Ushauri: Mama mdogo anamsema vibaya mchumba wangu kumbe anajihusisha naye kimapenzi!

Hana akili timamu asituchefue hapa, michelle unatisha umemkumbuka huyu
 
huyo mama mdogo hana adabu yaani amemwona huyo mchumba wako tu??heb achana na huyo mwanaume kwani km ameweza fanya huo ushenzi wake mkiwa hamjaoana ujue ukikubali mkaoana atahama ht nyumba...
 
Zingatia ushauri huu kwani ndio unaokujenga vizuri kimaisha
 
Mweleze mamdogo ucimfiche anachofanya c kizuri kabsaa!

Na huyo mchumba mueleze ajue kosa lake then chukua hatua
Huu pia ni ushauri mzuri sana kwako, waeleze wote wawili kila mmoja kwa wakati wake kisha achana na mchumba wako huyo kwani atakuja kukusaliti hata utakapokuwa kwenye ndoa. Kama ameweza kutembea na mama yako ambaye wewe mwenyewe ulimtambulisha, itakuwaje kwa wanawake wengine ambao huna undugu nao?
 
Hana akili timamu asituchefue hapa, michelle unatisha umemkumbuka huyu

sisahau vitu vya wiki iliyopita....especially vile amavyo ni strange kwa jamii yetu....kama kutafuta mume wa mkataba....:A S 13:
 
mwache, tena mwache haraka, kwasababu hapo mmeshafanya laana, wewe na mama yako mdogo mmeingiliwa na mwanaume mmoja, yaani u.boo. ulioingia kwako ndo uouo unaingia kwa mama yako mdogo..sasa hapo amekula kuku na mayai na vifaranga.....uchafu huo..kimbia..hata ukiolewa, utakuwa unajua moyoni kuwa unaishi na mtu ambaye alishawai kulala na mama yako mdogo, haitakuja itoke maishani mwako...pia, kama uyo jamaa hata kwenye ndoa hajaingia anakula hadi wakwe, akiingia itabidi umweke na mama yako mzazi na bibi yako mbali naye, anaweza kuwa baba yako huyo...kwenye send off tu na ndoa anafanya hivyo, kwenye ndoa je, na utakuwa umeshapiga pingu za maisha, hadi kufa kama wewe ni mkristo, utaishi na donda ndugu maisha yote....pole.
 
huu sasa umekuau ukumbi wa stori za kutunga. Nami nna yangu. Jana nimeota nimelala na mlinzi mmoja wa gadafi, alikuja kujificha tz baada ya kukimbia libya. Je nimwambie waifu, au ataona wivu? Nishaurini[ Bora ww unashaurika!
 
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?

ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?

michelle una memory,naikumbuka hiyo issue ila nilikuwa sijui kama ni huyu.sasa sijui niamini kipi,kama hii story ni ya kweli au si ya kweli
 
Asanteni sana wandugu kwa ushauri wenu mzuri ingawa wengine wananiponda, kuni2kana, na kuninyima raha. Niwaambie2 kwamba binadamu 2natofautiana "kilam2 anastaili yake ya maisha" there is someone's who can eat rice, beans, meat, chapati, vegetable and others at the same tym
 

hongera sana,una uwezo wa kipekee sana mdogo wangu. kila la kheri!!
 
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?

ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?

si ndo hapo sasa, labda double unit.
 
wewe ni muongo au unatunga story ,we si tarehe 26 mwezi wa pili ulipost thread inasema nahitaji mpenzi?
 

Sasa kwanini unaleta michezo humu jukwaani? Au ulikuwa unapima watu kama wanakumbukumbu humu ndani? Na ulisahau kuwa humu kuna akina Michelle wenye kumbukumbu zao nzuri tu. Kuwa serious basi young lady!
 

Weka kumbukumbu vizuri mie nahisi wewe unacheza na akili za watu tu haya kila la heri
 
Hebu tujikumbushe ID zake zote

N4G,
Boflo,
notenough,
.............
.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…