Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Duh mkuu Kuna simu yangu ipo kwafundi, Baada yamda alinipigia simu nikaenda akaniambia Kuna kifaa kinahitajika akaniomba elfu 20 nikampatia, Baada yawiki mbili kupita nikaona kimya kumfata ananiambia simu imeshindikana labda niendelee kusubiri au anifungie niondoke nayo, nikamjibu takuja tuongee.

Swali langu je napoenda kuichukua simu yangu hali yakuwa bado haijatengamaa je anastahili kunirudishia pesa yangu aliyoniomba yakununulia kifaa?
Hapo ndia hapo penye shida mafundi sio waaaminifu na waongo, mimi ofisini kwangu nilishakataa hili, simu au laptop ina masaa 24 tu, ikizid hapo mteja anarudishiwa na sina pesa ya kutanguliza maana najua italeta matatizo
ANATAKIWA AKUPE PESA YAKO NA SIMU IKIWA KAMA ULIVYO PELEKA
 
Thanks mkuu, naomba nisaidie the main problems za kompyuta ili nipate namna nzuri za kujifunza repairing yake na iwe rahisi kuzitafutia YouTube.
M
Thanks mkuu, naomba nisaidie the main problems za kompyuta ili nipate namna nzuri za kujifunza repairing yake na iwe rahisi kuzitafutia YouTube.
Mkuu anza na hardware, jifunze kusoma schematics naona hilo ndio muhimu ukijua motherboard repair mji wako, matatizo mengine kama virus removal, hardware installation na software issues ni simple, anza na hilo na kujua component za motherboard na kusoma schematic diagram
 
M

Mkuu anza na hardware, jifunze kusoma schematics naona hilo ndio muhimu ukijua motherboard repair mji wako, matatizo mengine kama virus removal, hardware installation na software issues ni simple, anza na hilo na kujua component za motherboard na kusoma schematic diagram
kujifunza schematics bila practical mkuu, inakuwaje?
 
kujifunza schematics bila practical mkuu, inakuwaje?
Unatakiwa utafute motherboard hata mbovu ya kuangalia wakati babu sorin anafundisha kwenye video, schematic pia unaweza kuisoma bila practical then ukisha master theories ukajua Power Rails Zote Na Output Zake, Conditions ya kuwaka na switching power supply bac nikikupa motherboard unajua wap pa kuanzia, maana 50 percent ya pc zinapiga short same kama sio MAIN VCC 19V, Bas 3V, 1,5 au 5V Power Rail,
So Ukishajua Exactly Rail Ukishika pc unajua njia ipi inakosa moto na ina deal na parts gani, Je ni RAM, PROCESSOR, LCD BACKLIGHT AU GPU
 
Hapo ndia hapo penye shida mafundi sio waaaminifu na waongo, mimi ofisini kwangu nilishakataa hili, simu au laptop ina masaa 24 tu, ikizid hapo mteja anarudishiwa na sina pesa ya kutanguliza maana najua italeta matatizo
ANATAKIWA AKUPE PESA YAKO NA SIMU IKIWA KAMA ULIVYO PELEKA
Duh itabidi nimuwashie moto elfu 20 parefu
 
Hivi mkuu nikiamua kujifunza ufundi simu only itanichukua muda gani....hapa nilipo sina idea na hiyo kitu but im interested to learn!
 
View attachment 1160578
Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema.

Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop

Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician

Profesional Nilisomaga Diploma Ya Clinical Medicine Lakin Mapenz Na Fikra Zangu Zipo Kwenye Electronics Tangu Mtoto, So Hata Nilipokuwa Chuo Bado Niliwekeza Nguvu Kwenye Electronics Ingawaje Nasoma Medicine.

Leo Ningependa Ku Share Na Nyinyi Experience Na Mbinu Na Ningependa Wengine Wajifunze Jinsi Ya Ku Run Phone And Computer Repair Business.

1. TAMBUA NA JIFUNZE BASIC ELECTRONICS KJKM

Hiki Ndio Kitu Kikubwa Kuliko Vyote, Kwa Maana Mafundi Wengi Hawajui Haswaa Kufanya Motherboard Repair Wanasingizia Motherboard Imeunguaz But Motherboard Haijawahi Kuungua Na Haitaungua, Kwa Maana Motherboard Ina IC Zaid Ya 50 + Other Eletronics Component Ambazo Sio Rahis Zote Kupiga Short.
Wanafanya Hivyo Kwa Sababu Hawajui Na Hicho Ndicho Kinachofanya Motherboarx Repair Iwe Most Paid Job Kwenye Repair Business.

Nitajifunzaje???

Kujua Electronics Kunaanzia Na Kuipenda Na Kuchezea Vifaa
Kwa Repair Kwanza Tambua Motherboard Component Na IC, Capacitors, Drivers, Mosfet Etc.
Pia Tambua Na Hivi

JINSI YA KUTUMIA MULTIMETER
JINSI YA KUUNGA COMPONENTS (SOLDERING & DESOLDERING)
SHORT CIRCUIT & NORMAL CIRCUIT
JINSI YA KUSOMA SCHEMATIC DIAGRAM

Vitu Vyote Utavipata Google Na Yourube So Tumia Internet Vizuri Na Tools Zipo Baadhi Cheap Sana, Mfano Multimeter Ni Elfu 8 Tu Kariakoo, Soldering Iron Cheap Ni Elfu Kumi Tu Kariakoo
Means Ukiwa Na Is 20k Basic Tools Zote Utazipata.

2. USIOGOPE KUWEKEZA KWENYE VIFAA

Vifaa Vipo Vingi Na Vinalipa Ila Vifuatavyo Ni Vifaa Basic Ambavyo Mimi Ninlmetumia Na Naamini Vinatumik Sana Katika Kazi Hizi.

MULTIMETER
SOLDERING STATION
LCD SEPARATOR
LAPTOP
ANT STATIC WRAP
BENCH POWER SUPPLY (30V, 10A)
HAND TOOLS (SCREWS, Etc)
USB VOLTMETER
REPAIR MICROSCOPE (Advanced Users)
Etc.
Mimi Nimepiga Hesabu Kwa Vifaa Hivyo Kariakoo Unavipata Kwa 1 Million Vote (Toa Microscope)


Always Kumbuka Vifaa Vinajilipa.


3. UAMINIFU, UAMINIFU, UAMINIFU.

Hapa Ndipo Mtihani Unapoanzia Maana 90% Ya Mafundi Ni Waongog Na Sio Waaminifu, Wanaiba Sana Vifa Vya Wateja Wao Na Wanatakaga Watanguliziwe Pesa Hatay Kama Kazi Imegoma, Wakishachukua Pesa Wanaanza Sound
Jitahid Usiwe Kama Hao, and Kuwa Mkweli Na Muaminifu
Mimi Ofisini Kwangu Ni 24 Hour's Muda Wa Kusubir Baada Ya g Hapo Mteja Atarudishiwa Kifaa Chake, Kama Imeshindikana Imeshindikana Tu, La Sivyo Kiwe Kinataka Spair Imeagizwa Na Mteja Akakubali Kusubir.


4. JIFUNZE UTOAJI HUDUMA NA KAULI SAHIHI

Wateja Ni Kama Mtoto Au Mpenzi Anahitaji Lugha Na Kauli Nzuri Ili Arudi Tena, Tambua Aina Za Wateja Wako Na Jua Jinsi Ya Kuongea Nao, Tengeneza Mazingira Rafiki Kwa Wateja Kufika, Mimi Kwangu Nimefanya Haya

UCHANGAMFU
KINYWAJI WAKATI MTEJA ANASUBIRI KIFAA CHAKE
USAFI WA OFISI
FOMU YA MREJESHO (Mteja Atatuambia Kuhusu Huduma Zetu)
HUDUMA YA BURE KUFUATA NA KURUDISHA KIFAA (DELIVERY)


5. JITANGAZE KIDIGITALI

Tengeneza Akaunti Katika Mitqndao Ya Kijamii
INSTA, FB NA TWITTER, WhatsApp Business Acount.
Hii Itqkusaidia Sana Kwa Maana Ulimwengu Wa Sasa Asilimia Kubwa Ya Wateja Wanapatikana Online., Kwanzoni Inakuwaga Ngumu Ila Baadae Inakaa Sawa Na Utaona Kawaida.

6. ITANUE BIASHARA YAKO.

Unaweza Kuiongezea Vitu Kama Spair Za Laptop Na Simu Kama Charger, Battery, Vioo Na Storage Device, Zinasaidia Kukuza Mtaji, Na Kuifanya Biashara Yako Kubwa.

Pia Unaweza Kufanya ON SITE IS BASED REPAIR (Unaenda Kurekebisha Kifaa Alipo Mteja) Au REMOTE SERVICE (Unamuelekeza Mteja Anatuma Kifaa, Unarekebisha Na Wewe Unamtumia)


USEFUL SITES KWA WANAOTAKA KUJIFUNZA

Youtube: SORIN REPAIR SCHOOL, LOUIS ROUSMAN NA IFIXIT






Software Za Simu:


Google.

MOST PAID JOBS

1. Motherboards Repair
2. Screen Replacement
3. Data Recovery
4. Windows Instalation
5. Phone Unlocking & Flashing


Tuendeleze Mjadala

ASANTENI
Great sana chief, haya mambo yanahitaji kujifunza sana na technology inakua, nadhani mtu ukiwa competent lazima ikulipe sana. Wacha nijifunze hivi vitu vizuri mpaka niive, usichoke maswali mkuu
 
Hivi mkuu nikiamua kujifunza ufundi simu only itanichukua muda gani....hapa nilipo sina idea na hiyo kitu but im interested to learn!
H
Hivi mkuu nikiamua kujifunza ufundi simu only itanichukua muda gani....hapa nilipo sina idea na hiyo kitu but im interested to learn!
Haiwezi kukuchukua muda boss, ila hardware ya simu inataka practice sana maana simu nying hazina schematic diagram ila software ni muda mchache hata miezi 2 mingi
 
Back
Top Bottom