Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Mleta mada ni UVCCM Huwa hawatumii akili kufikiri.Je kama ana kibali? Yule ana NGO ya GHF ambayo inatambulika kisheria. Na anachokifanya kinaonekana kwa jamii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada ni UVCCM Huwa hawatumii akili kufikiri.Je kama ana kibali? Yule ana NGO ya GHF ambayo inatambulika kisheria. Na anachokifanya kinaonekana kwa jamii.
Kama anaifikisha kunakohusika Kuna shida Gani? Acha unaa basi!Kuna huyu ndugu anaitwa Malisa. Yeye pia ni sehemu ya watu wanaokusanya michango mitandaoni bila kibali chochote. Nashauri na yeye aitwe Polisi akahojiwe. Inaweza kuwa ina namna
View attachment 3155631
Huu ni upuuzi wa mtu anaetoa mchango, maan hawalazimishwi.Kuna huyu ndugu anaitwa Malisa. Yeye pia ni sehemu ya watu wanaokusanya michango mitandaoni bila kibali chochote. Nashauri na yeye aitwe Polisi akahojiwe. Inaweza kuwa ina namna
View attachment 3155631
Malisa anapewa kibali na familia/mtu mwenye uhitajiMalisa hakusanyi pesa wewe mbumbumbu, GIFTED HEARTS NDIO TAASISI inayokusanya. Siku utakapozaa mtoto mwenye tatizo la moyo au dada yako atakapoachika ndio utamheshimu Malisa.
Mnasoma bila kupata maarifa. Ha.jui kuwaMchango wowote ule unaokusanya kutoka kwa umma lazima uwe na kibali
Unajitoa akili, lazima aombe kibaliMnasoma bila kupata maarifa. Ha.jui kuwa
kila sheria inapowekwa kuna mambo ya msingi inayoyalenga. Ukiisoma sheria kama riwaya, ndiyo unakuja na mada zisizo na weledi kama hii.
Mleta mada hajui kuwa kuna taasisi tangu usajili wake, vyanzo vyake vya mapato ni michango, hivyo hazihitaji tena kibala toka kwa yeyote.
Uliwahi kusikia michango ya ukarabati wa kanisa au msikiti ina kibali?
Uliwahi kusikia michango ya vyama vya siasa ina kibali cha polisi?
Uliwahi kusikia michango ya arusi ina kibali?
Uliwahi kusikia michango ya vikundi vya kusaidiana ina vibali?
Kijani na njano hawana upeo wa kuchanganua vitu.Mleta mada ni UVCCM Huwa hawatumii akili kufikiri.