Ushauri: Mama mdogo anamsema vibaya mchumba wangu kumbe anajihusisha naye kimapenzi!

Ushauri: Mama mdogo anamsema vibaya mchumba wangu kumbe anajihusisha naye kimapenzi!

mama mdogo kaona wanamiminika tu home kaona isiwe tabu nae ajisevie mmoja
 
Hahahaha hivi Nothing4Good = Good4Nothing??Just curious....!
 
kama sikosei hii hadithi nilishawahi kuisoma kwenye Habari leo hivi!, nadhani atakuwa ameikopi huko, ili atupotezee muda wa kujadili hadithi za magazetini. so far ushahidi wa post zake za awali unamhukumu.
 
kama sikosei hii hadithi nilishawahi kuisoma kwenye Habari leo hivi!, nadhani atakuwa ameikopi huko, ili atupotezee muda wa kujadili hadithi za magazetini. so far ushahidi wa post zake za awali unamhukumu.

umeshtuka eeh, huyu kwanza tulishaconclude ni dume. Thread zake za kimtego mtego tu, halafu mwepesi kusahau
 
Wanajamvi wenzangu naomba munielewe when i say a'm single I mean no sex. My self I can not test sex b4 married do you understand? Nieleweke kwamba si2mi thread za uongo kama munavyofikiri ni za kweli. MFA MAJI HAACHI KUTAPA... Inamaana kama naona mwanaume hanifai niendelee kumng'ang'ania huyohuyo? Never!! In short Nina weng nachagua wa kunifaa. baadhi yao thread zao ndo hizo. Ukweli ni kwamba wanaume wote hao ni wa kwangu ila nikiona mmoja haekei kunifaa natafuta msaada ili ikiwezekana niachane naye nisijitie matatizoni. shida yangu nahitaji mmoja 2 mwaminifu. Musinishambulie kuweni waelewa ndugu

Duh ndo kusema huwekei mayai kwenye kapu moja.
 
Wandugu naomba msaada. Mimi nina mchumba wangu 2ko ktk process za harusi. alishanitambulisha kwao na nikakubalika. Mimi ninaishi na mamdogo. Mamdogo ndiye aliyenilea so nikama mamangu. SO Nilimpeleka Mchumba wangu kwanza kwa mamdogo kumtambulisha kabila ya ha2a nyingine na mamdogo ndiye aliyewaambia ndugu zangu wengine. na akasema kuwa atagharamia kichen party na send off kwa kuwa mimi nikama mtoto wake. ndugu zangu karibu wote wanamjua huyo kijana.sasa cha ajabu mamdogo ameanza kunikatisha tamaa. ananiambia mbona huyo mwenzako anaoneka haja2lia? Nimzuri 2 wasura hana kingine hakufai mwanangu. Tafuta mwingine mbona wanaume wako wengi? na maneno mengine mengine kibao. Mimi nikamjibu nampenda hivyo hivyo alivyo mamdogo.baada ya kuona sielekei kumwacha akaanza kumwaga upupu kwa ndugu zangu wote kwamba yule kaka hanifai. Ndugu zangu wakaanza kumchukia huyu kijana. Cha kushangaza naona mamdogo yuko karibu sana na mchumba wangu nikimuuliza anasema wanashughulikia mambo ya ndoa ye2. Siku moja mawifi zangu (ukweni) wakaniita na kuniuliza hivi huyo ni mamdogo wako kabisa? Nikawajibu ndio. yeye na mamangu ni wa2mbo moja walishangaa na kusema mbona sasa anafanya mambo ya ajabu vile? Nikawauliza mambo gani hayo wakasema nisubiri niolewe kwanza ndo wataniambia coz wanaogopa kuuvunja uhusiano we2. (mimi na kaka yao) katika chunguza yangu nimegundua mamdogo ananichukulia mchumba wangu. Nimuachie mchumba wangu au Nifanyeje??
muache mamamdogo wako na awe mbali sana na wewe

pia mripoti kwa ndugu zake
 
huu sasa umekuau ukumbi wa stori za kutunga. Nami nna yangu. Jana nimeota nimelala na mlinzi mmoja wa gadafi, alikuja kujificha tz baada ya kukimbia libya. Je nimwambie waifu, au ataona wivu? Nishaurini

katu usithubutu kumwambia, ataona wivu na anaweza kukuacha bure. Vp lakin ulifanikiwa kutoa bikra japo kindotoni? Nasikia ikikomaa shughuli ya kuinyofoa sio ya mchezo.
 
Wandugu naomba msaada. Mimi nina mchumba wangu 2ko ktk process za harusi. alishanitambulisha kwao na nikakubalika. Mimi ninaishi na mamdogo. Mamdogo ndiye aliyenilea so nikama mamangu. SO Nilimpeleka Mchumba wangu kwanza kwa mamdogo kumtambulisha kabila ya ha2a nyingine na mamdogo ndiye aliyewaambia ndugu zangu wengine. na akasema kuwa atagharamia kichen party na send off kwa kuwa mimi nikama mtoto wake. ndugu zangu karibu wote wanamjua huyo kijana.sasa cha ajabu mamdogo ameanza kunikatisha tamaa. ananiambia mbona huyo mwenzako anaoneka haja2lia? Nimzuri 2 wasura hana kingine hakufai mwanangu. Tafuta mwingine mbona wanaume wako wengi? na maneno mengine mengine kibao. Mimi nikamjibu nampenda hivyo hivyo alivyo mamdogo.baada ya kuona sielekei kumwacha akaanza kumwaga upupu kwa ndugu zangu wote kwamba yule kaka hanifai. Ndugu zangu wakaanza kumchukia huyu kijana. Cha kushangaza naona mamdogo yuko karibu sana na mchumba wangu nikimuuliza anasema wanashughulikia mambo ya ndoa ye2. Siku moja mawifi zangu (ukweni) wakaniita na kuniuliza hivi huyo ni mamdogo wako kabisa? Nikawajibu ndio. yeye na mamangu ni wa2mbo moja walishangaa na kusema mbona sasa anafanya mambo ya ajabu vile? Nikawauliza mambo gani hayo wakasema nisubiri niolewe kwanza ndo wataniambia coz wanaogopa kuuvunja uhusiano we2. (mimi na kaka yao) katika chunguza yangu nimegundua mamdogo ananichukulia mchumba wangu. Nimuachie mchumba wangu au Nifanyeje??

Mshukuru huyo mama mdogo kwa kukuonyesha ubazazi wa huyo b/f wako mapema....then sepa!
 
hahaha eti kuweni waelewa sisi au wewe unayejichanagnya masikini kila unavojitahidi kujitetea ndio unaharibu
Wanajamvi wenzangu naomba munielewe when i say a'm single I mean no sex. My self I can not test sex b4 married do you understand? Nieleweke kwamba si2mi thread za uongo kama munavyofikiri ni za kweli. MFA MAJI HAACHI KUTAPA... Inamaana kama naona mwanaume hanifai niendelee kumng'ang'ania huyohuyo? Never!! In short Nina weng nachagua wa kunifaa. baadhi yao thread zao ndo hizo. Ukweli ni kwamba wanaume wote hao ni wa kwangu ila nikiona mmoja haekei kunifaa natafuta msaada ili ikiwezekana niachane naye nisijitie matatizoni. shida yangu nahitaji mmoja 2 mwaminifu. Musinishambulie kuweni waelewa ndugu
 
Wandugu naomba msaada. Mimi nina mchumba wangu 2ko ktk process za harusi. alishanitambulisha kwao na nikakubalika. Mimi ninaishi na mamdogo. Mamdogo ndiye aliyenilea so nikama mamangu. SO Nilimpeleka Mchumba wangu kwanza kwa mamdogo kumtambulisha kabila ya ha2a nyingine na mamdogo ndiye aliyewaambia ndugu zangu wengine. na akasema kuwa atagharamia kichen party na send off kwa kuwa mimi nikama mtoto wake. ndugu zangu karibu wote wanamjua huyo kijana.sasa cha ajabu mamdogo ameanza kunikatisha tamaa. ananiambia mbona huyo mwenzako anaoneka haja2lia? Nimzuri 2 wasura hana kingine hakufai mwanangu. Tafuta mwingine mbona wanaume wako wengi? na maneno mengine mengine kibao. Mimi nikamjibu nampenda hivyo hivyo alivyo mamdogo.baada ya kuona sielekei kumwacha akaanza kumwaga upupu kwa ndugu zangu wote kwamba yule kaka hanifai. Ndugu zangu wakaanza kumchukia huyu kijana. Cha kushangaza naona mamdogo yuko karibu sana na mchumba wangu nikimuuliza anasema wanashughulikia mambo ya ndoa ye2. Siku moja mawifi zangu (ukweni) wakaniita na kuniuliza hivi huyo ni mamdogo wako kabisa? Nikawajibu ndio. yeye na mamangu ni wa2mbo moja walishangaa na kusema mbona sasa anafanya mambo ya ajabu vile? Nikawauliza mambo gani hayo wakasema nisubiri niolewe kwanza ndo wataniambia coz wanaogopa kuuvunja uhusiano we2. (mimi na kaka yao) katika chunguza yangu nimegundua mamdogo ananichukulia mchumba wangu. Nimuachie mchumba wangu au Nifanyeje??

Hapo kwenye red. ulimi uliteleza alitaka kusema "tunashughulikia mambo ya harusi yetu"
huyo mchumba hakufai na hana hata chembe ya aibu na ni mchafu wa tabia...haina tofauti tukisema amechakachua mama mzazi...maana mama mdogo ni sawa na mama yako mzazi. usimlaumu mama mdogo alaumie huyo mchumba kwa kukosa adabu
 
mi nahisi anaona watu wote humu JF akili zao kama zake pumbavu na kila tunavomjibu anajiona yeye ndio mshindi
Still bado anarudi na kutetea anachokisema akiona ni sawa i just don't understand what are his intentions akitoka hapo ataanza kulaumu wanaume wabaya
 
Ilikuwa ni Plan B baada ya mama mdogo kuanza kutoa neg comments. potezea hiyo Michelle
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?

ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?
 
kuhusu wa mkataba niliahirisha kutokana na maushauri yenu. A'm in a very real trouble I need help. Niwape hongera wale waliokutana na mpenz mmoja na huyo huyo makemisty yao yakaendana. Hawajui adha 2nazopata sie wengine. Full kizunguzungu.

Nothin4good ka vipi niPM, let's talk in private, nina mengi wana talk wt u. But onl if u ar serious.
 
Kweli dunia ina mambo!!

Nothing4good, hebu tulia. Ukifanya papara hii dunia itakufundisha, na somo lake sio rahisi hata kidogo, na mara nyingi madhara yake ni kifo.

Inawezekana hata hii stori hapa juu ni ya kutunga kutokana na jinsi unavyojichanganya humu ndani.

Usifikiri kila anayekuja hapa jamvini (JF) hana kazi au ana muda wa kuchezea.. Wengine tunakuja kujifunza, kuelimishwa na kupata maono mapya.

Umepotezea muda wana jamvini. Lakini, hebu tulia.. Hakuna mtu anayekufa kwa kukosa mwanaume kama akitulia.
Nakushauri ujipe likizo ya kutofanya mawasiliano na wanaume, na pia anza kuhudhuria nyumba za ibada..Jisonge karibu na Mungu. Yeye pekee ndio anajua shida zako. Haijalishi dunia inakuona wa ajabu kiasi gani. Mpe nafasi na atakusamehe na kukuponya na matatizo yako na kukupa tumaini jipya.

Hujachelewa,huna haja ya kukimbilia maisha. Hebu jiamini,jithaminishe na fikiria mambo ya maendeleo na hata utafute kozi fupi fupi kama bado hujaajiriwa.
 
pole saani.ni kweli huyo kijana hakufai manake kutembea na kuka na yai pia ni tabia isiyovumilika
 
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?

ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?

Michelle labda hayo yakuibiwa na mama yake mdogo alishayajua ndio akawa anatafuta suluhisho la fasta, ingawa sijui huko aliandika nini.
 
Back
Top Bottom