Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
ndio mimi
unajua michelle huyu kaka alikua ananichanganya sana sasa nikaona bora nitafute wamkataba nimtupe yeye chini labda naweza 2lia lakini wap namkosa na yeye tena u wi wi !
heeeee! Mazito.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio mimi
unajua michelle huyu kaka alikua ananichanganya sana sasa nikaona bora nitafute wamkataba nimtupe yeye chini labda naweza 2lia lakini wap namkosa na yeye tena u wi wi !
Mwachie!!Wote hawakufai!!!
Kazi kweliKinachokera ni pale mcharuko anapolalama kupokwa hawara wakati aaah ngoja tu nitulie maana nina presha ya kupanda bila kushuka!
Huyo ndo nothing4good
Kazi kwenu
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?
ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?
heee,pole mamii,kitendo anachokifanya mamaako mdogo ni kichafu,na huyo mchumba ako hajatulia,na hana aibu,juu ya yote,uamuzi ni wako,maana ndoa ni safari ndefu,ukiwa nae huyo mtu ujue pressure zitakuwa juu juu,maana hatotulia,ata hangaika tu.pengine ni heri yako,mungu amekuonyesha mapeema huyo mchumba ni wa aina gani.jee umemwambia maako mdogo?na yeye anasemaje?.w.me sijui wakoje jamani,wewe ndio wenye uamuzi wa mwisho.muulize mchumba kulikoni na kwa nini anafanya hivyo?inavyoonyesha hakupendi,asingekufanyia hivyo.
Wanajamvi wenzangu naomba munielewe when i say a'm single I mean no sex. My self I can not test sex b4 married do you understand? Nieleweke kwamba si2mi thread za uongo kama munavyofikiri ni za kweli. MFA MAJI HAACHI KUTAPA... Inamaana kama naona mwanaume hanifai niendelee kumng'ang'ania huyohuyo? Never!! In short Nina weng nachagua wa kunifaa. baadhi yao thread zao ndo hizo. Ukweli ni kwamba wanaume wote hao ni wa kwangu ila nikiona mmoja haekei kunifaa natafuta msaada ili ikiwezekana niachane naye nisijitie matatizoni. shida yangu nahitaji mmoja 2 mwaminifu. Musinishambulie kuweni waelewa ndugu
Huyo ndo nothing4good
Kazi kwenu
Dena this is bullshit, .....tunamweka mtu tusiyemjua maanani,tunampa ushauri then kumbe anadanganya....!!!!
Hii kali.
Kumbukumbu muhimu wandugu haya sasa ningekuwa mie nishakula kona saa nyingiiiiiiiiiiiiiiii
Haaaaa??? Mie hoi
This sounds ABSURD to me.Wanajamvi wenzangu naomba munielewe when i say a'm single I mean no sex. My self I can not test sex b4 married do you understand? Nieleweke kwamba si2mi thread za uongo kama munavyofikiri ni za kweli. MFA MAJI HAACHI KUTAPA... Inamaana kama naona mwanaume hanifai niendelee kumng'ang'ania huyohuyo? Never!! In short Nina weng nachagua wa kunifaa. baadhi yao thread zao ndo hizo. Ukweli ni kwamba wanaume wote hao ni wa kwangu ila nikiona mmoja haekei kunifaa natafuta msaada ili ikiwezekana niachane naye nisijitie matatizoni. shida yangu nahitaji mmoja 2 mwaminifu. Musinishambulie kuweni waelewa ndugu
wewe ungekulaje kona? unadhania ni rahisi eti?
Wanajamvi wenzangu naomba munielewe when i say a'm single I mean no sex. My self I can not test sex b4 married do you understand? Nieleweke kwamba si2mi thread za uongo kama munavyofikiri ni za kweli. MFA MAJI HAACHI KUTAPA... Inamaana kama naona mwanaume hanifai niendelee kumng'ang'ania huyohuyo? Never!! In short Nina weng nachagua wa kunifaa. baadhi yao thread zao ndo hizo. Ukweli ni kwamba wanaume wote hao ni wa kwangu ila nikiona mmoja haekei kunifaa natafuta msaada ili ikiwezekana niachane naye nisijitie matatizoni. shida yangu nahitaji mmoja 2 mwaminifu. Musinishambulie kuweni waelewa ndugu
Wanajamvi wenzangu naomba munielewe when i say a'm single I mean no sex. My self I can not test sex b4 married do you understand? Nieleweke kwamba si2mi thread za uongo kama munavyofikiri ni za kweli. MFA MAJI HAACHI KUTAPA... Inamaana kama naona mwanaume hanifai niendelee kumng'ang'ania huyohuyo? Never!! In short Nina weng nachagua wa kunifaa. baadhi yao thread zao ndo hizo. Ukweli ni kwamba wanaume wote hao ni wa kwangu ila nikiona mmoja haekei kunifaa natafuta msaada ili ikiwezekana niachane naye nisijitie matatizoni. shida yangu nahitaji mmoja 2 mwaminifu. Musinishambulie kuweni waelewa ndugu
My Dearest Sisy hata kama ni kutapatapa si kihivyo mpenzi mmmhhh mara miaka miwili , mara mkataba mara sijui nini.
Unatuchanganya hata kama tunataka kutoa ushauri tunashindwa tuanzie wapi??
Haya weka bayana tukuelewe hayo mambo ya mkataba sijui tumekuacha kwenye mataa yaishe.
Shida hasa kwa sasa nini?? Kuwa tu muwazi tujue pa kuanzia