Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Mtwara Smart

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2019
Posts
666
Reaction score
1,492
shop3-1-1024x576.jpg


Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema.

Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop

Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician

Profesional Nilisomaga Diploma Ya Clinical Medicine Lakin Mapenz Na Fikra Zangu Zipo Kwenye Electronics Tangu Mtoto, So Hata Nilipokuwa Chuo Bado Niliwekeza Nguvu Kwenye Electronics Ingawaje Nasoma Medicine.

Leo Ningependa Ku Share Na Nyinyi Experience Na Mbinu Na Ningependa Wengine Wajifunze Jinsi Ya Ku Run Phone And Computer Repair Business.

1. TAMBUA NA JIFUNZE BASIC ELECTRONICS KJKM

Hiki Ndio Kitu Kikubwa Kuliko Vyote, Kwa Maana Mafundi Wengi Hawajui Haswaa Kufanya Motherboard Repair Wanasingizia Motherboard Imeunguaz But Motherboard Haijawahi Kuungua Na Haitaungua, Kwa Maana Motherboard Ina IC Zaid Ya 50 + Other Eletronics Component Ambazo Sio Rahis Zote Kupiga Short.
Wanafanya Hivyo Kwa Sababu Hawajui Na Hicho Ndicho Kinachofanya Motherboarx Repair Iwe Most Paid Job Kwenye Repair Business.

Nitajifunzaje?

Kujua Electronics Kunaanzia Na Kuipenda Na Kuchezea Vifaa
Kwa Repair Kwanza Tambua Motherboard Component Na IC, Capacitors, Drivers, Mosfet Etc.
Pia Tambua Na Hivi

JINSI YA KUTUMIA MULTIMETER
JINSI YA KUUNGA COMPONENTS (SOLDERING & DESOLDERING)
SHORT CIRCUIT & NORMAL CIRCUIT
JINSI YA KUSOMA SCHEMATIC DIAGRAM

Vitu Vyote Utavipata Google Na Yourube So Tumia Internet Vizuri Na Tools Zipo Baadhi Cheap Sana, Mfano Multimeter Ni Elfu 8 Tu Kariakoo, Soldering Iron Cheap Ni Elfu Kumi Tu Kariakoo
Means Ukiwa Na Is 20k Basic Tools Zote Utazipata.

2. USIOGOPE KUWEKEZA KWENYE VIFAA

Vifaa Vipo Vingi Na Vinalipa Ila Vifuatavyo Ni Vifaa Basic Ambavyo Mimi Ninlmetumia Na Naamini Vinatumik Sana Katika Kazi Hizi.

MULTIMETER
SOLDERING STATION
LCD SEPARATOR
LAPTOP
ANT STATIC WRAP
BENCH POWER SUPPLY (30V, 10A)
HAND TOOLS (SCREWS, Etc)
USB VOLTMETER
REPAIR MICROSCOPE (Advanced Users)
Etc.
Mimi Nimepiga Hesabu Kwa Vifaa Hivyo Kariakoo Unavipata Kwa 1 Million Vote (Toa Microscope)

Always Kumbuka Vifaa Vinajilipa.

3. UAMINIFU, UAMINIFU, UAMINIFU.

Hapa Ndipo Mtihani Unapoanzia Maana 90% Ya Mafundi Ni Waongog Na Sio Waaminifu, Wanaiba Sana Vifa Vya Wateja Wao Na Wanatakaga Watanguliziwe Pesa Hatay Kama Kazi Imegoma, Wakishachukua Pesa Wanaanza Sound
Jitahid Usiwe Kama Hao, and Kuwa Mkweli Na Muaminifu
Mimi Ofisini Kwangu Ni 24 Hour's Muda Wa Kusubir Baada Ya g Hapo Mteja Atarudishiwa Kifaa Chake, Kama Imeshindikana Imeshindikana Tu, La Sivyo Kiwe Kinataka Spair Imeagizwa Na Mteja Akakubali Kusubir.

4. JIFUNZE UTOAJI HUDUMA NA KAULI SAHIHI

Wateja Ni Kama Mtoto Au Mpenzi Anahitaji Lugha Na Kauli Nzuri Ili Arudi Tena, Tambua Aina Za Wateja Wako Na Jua Jinsi Ya Kuongea Nao, Tengeneza Mazingira Rafiki Kwa Wateja Kufika, Mimi Kwangu Nimefanya Haya

UCHANGAMFU
KINYWAJI WAKATI MTEJA ANASUBIRI KIFAA CHAKE
USAFI WA OFISI
FOMU YA MREJESHO (Mteja Atatuambia Kuhusu Huduma Zetu)
HUDUMA YA BURE KUFUATA NA KURUDISHA KIFAA (DELIVERY)

5. JITANGAZE KIDIGITALI

Tengeneza Akaunti Katika Mitqndao Ya Kijamii
INSTA, FB NA TWITTER, WhatsApp Business Acount.
Hii Itqkusaidia Sana Kwa Maana Ulimwengu Wa Sasa Asilimia Kubwa Ya Wateja Wanapatikana Online., Kwanzoni Inakuwaga Ngumu Ila Baadae Inakaa Sawa Na Utaona Kawaida.

6. ITANUE BIASHARA YAKO.

Unaweza Kuiongezea Vitu Kama Spair Za Laptop Na Simu Kama Charger, Battery, Vioo Na Storage Device, Zinasaidia Kukuza Mtaji, Na Kuifanya Biashara Yako Kubwa.

Pia Unaweza Kufanya ON SITE IS BASED REPAIR (Unaenda Kurekebisha Kifaa Alipo Mteja) Au REMOTE SERVICE (Unamuelekeza Mteja Anatuma Kifaa, Unarekebisha Na Wewe Unamtumia)

USEFUL SITES KWA WANAOTAKA KUJIFUNZA

Youtube: SORIN REPAIR SCHOOL, LOUIS ROUSMAN NA IFIXIT






Software Za Simu:


Google.

Wanaohitaji Software Za Kuflash Na Ku Unlock Simu
CRACKED VERSION ONLY
Download Kwenye Hii Link Ya Google Drive



Kwa Wasio Wavivu Kusoma Vitabu Unaweza Kupitia Vitabu Hapo Chini

MOST PAID JOBS

1. Motherboards Repair
2. Screen Replacement
3. Data Recovery
4. Windows Instalation
5. Phone Unlocking & Flashing

Tuendeleze Mjadala

ASANTENI

SOMA HAPA CHINI DARASA LIMEANZA



 

Attachments

Asante sana mkuu kwa huu uzi, niko interested sana sana sana na inshu za kompyuta repairing. Uliwezaje kujifunza online? Mimi nilishindwa japo nilidownload documents za training na vifaa ila haikukaa kichwani sijui labda kama kutotilia maanani sana au la.
Kuna site za online zinazotoa training kwa kiswahili?
 
Hii ndiyo next project yangu kufungua ofisi ya kurepair simu na kompyuta.

Tafadhali naomba mawasiliano yako uwe mwalimu wangu. In short kwa sasa sijui chochote ila nina uwezo wa kujifunza haraka sababu nina commitment kwenye mambo haya.
 
Asante sana mkuu kwa huu uzi, niko interested sana sana sana na inshu za kompyuta repairing. Uliwezaje kujifunza online? Mimi nilishindwa japo nilidownload documents za training na vifaa ila haikukaa kichwani sijui labda kama kutotilia maanani sana au la.
Kuna site za online zinazotoa training kwa kiswahili?
Hongera Saana mkuu kwa kuja huku, mimi nakushauri usijikite sana kwenye vitabu utapata uvivu; tumia video za youtube kwa case ya hardware utakuwa nondo sana, unaamua kuwa kipind hiki unahangaika na tatizo fulani la pc tu, kwa mfano unaweza kuanza na kujifunza kusoma schematic diagram mbalimbali.

kwa hardware mcheki huyu babu wa UK

 
Kuna machine moja inaitwa Air bubble removal, kuna Fundi anayo, Maana Huawei yangu (P9) kila nikipeleka kubadili screen Lazima zitokee airbubble(vijitufe vya hewa), baada ya kutafiti ktk mitandao nikaona iyo machine, sasa kila nikiuliza kwa wazee wa kazi k/koo wananambia hawajui mwenyenayo, na ww vipi Maana hata ulizolist hii sijaiona.
 
Kuna machine moja inaitwa Air bubble removal, kuna Fundi anayo, Maana Huawei yangu (P9) kila nikipeleka kubadili screen Lazima zitokee airbubble(vijitufe vya hewa), baada ya kutafiti ktk mitandao nikaona iyo machine, sasa kila nikiuliza kwa wazee wa kazi k/koo wananambia hawajui mwenyenayo, na ww vipi Maana hata ulizolist hii sijaiona.
Air Bubble Remover Au Auotoclave Ni Tool Mojawapo Kwenye Repair Industry Especially Kwenye Screen za Simu ambazo zina firm katikat ya taa ya kioo means ina layer 2 had tatu kwenye kioo, naifahamu na sijaitaja kwa sababu ni advanced tool, easy to use ila haina kazi nyingi so hata profit kurud ngumu otherwise uwe unafanya Iphone Screen Replacement,Ambazo Sio Common Huku Kwetu
download.jpg
o
 
Hii ndiyo next project yangu kufungua ofisi ya kurepair simu na kompyuta.


Tafadhali naomba mawasiliano yako uwe mwalimu wangu. In short kwa sasa sijui chochote ila nina uwezo wa kujifunza haraka sababu nina commitment kwenye mambo haya.
Karibu sana mkuu, kama huna idea ya basic electronics anza na channel ya huyu babu wa UK, Ana video kuanzia beginner mpaka advanced.

Kama Utakuwa na tatizo zaidi tukutane hapa kwenye huu uzi tuzid kuelimishana.

 
Karibu sana mkuu, kama huna idea ya basic electronics anza na channel ya huyu babu wa UK, Ana video kuanzia beginner mpaka advanced
Kama Utakuwa na tatizo zaidi tukutane hapa kwenye huu uzi tuzid kuelimishana

Unapatikana wapi mkuu
 
Thanks mkuu, naomba nisaidie the main problems za kompyuta ili nipate namna nzuri za kujifunza repairing yake na iwe rahisi kuzitafutia YouTube.
Hongera Saana mkuu kwa kuja huku, mimi nakushauri usijikite sana kwenye vitabu utapata uvivu; tumia video za youtube kwa case ya hardware utakuwa nondo sana, unaamua kuwa kipind hiki unahangaika na tatizo fulani la pc tu, kwa mfano unaweza kuanza na kujifunza kusoma schematic diagram mbalimbali
kwa hardware mcheki huyu babu wa UK

 
Duh mkuu Kuna simu yangu ipo kwafundi, Baada yamda alinipigia simu nikaenda akaniambia Kuna kifaa kinahitajika akaniomba elfu 20 nikampatia, Baada yawiki mbili kupita nikaona kimya kumfata ananiambia simu imeshindikana labda niendelee kusubiri au anifungie niondoke nayo, nikamjibu takuja tuongee.

Swali langu je napoenda kuichukua simu yangu hali yakuwa bado haijatengamaa je anastahili kunirudishia pesa yangu aliyoniomba yakununulia kifaa?
 
Back
Top Bottom