Ushauri: Lwandamila afukuzwe haraka sana Yanga

Ushauri: Lwandamila afukuzwe haraka sana Yanga

[HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Jana Wameunyonya Wanabaki Kunyoosheana Vidole tu.
 
simba na yanga ni kurwa na doto,,,mmoja akiumwa lazima na mwengine aumwe,, huyo kocha akimaliza msimu natoka JF,, simba wana KIKI ZA MASOUD DJUMA,,,yanga hawana kiki,,Yanga lazima na wao wabadilishe kocha wapate kiki mpya,,,wao wanachojali ni GUMZO MJINI NA KWENYE MAGAZETI,,,lakini sio kuendeleza timu kimataifa, ,,,ndy timu hizi zilivyo,, simba akileta mzungu na yanga wanaleta mzungu,,,simba akifukuza na yanga lazima afukuze,,,
 
5be16675e2b07885afe41dcced3c397f.jpg
 
Nimesoma post nyingi hapa. Nimeona mengi yanayozungumzwa ni hulka za kishabiki au stori za kijiwe.

Sijaona uchambuzi wowote makini wa tatizo la huyo kocha ambalo tiba yake ni kutimua tu kocha.

Tupunguze jazba mpira hauko hivyo na timuatimua ya makocha sio suluhisho.
 
  • Thanks
Reactions: De1
Yanga buana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu ni kati ya makocha wabovu kabisa waliowahi kuifundisha yanga katika kipindi cha miaka 20 iliyopita , ni mara mia kazi hiyo angepewa Kataraia Minziro .

Wana Yanga mtakubaliana na mimi kwamba tangu ameichukua timu hii , kile kiwango cha kimataifa ilichokuwa inacheza timu yenu , kile kiwango kilichoifanya Tanzania ijivunie yanga kimepeperuka mithili ya Njiwa wa uganga .

Fukuzeni huyu jamaa haraka sana kuinusuru timu yenu na aibu inayokuja .
Mpeni Malinzi ukocha anafaa
 
Lwandamina hamna kitu kabisa tutabaki kumfunga waterwater na ndanda na kina st.louis tu
 
Back
Top Bottom