwamba mimi ni miongoni mwa watanzania ninayekupenda na kukufatilia sana.

Naamin kabisa katika siasa za Tanzania wewe ndiye mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa kwa sasa. Ushawishi wako unajengwa na misimamo yako na uelewa mkubwa ulionao katika maswala ya sheria na kimataifa. Eneo hili unalitendea haki kwelikweli. Ukweli usiopingika wewe ni mbishi sana na unaamin unachokisimamia, upo tayari kukifia na kukifanya kwa Gharama yoyote unahulka kama za Magufuri ila tofauti yenu ni kwamba wewe ulkuwa na uelewa wa mambo ya sheria na uko tayari kukosolewa, Hayati Magufuli alikuwa amenyooka, anadhubutu kufanya anachoamini na hakutaka ushauri na kukosolewa.

Mhe.Tundu lissu, naamini kupitia chama chako kama itawependeza utapitishwa kugombea tena nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

leo kupitia jukwaa hili naomba nikushauri mambo 3 tu, ninayoyaona kwako na ninayoamin watanzania wengi watayapenda, Inawezekana nisiwe sahihi sana lakin kwa mtazamo wangu kama utaamua kuyafanya, itakuongezea ushawishi maradufu.

1. UTATUZI WA MATATIZO YA JAMII.
Watanzania wanapenda kutatuliwa matatizo katika jamii, hawataki kujua aliyeyaleta au kuwasababishia.

Magufuli aliliweza hili, alkuwa tayari kuikana CCM ili tu kuwaonesha kuwa yeye yupo kutatua matatizo ya jamii,Viongozi waliokosea hakusita kuwasema, kuwapa onyo na kalipio kali au kuwatumbua,hii ni njia iliyompa umaarufu sana hasa kwa watu maskini. Watanzania wala hawajali kama matatizo yote haya yameletwa na CCM lkn wanahtaji mtu atakaeweza kuwasemea tena kwa ukali bila hofu,anaeonya na anaeonesha utatuzi.

Kwa sasa huna uwezo wa kimamlaka kutatua matatizo ya jamii,lakini unaweza kusababisha utatuzi na jamii ikaona wewe ndiye uliyeleta suluhu,katika ziara za kisiasa utakazofanya sasa jikite sana katika kueleza matatizo yaliyopo katika jamii, waseme watendaji wazembe, wanaojitahidi wape stahiki yao,lakini pia wambie wananchi wewe ukishika mamlaka utafanya lipi au utatatuaje hayo matatizo waliyonayo.

2. USITUMIE MUDA MWINGI KUMLAUMU MAGUFULI, HILI WATANZANIA WANALIJUA VIZURI KWA SASA.
Naomba niweke wazi tu katika hili. Kama nilvoeleza licha ya mapungufu mengi aliyokuwa nayo magufuri lakini mpaka sasa wananchi wa kawaida na hata baadhi ya watanzania wanamkumbuka magufuli hasa katika hatua zake nyingi za haraka alizokuwa anachukua kutatua changamoto za kiutendaji serikalini, kwa sasa hakuna kiongozi mwenye udhubutu huo,Raisi anaagiza lakin maagizo yake hayazingatiwi na watendaji.

Mfano tu Rais ameagiza mara nyingi kutocheleweshwa malipo ya makandarasi hasa wazawa ambayo hulimbikizwa na mwisho wa siku wanaanza kucharge interest za kuchelewehewa malipo lakini ukweli ni kwamba wakandarasi wa ndani na wazabuni sasa ni zaidi ya miezi takribani 10 hawajalipwa, ukitoa miradi ya TARURA labda na TANROAD na hazina wanajua hili na hakuna anaewajibika.

Watanzania wengi wanajua hukutendewa haki,ulionewa na halkuwa jambo jema kabisa kushambuliwa lakin kwa sasa wanawaza sana matatizo waliyonayo,wanataka kiongozi anayesema na wasaidizi kutii na kufanya,wanamkumbuka magufuri ndo mana wanamuona makonda kama anaweza kuvaa viatu vyake.

Watanzania wamechoka na siasa za uchawa, hawapendi kiongozi anayesema tu bila utekelezwaji, wewe ndie unaeweza kusema na kutenda, unaweza kusimamia ulichosema na kikatendeka,kwa sasa jikite katika kuwakusanya watanzania kwa pamoja bila kuajli itikadi zao na bila kujali walimpenda nani.

Hakika nakwambia Tundu Lissu, Watanzania wanakuamini usiwaangushe kuna kitu unawanyima.

3. USIKAE KIMYA SANA HASA WATANZANIA WANAPOKUMBWA NA JAMBO KATIKA JAMII.
Inawezekana kuna ile hali ya kusema ngoja wote tuongee lugha moja,lkn watanzania ni wasahaulifu sana, ikitokea tatzo walilonalo limeisha wanajisahaulisha. Mfano kwa sasa kunatatizo kubwa la kukatika kwa umeme na mgao wa maji baadhi ya maeneo.

Hakuna kiongozi yoyote wa serikali aliyeingilia kutatua hili swala, hata kauli za Viongozi wa kuu wa serikali zinaonesha zimekaa kisiasa na utani tu.mimi naamini nyakati kama hizi hustahili kuwa kimya, na hii itawafanya Viongozi waamke lkn watanzania wataona wewe ndo umewapa msaada. kiongozi uskate tamaa kuaddress matatizo lakini kila wakati ukiaddress jitahidi sana kuonesha mbadala wa kutatua.

Mhe.Tundu Lissu pamoja na wote mtakao wania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkumbuke tu kwamba watanzania wengi ni maskini,mifumo ya uwajibikaji ni mibovu, elimu inayotolewa haijitoshelezi kuwezesha vijana kujiajiri lkn mifumo ya kusidia vijana kujiajiri ni mibovu pia, mifumo ya kufanya biashara si rafiki sana, Viongozi wengi wa juu serikalini ni mafisadi kwa kiwango kikubwa.

Mhe.Tundu lissu, umasikini ni mbaya sana,ni kama laana. Tafadhali ukiwa Raisi jitahidi kuinua kaya maskini, na vijana ikibidi kwa kutenga budget ya kuwalipa kila mwezi kiwango kizuri kitakachowainua kiuchumi, najua pia serikali ya CCM inafanya Hivyo lkn kinachofanyika ni uhuni na urasimu mkubwa sana, pesa zinatafunwa na haziwafikii walengwa no body cares in the system.

Mhe.Tundu lissu, naamin utakuwa Rais ajae. Najua unajua mengi sana katika jamii ya watanzania lkn naamn andiko langu litakusaidia walau kama si kufanya yote lkn utapata nafasi ya kutafakari upya.

View attachment 2864655
Lissu habari yake imeisha baada ya Mwenyekiti wake kufika Bei kwa mabeberu 😂😂😂 Sasa ivi hata platform zake CHADEMA hawazipi kipaumbele
 
Pamoja na ombi lako , lakini huwezi kutatua matatizo bila kuwataja waliyoyaleta na kuwatolea mfano , kwa mfano huwezi kuzungumzia Demokrasia ya Tanzania bila kumtaja Dikteta Magufuli , enzi za huyu mtu ndio viroba vilivyojaa maiti viliokotwa Baharini kila Wiki , baada ya yeye kuondoka na viroba vimepotea .

Huwezi kutatua changamoto kwa kuficha Ukweli
Unawaza kwa kukurupuka sana, tuliza akili umsometena mleta mada utaelewa anacho maanisha.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Salaam Mhe. Tundu lissu, Natumaini unaendelea vema. Mhe. Tundu lissu nikiri kwamba mimi ni miongoni mwa watanzania ninayekupenda na kukufatilia sana.

Naamin kabisa katika siasa za Tanzania wewe ndiye mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa kwa sasa. Ushawishi wako unajengwa na misimamo yako na uelewa mkubwa ulionao katika maswala ya sheria na kimataifa. Eneo hili unalitendea haki kwelikweli. Ukweli usiopingika wewe ni mbishi sana na unaamin unachokisimamia, upo tayari kukifia na kukifanya kwa Gharama yoyote unahulka kama za Magufuri ila tofauti yenu ni kwamba wewe ulkuwa na uelewa wa mambo ya sheria na uko tayari kukosolewa, Hayati Magufuli alikuwa amenyooka, anadhubutu kufanya anachoamini na hakutaka ushauri na kukosolewa.

Mhe.Tundu lissu, naamini kupitia chama chako kama itawependeza utapitishwa kugombea tena nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

leo kupitia jukwaa hili naomba nikushauri mambo 3 tu, ninayoyaona kwako na ninayoamin watanzania wengi watayapenda, Inawezekana nisiwe sahihi sana lakin kwa mtazamo wangu kama utaamua kuyafanya, itakuongezea ushawishi maradufu.

1. UTATUZI WA MATATIZO YA JAMII.
Watanzania wanapenda kutatuliwa matatizo katika jamii, hawataki kujua aliyeyaleta au kuwasababishia.

Magufuli aliliweza hili, alkuwa tayari kuikana CCM ili tu kuwaonesha kuwa yeye yupo kutatua matatizo ya jamii,Viongozi waliokosea hakusita kuwasema, kuwapa onyo na kalipio kali au kuwatumbua,hii ni njia iliyompa umaarufu sana hasa kwa watu maskini. Watanzania wala hawajali kama matatizo yote haya yameletwa na CCM lkn wanahtaji mtu atakaeweza kuwasemea tena kwa ukali bila hofu,anaeonya na anaeonesha utatuzi.

Kwa sasa huna uwezo wa kimamlaka kutatua matatizo ya jamii,lakini unaweza kusababisha utatuzi na jamii ikaona wewe ndiye uliyeleta suluhu,katika ziara za kisiasa utakazofanya sasa jikite sana katika kueleza matatizo yaliyopo katika jamii, waseme watendaji wazembe, wanaojitahidi wape stahiki yao,lakini pia wambie wananchi wewe ukishika mamlaka utafanya lipi au utatatuaje hayo matatizo waliyonayo.

2. USITUMIE MUDA MWINGI KUMLAUMU MAGUFULI, HILI WATANZANIA WANALIJUA VIZURI KWA SASA.
Naomba niweke wazi tu katika hili. Kama nilvoeleza licha ya mapungufu mengi aliyokuwa nayo magufuri lakini mpaka sasa wananchi wa kawaida na hata baadhi ya watanzania wanamkumbuka magufuli hasa katika hatua zake nyingi za haraka alizokuwa anachukua kutatua changamoto za kiutendaji serikalini, kwa sasa hakuna kiongozi mwenye udhubutu huo,Raisi anaagiza lakin maagizo yake hayazingatiwi na watendaji.

Mfano tu Rais ameagiza mara nyingi kutocheleweshwa malipo ya makandarasi hasa wazawa ambayo hulimbikizwa na mwisho wa siku wanaanza kucharge interest za kuchelewehewa malipo lakini ukweli ni kwamba wakandarasi wa ndani na wazabuni sasa ni zaidi ya miezi takribani 10 hawajalipwa, ukitoa miradi ya TARURA labda na TANROAD na hazina wanajua hili na hakuna anaewajibika.

Watanzania wengi wanajua hukutendewa haki,ulionewa na halkuwa jambo jema kabisa kushambuliwa lakin kwa sasa wanawaza sana matatizo waliyonayo,wanataka kiongozi anayesema na wasaidizi kutii na kufanya,wanamkumbuka magufuri ndo mana wanamuona makonda kama anaweza kuvaa viatu vyake.

Watanzania wamechoka na siasa za uchawa, hawapendi kiongozi anayesema tu bila utekelezwaji, wewe ndie unaeweza kusema na kutenda, unaweza kusimamia ulichosema na kikatendeka,kwa sasa jikite katika kuwakusanya watanzania kwa pamoja bila kuajli itikadi zao na bila kujali walimpenda nani.

Hakika nakwambia Tundu Lissu, Watanzania wanakuamini usiwaangushe kuna kitu unawanyima.

3. USIKAE KIMYA SANA HASA WATANZANIA WANAPOKUMBWA NA JAMBO KATIKA JAMII.
Inawezekana kuna ile hali ya kusema ngoja wote tuongee lugha moja,lkn watanzania ni wasahaulifu sana, ikitokea tatzo walilonalo limeisha wanajisahaulisha. Mfano kwa sasa kunatatizo kubwa la kukatika kwa umeme na mgao wa maji baadhi ya maeneo.

Hakuna kiongozi yoyote wa serikali aliyeingilia kutatua hili swala, hata kauli za Viongozi wa kuu wa serikali zinaonesha zimekaa kisiasa na utani tu.mimi naamini nyakati kama hizi hustahili kuwa kimya, na hii itawafanya Viongozi waamke lkn watanzania wataona wewe ndo umewapa msaada. kiongozi uskate tamaa kuaddress matatizo lakini kila wakati ukiaddress jitahidi sana kuonesha mbadala wa kutatua.

Mhe.Tundu Lissu pamoja na wote mtakao wania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkumbuke tu kwamba watanzania wengi ni maskini,mifumo ya uwajibikaji ni mibovu, elimu inayotolewa haijitoshelezi kuwezesha vijana kujiajiri lkn mifumo ya kusidia vijana kujiajiri ni mibovu pia, mifumo ya kufanya biashara si rafiki sana, Viongozi wengi wa juu serikalini ni mafisadi kwa kiwango kikubwa.

Mhe.Tundu lissu, umasikini ni mbaya sana,ni kama laana. Tafadhali ukiwa Raisi jitahidi kuinua kaya maskini, na vijana ikibidi kwa kutenga budget ya kuwalipa kila mwezi kiwango kizuri kitakachowainua kiuchumi, najua pia serikali ya CCM inafanya Hivyo lkn kinachofanyika ni uhuni na urasimu mkubwa sana, pesa zinatafunwa na haziwafikii walengwa no body cares in the system.

Mhe.Tundu lissu, naamin utakuwa Rais ajae. Najua unajua mengi sana katika jamii ya watanzania lkn naamn andiko langu litakusaidia walau kama si kufanya yote lkn utapata nafasi ya kutafakari upya.

View attachment 2864655
Watu genuine na objective hivi kwenye JF hii, wanahesabika!, ubarikiwe sana!.
P
 
Huu ujinga ndio unaowapoteza. Sasa endeleeni kukomaa na visasi vyenu muone kama mtatoboa. Sijui kwanini Wachaga mna roho kama Hamas
We ni mpumbavu unadhani baba Yako angefungwa kwenye sandarusi na kuokotwa Kokobichi ungekuja na huu ushuzi?
 
Salaam Mhe. Tundu lissu, Natumaini unaendelea vema. Mhe. Tundu lissu nikiri kwamba mimi ni miongoni mwa watanzania ninayekupenda na kukufatilia sana.

Naamin kabisa katika siasa za Tanzania wewe ndiye mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa kwa sasa. Ushawishi wako unajengwa na misimamo yako na uelewa mkubwa ulionao katika maswala ya sheria na kimataifa. Eneo hili unalitendea haki kwelikweli. Ukweli usiopingika wewe ni mbishi sana na unaamin unachokisimamia, upo tayari kukifia na kukifanya kwa Gharama yoyote unahulka kama za Magufuri ila tofauti yenu ni kwamba wewe ulkuwa na uelewa wa mambo ya sheria na uko tayari kukosolewa, Hayati Magufuli alikuwa amenyooka, anadhubutu kufanya anachoamini na hakutaka ushauri na kukosolewa.

Mhe.Tundu lissu, naamini kupitia chama chako kama itawependeza utapitishwa kugombea tena nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

leo kupitia jukwaa hili naomba nikushauri mambo 3 tu, ninayoyaona kwako na ninayoamin watanzania wengi watayapenda, Inawezekana nisiwe sahihi sana lakin kwa mtazamo wangu kama utaamua kuyafanya, itakuongezea ushawishi maradufu.

1. UTATUZI WA MATATIZO YA JAMII.
Watanzania wanapenda kutatuliwa matatizo katika jamii, hawataki kujua aliyeyaleta au kuwasababishia.

Magufuli aliliweza hili, alkuwa tayari kuikana CCM ili tu kuwaonesha kuwa yeye yupo kutatua matatizo ya jamii,Viongozi waliokosea hakusita kuwasema, kuwapa onyo na kalipio kali au kuwatumbua,hii ni njia iliyompa umaarufu sana hasa kwa watu maskini. Watanzania wala hawajali kama matatizo yote haya yameletwa na CCM lkn wanahtaji mtu atakaeweza kuwasemea tena kwa ukali bila hofu,anaeonya na anaeonesha utatuzi.

Kwa sasa huna uwezo wa kimamlaka kutatua matatizo ya jamii,lakini unaweza kusababisha utatuzi na jamii ikaona wewe ndiye uliyeleta suluhu,katika ziara za kisiasa utakazofanya sasa jikite sana katika kueleza matatizo yaliyopo katika jamii, waseme watendaji wazembe, wanaojitahidi wape stahiki yao,lakini pia wambie wananchi wewe ukishika mamlaka utafanya lipi au utatatuaje hayo matatizo waliyonayo.

2. USITUMIE MUDA MWINGI KUMLAUMU MAGUFULI, HILI WATANZANIA WANALIJUA VIZURI KWA SASA.
Naomba niweke wazi tu katika hili. Kama nilvoeleza licha ya mapungufu mengi aliyokuwa nayo magufuri lakini mpaka sasa wananchi wa kawaida na hata baadhi ya watanzania wanamkumbuka magufuli hasa katika hatua zake nyingi za haraka alizokuwa anachukua kutatua changamoto za kiutendaji serikalini, kwa sasa hakuna kiongozi mwenye udhubutu huo,Raisi anaagiza lakin maagizo yake hayazingatiwi na watendaji.

Mfano tu Rais ameagiza mara nyingi kutocheleweshwa malipo ya makandarasi hasa wazawa ambayo hulimbikizwa na mwisho wa siku wanaanza kucharge interest za kuchelewehewa malipo lakini ukweli ni kwamba wakandarasi wa ndani na wazabuni sasa ni zaidi ya miezi takribani 10 hawajalipwa, ukitoa miradi ya TARURA labda na TANROAD na hazina wanajua hili na hakuna anaewajibika.

Watanzania wengi wanajua hukutendewa haki,ulionewa na halkuwa jambo jema kabisa kushambuliwa lakin kwa sasa wanawaza sana matatizo waliyonayo,wanataka kiongozi anayesema na wasaidizi kutii na kufanya,wanamkumbuka magufuri ndo mana wanamuona makonda kama anaweza kuvaa viatu vyake.

Watanzania wamechoka na siasa za uchawa, hawapendi kiongozi anayesema tu bila utekelezwaji, wewe ndie unaeweza kusema na kutenda, unaweza kusimamia ulichosema na kikatendeka,kwa sasa jikite katika kuwakusanya watanzania kwa pamoja bila kuajli itikadi zao na bila kujali walimpenda nani.

Hakika nakwambia Tundu Lissu, Watanzania wanakuamini usiwaangushe kuna kitu unawanyima.

3. USIKAE KIMYA SANA HASA WATANZANIA WANAPOKUMBWA NA JAMBO KATIKA JAMII.
Inawezekana kuna ile hali ya kusema ngoja wote tuongee lugha moja,lkn watanzania ni wasahaulifu sana, ikitokea tatzo walilonalo limeisha wanajisahaulisha. Mfano kwa sasa kunatatizo kubwa la kukatika kwa umeme na mgao wa maji baadhi ya maeneo.

Hakuna kiongozi yoyote wa serikali aliyeingilia kutatua hili swala, hata kauli za Viongozi wa kuu wa serikali zinaonesha zimekaa kisiasa na utani tu.mimi naamini nyakati kama hizi hustahili kuwa kimya, na hii itawafanya Viongozi waamke lkn watanzania wataona wewe ndo umewapa msaada. kiongozi uskate tamaa kuaddress matatizo lakini kila wakati ukiaddress jitahidi sana kuonesha mbadala wa kutatua.

Mhe.Tundu Lissu pamoja na wote mtakao wania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkumbuke tu kwamba watanzania wengi ni maskini,mifumo ya uwajibikaji ni mibovu, elimu inayotolewa haijitoshelezi kuwezesha vijana kujiajiri lkn mifumo ya kusidia vijana kujiajiri ni mibovu pia, mifumo ya kufanya biashara si rafiki sana, Viongozi wengi wa juu serikalini ni mafisadi kwa kiwango kikubwa.

Mhe.Tundu lissu, umasikini ni mbaya sana,ni kama laana. Tafadhali ukiwa Raisi jitahidi kuinua kaya maskini, na vijana ikibidi kwa kutenga budget ya kuwalipa kila mwezi kiwango kizuri kitakachowainua kiuchumi, najua pia serikali ya CCM inafanya Hivyo lkn kinachofanyika ni uhuni na urasimu mkubwa sana, pesa zinatafunwa na haziwafikii walengwa no body cares in the system.

Mhe.Tundu lissu, naamin utakuwa Rais ajae. Najua unajua mengi sana katika jamii ya watanzania lkn naamn andiko langu litakusaidia walau kama si kufanya yote lkn utapata nafasi ya kutafakari upya.

View attachment 2864655
Hoja zako ni za msingi sana, zifanyiwe kazi. Ila umeniacha hoi hapo uliposema Magufuli aliikana ccm, hakuna popote Magufuli aliikana ccm, na hata leo tuna bunge la chama kimoja baada ya Magufuli kupora uchaguzi ili kuhadaa umma kuwa ccm chini yake ilikuwa imara. Jitahidi kujenga hoja bila kuingiza na upotoshaji.
 
Hivi ni kwanini watu wengi wanamuhusisha mh mbowe Kama msaliti pale chadema?

Hili jambo si baadhi ya watu wanalitengeneza mkuu kuleta mpasuo ndani ya chama ili waanze kumuhisi yeye ayupo pamoja nao na ni msaliti?

Nimeona wengi wakimhusisha mbowe na upande wa pili wa CCM.
Piga mchungaji kondoo watawanyike...
 
Halafu wewe jamaa wa ajabu sana. Na Mimi nikushauri yafuatayo:

1. Kwanza, huwezi kutatua matatizo ya nchi hii pasipo kuwataja waasisi wa matatizo haya CCM na viongozi wao kuanzia J. K. Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Hayati Benjamin Mkapa, J. M. Kikwete, Hayati John Pombe Magufuli na sasa Samia Suluhu Hassan..

2. Pili, Baada ya kukusoma nimeamini bila shaka yoyote kuwa kumbe huwa humsikilizi wala kumwelewa Tundu Lissu katika hoja zake za nini anataka kwa ajili ya watu/jamii, nchi na taifa hili...

3. Tatu, kwa upload video hiyo ya Hayati Rais Magufuli (likely ukijaribu kumlinganisha TL na JPM ktk kile ulichokiita "kutatua matatizo ya kijamii"). Kwamba TL amwige Magufuli ktk njia za kutatua hayo matatizo ya kijamii na hivyo atapendwa na watu. Mimi nakuambia wewe hujui lakini hujui kuwa hujui...

Kwa sababu kwa hili, naweza kukuuliza swali moja tu kubwa, kwamba, Je hayo matatizo yaliondoka au yapo tu mpaka leo?

Mfano;

√ Je, aliondoa tatizo la umeme au lipo tu mpaka leo na pengine hali ni mbaya zaidi?

√ Je, aliondoa kero na tatizo na huduma za afya, elimu, maji nk au zipo tu mpaka leo na pengine hali ni mbaya zaidi?

√ Je, aliondoa matatizo la rushwa, ufisadi, uzembe kazini na wizi wa mali ya umma unaofanywa na viongozi wa wenye mamlaka walio ktk ofisi za umma au yapo na tena hali ikiwa mbaya zaidi?


Kama yapo, sasa wewe unaotoa wapi ujasiri wa kutuambia kuwa Magufuli alitatua matatizo ya watu? Au unapiga propaganda za uongo na hadaa Kwa ajili ya uchaguzi tu?


Labda km unamaanisha kuamua matatizo kama ya ugoni, kuamua ugomvi wa mtu na mtu, kufukuza kazi watumishi hadharani tena ktk namna dhalili ya kuwavunjia utu na heshima yao hadharani nk, basi unaweza kuwa sahihi..

Lakini kama ni utatuzi wa matatizo sugu ya jamii ya Kitanzania, kama rushwa, ufisadi, wizi wa mali ya umma, wizi wa kura ktk chaguzi, uhovyo wa huduma za kijamii kama elimu, umeme, maji nk nk hakuwahi kufanya lolote la maana na ndio maana matatizo haya yapo mpaka leo na tena hali ni mbaya zaidi..!!

3. Nne, na Kwa kuzingatia hoja hiyo hapo☝️☝️☝️juu ndipo unapoweza kuona tofauti ya approach ykati ya TL na Magufuli na CCM Kwa ujumla ktk utatuzi matatizo na changamoto za kijamii hizi👇👇👇👇👇

√ Ukosefu wa haki ktk jamii yetu

√ Ubovu na uduni wa huduma za kijamii kama maji, umeme, elimu, usafiri na usafirishaji, afya nk nk.

√ Tatizo la rushwa na ufisadi + wizi wa mali na fedha za umma kwenye ofisi za umma toka kwa viongozi wenye maamuzi na mamlaka..

√ Tatizo la mfumo wa hovyo wa uchaguzi Kwa ajili ya kupata viongozi nk nk..

4. Tano, Tofauti ya watu hawa wawili TL & JPM na CCM yote Kwa ujumla wake ni njia (approach) ya kutatua matatizo haya...

👉Tundu Lissu anaamini kuwa matatizo haya, yanaweza kupata suluhu ya kudumu kwa kujenga taasisi na mifumo imara ya utawala inayojitegemea kwa njia ya kutengeneza mfumo imara wa Kikatiba na Kisheria. Hii ndiyo mission ya Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla. Na Mimi nakubaliana nao..

👉John Pombe Magufuli (hayati) na sasa Samia Suluhu Hassan na CCM yao kwa ujumla wao wanaamini ktk personality ya mtu aitwaye "Rais" kuwa ndiye anayeweza kutatua changamoto na matatizo ya kijamii kama nilivyoyaorodhesha hapo juu. Huu ni uongo na haiwezekani...!!

👉Personality ya mtu (Rais) inaweza kufanya kazi kwa muda tu. Akiondoka au akifa, huondoka au hufa na kila kilichokuwa chake (mawazo na plan zake) na baada ya hapo mnaanza upya tena. Mfano Magufuli unayemsifia alikufa na hayo mazuri yake na Leo watu wanamtafuta Magufuli mwingine..!!
Umeeleza vema mkuu,lkn ujinga wangu uko wapi? tunaenda kuingia kwenye uchaguzi mkuu tukiwa na katiba hii tuliyonayo je asigombee mpaka ipatikane katiba mpya? na ili ashinde anahitaji kura,anahtaji ushawishi kwa jamii unafkri kila mmja anawaza kama unavowaza wewe? Anyways mm nltoa ushauri wangu lkn inawezekana angle yangu ya jicho la pili si sahihi sana,kama wewe ni miongoni mwa washauri wake basi chukua option ya pili ya kuudharau na kuupuuza tu huu ushauri
 
Salaam Mhe. Tundu lissu, Natumaini unaendelea vema. Mhe. Tundu lissu nikiri kwamba mimi ni miongoni mwa watanzania ninayekupenda na kukufatilia sana.

Naamin kabisa katika siasa za Tanzania wewe ndiye mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa kwa sasa. Ushawishi wako unajengwa na misimamo yako na uelewa mkubwa ulionao katika maswala ya sheria na kimataifa. Eneo hili unalitendea haki kwelikweli. Ukweli usiopingika wewe ni mbishi sana na unaamin unachokisimamia, upo tayari kukifia na kukifanya kwa Gharama yoyote unahulka kama za Magufuri ila tofauti yenu ni kwamba wewe ulkuwa na uelewa wa mambo ya sheria na uko tayari kukosolewa, Hayati Magufuli alikuwa amenyooka, anadhubutu kufanya anachoamini na hakutaka ushauri na kukosolewa.

Mhe.Tundu lissu, naamini kupitia chama chako kama itawependeza utapitishwa kugombea tena nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

leo kupitia jukwaa hili naomba nikushauri mambo 3 tu, ninayoyaona kwako na ninayoamin watanzania wengi watayapenda, Inawezekana nisiwe sahihi sana lakin kwa mtazamo wangu kama utaamua kuyafanya, itakuongezea ushawishi maradufu.

1. UTATUZI WA MATATIZO YA JAMII.
Watanzania wanapenda kutatuliwa matatizo katika jamii, hawataki kujua aliyeyaleta au kuwasababishia.

Magufuli aliliweza hili, alkuwa tayari kuikana CCM ili tu kuwaonesha kuwa yeye yupo kutatua matatizo ya jamii,Viongozi waliokosea hakusita kuwasema, kuwapa onyo na kalipio kali au kuwatumbua,hii ni njia iliyompa umaarufu sana hasa kwa watu maskini. Watanzania wala hawajali kama matatizo yote haya yameletwa na CCM lkn wanahtaji mtu atakaeweza kuwasemea tena kwa ukali bila hofu,anaeonya na anaeonesha utatuzi.

Kwa sasa huna uwezo wa kimamlaka kutatua matatizo ya jamii,lakini unaweza kusababisha utatuzi na jamii ikaona wewe ndiye uliyeleta suluhu,katika ziara za kisiasa utakazofanya sasa jikite sana katika kueleza matatizo yaliyopo katika jamii, waseme watendaji wazembe, wanaojitahidi wape stahiki yao,lakini pia wambie wananchi wewe ukishika mamlaka utafanya lipi au utatatuaje hayo matatizo waliyonayo.

2. USITUMIE MUDA MWINGI KUMLAUMU MAGUFULI, HILI WATANZANIA WANALIJUA VIZURI KWA SASA.
Naomba niweke wazi tu katika hili. Kama nilvoeleza licha ya mapungufu mengi aliyokuwa nayo magufuri lakini mpaka sasa wananchi wa kawaida na hata baadhi ya watanzania wanamkumbuka magufuli hasa katika hatua zake nyingi za haraka alizokuwa anachukua kutatua changamoto za kiutendaji serikalini, kwa sasa hakuna kiongozi mwenye udhubutu huo,Raisi anaagiza lakin maagizo yake hayazingatiwi na watendaji.

Mfano tu Rais ameagiza mara nyingi kutocheleweshwa malipo ya makandarasi hasa wazawa ambayo hulimbikizwa na mwisho wa siku wanaanza kucharge interest za kuchelewehewa malipo lakini ukweli ni kwamba wakandarasi wa ndani na wazabuni sasa ni zaidi ya miezi takribani 10 hawajalipwa, ukitoa miradi ya TARURA labda na TANROAD na hazina wanajua hili na hakuna anaewajibika.

Watanzania wengi wanajua hukutendewa haki,ulionewa na halkuwa jambo jema kabisa kushambuliwa lakin kwa sasa wanawaza sana matatizo waliyonayo,wanataka kiongozi anayesema na wasaidizi kutii na kufanya,wanamkumbuka magufuri ndo mana wanamuona makonda kama anaweza kuvaa viatu vyake.

Watanzania wamechoka na siasa za uchawa, hawapendi kiongozi anayesema tu bila utekelezwaji, wewe ndie unaeweza kusema na kutenda, unaweza kusimamia ulichosema na kikatendeka,kwa sasa jikite katika kuwakusanya watanzania kwa pamoja bila kuajli itikadi zao na bila kujali walimpenda nani.

Hakika nakwambia Tundu Lissu, Watanzania wanakuamini usiwaangushe kuna kitu unawanyima.

3. USIKAE KIMYA SANA HASA WATANZANIA WANAPOKUMBWA NA JAMBO KATIKA JAMII.
Inawezekana kuna ile hali ya kusema ngoja wote tuongee lugha moja,lkn watanzania ni wasahaulifu sana, ikitokea tatzo walilonalo limeisha wanajisahaulisha. Mfano kwa sasa kunatatizo kubwa la kukatika kwa umeme na mgao wa maji baadhi ya maeneo.

Hakuna kiongozi yoyote wa serikali aliyeingilia kutatua hili swala, hata kauli za Viongozi wa kuu wa serikali zinaonesha zimekaa kisiasa na utani tu.mimi naamini nyakati kama hizi hustahili kuwa kimya, na hii itawafanya Viongozi waamke lkn watanzania wataona wewe ndo umewapa msaada. kiongozi uskate tamaa kuaddress matatizo lakini kila wakati ukiaddress jitahidi sana kuonesha mbadala wa kutatua.

Mhe.Tundu Lissu pamoja na wote mtakao wania nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mkumbuke tu kwamba watanzania wengi ni maskini,mifumo ya uwajibikaji ni mibovu, elimu inayotolewa haijitoshelezi kuwezesha vijana kujiajiri lkn mifumo ya kusidia vijana kujiajiri ni mibovu pia, mifumo ya kufanya biashara si rafiki sana, Viongozi wengi wa juu serikalini ni mafisadi kwa kiwango kikubwa.

Mhe.Tundu lissu, umasikini ni mbaya sana,ni kama laana. Tafadhali ukiwa Raisi jitahidi kuinua kaya maskini, na vijana ikibidi kwa kutenga budget ya kuwalipa kila mwezi kiwango kizuri kitakachowainua kiuchumi, najua pia serikali ya CCM inafanya Hivyo lkn kinachofanyika ni uhuni na urasimu mkubwa sana, pesa zinatafunwa na haziwafikii walengwa no body cares in the system.

Mhe.Tundu lissu, naamin utakuwa Rais ajae. Najua unajua mengi sana katika jamii ya watanzania lkn naamn andiko langu litakusaidia walau kama si kufanya yote lkn utapata nafasi ya kutafakari upya.

View attachment 2864655
Hii video nimeikubali sana 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom