Ushauri: Mama mdogo anamsema vibaya mchumba wangu kumbe anajihusisha naye kimapenzi!

Hiyo ni kweli lakini huyu alitakiwa afanyiwe kama not enough thread zake zote zilichanwa live mpaka kakimbia jamvi

sina huo muda wa kushughulika na mpumbavu ngoja nirudi kwenye kazi zangu....mchana mwema Dena.
 
aaaaaaahhhhhhhh shit!!! Michelle and Dena nimefadhaika mwili na roho!!!

ama kweli njia ya mwongo ni fupi!!!
 




Huyo ndo nothing4good

Kazi kwenu
 
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?

ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?

Michelle ni yeye. me pia kanshangaza huyu!
 
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?

ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?
ndio mimi
unajua michelle huyu kaka alikua ananichanganya sana sasa nikaona bora nitafute wamkataba nimtupe yeye chini labda naweza 2lia lakini wap namkosa na yeye tena u wi wi !
 
ndio mimi
unajua michelle huyu kaka alikua ananichanganya sana sasa nikaona bora nitafute wamkataba nimtupe yeye chini labda naweza 2lia lakini wap namkosa na yeye tena u wi wi !

Mmmhhhhhhh ????????????????????????????????????????????????????
 
Kinachokera ni pale mcharuko anapolalama kupokwa hawara wakati aaah ngoja tu nitulie maana nina presha ya kupanda bila kushuka!
 

Nadhani kumwachia ni jambo la busara...Kama ulivyosema ni kama mama yako...mpe nafasi ya kuwa mama, mheshimu tu na msikilize alivyosema... After all kama ni mchumba kwa jinsi unavyoeleza atakuwa ameishachakachua...... usitake muambukizane maradhi na mama mdogo....kwa sababu ya mchumba asiyekuthamini. Tena mie nakushauri ukimbie mbio ndefu maana uki ng'ang'ania uko unakokwenda (kwenye ndoa) ndo kugumu zaidi. Kula kona utapata mwingine anaekupenda na kukueshimu.
 
Heee!
Kabla hujamwacha ongea na mchumba ako kwanza akueleze kulikoni.
Pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…