Ushauri: Mama mdogo anamsema vibaya mchumba wangu kumbe anajihusisha naye kimapenzi!

Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?

ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?
Labda alikuwa anatafuta mpenzi wa muda baada ya kugundua mambo haya ili aliwazike na kuyasahau.
 
ndio mimi
unajua michelle huyu kaka alikua ananichanganya sana sasa nikaona bora nitafute wamkataba nimtupe yeye chini labda naweza 2lia lakini wap namkosa na yeye tena u wi wi !

Linganisha na uliyosema kwenye thread yako nyingine hasa hapo kwenye red.


Kwanza inaonekana ulianza kuwa single ukiwa na umri wa miaka 16 (23 - 7 years). Sasa sijui huyu unayetaka kufunga naye ndoa umempata lini. Acha kutufanya WanaJF watu wa kuja. Kama ulikuwa hujui, JF ina watu makini heshima zao. Wengine huku ni baba na baba zako! Wengine masuala ya mahusiano ndio professional zao na wazisomea. Inabidi uwaheshimu watu kama hawa na uwaombe radhi kwa kuwapotezea muda wao. Pia, hizi stories zako za kutunga zinawanyima watu wengine nafasi hasa wale wanaokabiliwa na matatizo ya ukweli na wanaotaka ushauri kukabiliana na matatizo yanayowakabili.

Pia waonee huruma wanaondesha JF sio tuu kwa kupoteza muda kumoderate stories zako za uongo, bali pia stories zako feki zinajaza tuu servers wakati unajua zinalipiwa. Indeed, basing on your threads you appear to be a spammer. Be careful.
 

are you serious hujui ufanyeje?kama unataka kushare na mama yako mdogo endelea,huyo mwanaume hafai tena fisadi mkimbie haraka na umwambie mama mdogo kumbe kweli huyu mwanaume hajatulia nimenyoosha mikono,anakula kuku na yai lake!bora aendelee na kuku!!
 
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?

ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?
afadhali umemshtukia tapeli huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…