Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pia kuna mama mmoja anapitisha kidaftari....nae akamatwe 👌Kuna huyu ndugu anaitwa Malisa. Yeye pia ni sehemu ya watu wanaokusanya michango mitandaoni bila kibali chochote. Nashauri na yeye aitwe Polisi akahojiwe. Inaweza kuwa ina namna
View attachment 3155631
Malisa hakusanyi kwa ajili ya majanga ya maafa bali anasaidia kuokoa maisha au kusaidia wasojiweza ambayo siyo jukumu la serikali kwa mtu mmoja mmojaKuna huyu ndugu anaitwa Malisa. Yeye pia ni sehemu ya watu wanaokusanya michango mitandaoni bila kibali chochote. Nashauri na yeye aitwe Polisi akahojiwe. Inaweza kuwa ina namna
View attachment 3155631
Yule ameshafungua FundKuna huyu ndugu anaitwa Malisa. Yeye pia ni sehemu ya watu wanaokusanya michango mitandaoni bila kibali chochote. Nashauri na yeye aitwe Polisi akahojiwe. Inaweza kuwa ina namna
View attachment 3155631
Michango ya maafa ......hv mnakuwaga na akili kweli!?Kuna huyu ndugu anaitwa Malisa. Yeye pia ni sehemu ya watu wanaokusanya michango mitandaoni bila kibali chochote. Nashauri na yeye aitwe Polisi akahojiwe. Inaweza kuwa ina namna
View attachment 3155631
Kwahiyo besdei na Harusi Huwa mnaomba kibali, au mnatafuta wale waliochangisha kwa ajili ya faini za opposition muwakamateMchango wowote ule unaokusanya kutoka kwa umma lazima uwe na kibali
Je kama ana kibali? Yule ana NGO ya GHF ambayo inatambulika kisheria. Na anachokifanya kinaonekana kwa jamii.Kuna huyu ndugu anaitwa Malisa. Yeye pia ni sehemu ya watu wanaokusanya michango mitandaoni bila kibali chochote. Nashauri na yeye aitwe Polisi akahojiwe. Inaweza kuwa ina namna
View attachment 3155631
Bongo kufa kufaana! Utakuja utapeli, dhuluma hasa kwa wanawake na watoto, ugomvi, ujinga ujinga, kila aina ya uzuzu!Kuna huyu ndugu anaitwa Malisa. Yeye pia ni sehemu ya watu wanaokusanya michango mitandaoni bila kibali chochote. Nashauri na yeye aitwe Polisi akahojiwe. Inaweza kuwa ina namna
View attachment 3155631
Sasa Si ndio serikali imesajili hiyo taasisi ya Gifted heart?Mchango wowote ule unaokusanya kutoka kwa umma lazima uwe na kibali