Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Ngoja nianze kujifunza ufundi simu kupitia simu yangu.

Nina tecno spark 2 ina shida ya kamera. Nikifungua camera inaandika "cant connect to camera. Please close other applications which may use camera or flashlight"

Nimejaribu kufix tatizo hili hadi nikaaingia google lakini sijaona suluhisho. Nisaidieni
 
Uzi murua sana mkuu, nikushukuru sana kwa kuuleta hapa mimi nilijifunza hardware kwa kipindi flani ila sasa nataka nianze kufanya pia software,
Je? Ninunue pc yenye specifications gani at least ya kuanzia?
Maana nipo mbioni kununua laptop kwaajili ya kazi hiyo kabla huu mwezi haujaisha,
Pia iyo pc itanisaidia kujiimarisha zaidi kwenye hardware kupitia YouTube.
 
msaada mkuu, niko na simu hapa ni huawei tag l21, ni software gani nzuri ya kuitoa frp nje ya sp flash tool, maana nimejaribu qualcomm naona nikiirun inakuja na ile error ya mfc100.dll japo nshainstall zile updates za ms visual c++ lakini bado qualcom haiendi msaada tafadhali wakuu.
Tafuta CM2 Crack Zake Zipo Nyingi, Na Pia Drivers Za Qualcom Zimetofautiana! Jaribu Ku Install Nyingine, Final USIJE UKAIFLASH NA BOOTLOADER Utalia, Just Download Only Kwa SP, Usiweke Format All + Download
 
Ngoja nianze kujifunza ufundi simu kupitia simu yangu.

Nina tecno spark 2 ina shida ya kamera. Nikifungua camera inaandika "cant connect to camera. Please close other applications which may use camera or flashlight"

Nimejaribu kufix tatizo hili hadi nikaaingia google lakini sijaona suluhisho. Nisaidieni
Inawezekana Ni Tatizo La Drivers Za Camera Au OS yenyewe
Jaribu Hivi
1. FACTORY RESET
2. BADILI CAMERA
3. FLASH NA FACTORY ROM (SIGNED)
 
Mkuu hongera.ukitunza uaminifu katika kazi na customer care nzuri.Watuwatakuona mchawi vile unakusanya wateja.Keep up the good work.
Mafund weng wanakosa uaminifu na wengine wanabahatisha sana
Karibu sana Boss, Uaminifu Ndio Nguzo Ya Hizi Kazi
 
ngoja na mimi nijisubscribe.
hii elimu yoteninayo na ninauzoefu na vifaa vyote, na ukiniambia kusoma hata siku tatu bila kula ndio ugonjwa wangu lkn sina pesa na elimu hainiingizii kitu aisee.

sikubali mkuu narudi kundini.

asante kwa maarifa mkuu
Aaaaaah Aaaaaah Karibu Boss
 
Uzi murua sana mkuu, nikushukuru sana kwa kuuleta hapa mimi nilijifunza hardware kwa kipindi flani ila sasa nataka nianze kufanya pia software,
Je? Ninunue pc yenye specifications gani at least ya kuanzia?
Maana nipo mbioni kununua laptop kwaajili ya kazi hiyo kabla huu mwezi haujaisha,
Pia iyo pc itanisaidia kujiimarisha zaidi kwenye hardware kupitia YouTube.
Kweny Repair Huitaji PC Kali Just Iwe Na HDD ya Kutosha Kuhifadh Programs
Na Pia Iwe Na Uwezo Wa Kukaa Na Charge, Processor Na RAM Sio Muhimu Sana
 
Kweny Repair Huitaji PC Kali Just Iwe Na HDD ya Kutosha Kuhifadh Programs
Na Pia Iwe Na Uwezo Wa Kukaa Na Charge, Processor Na RAM Sio Muhimu Sana
Sawa mkuu paka sasa nimeshanunua iyo pc
Ina RAM 4GB
HDD 500

Ila najaribu ku install GSM aladdin inagoma,
Je kuna flashing tools nyingine ambazo unatumia bila box?
Kama zipo ni zipi
 
View attachment 1160572



Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema.

Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop

Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician

Profesional Nilisomaga Diploma Ya Clinical Medicine Lakin Mapenz Na Fikra Zangu Zipo Kwenye Electronics Tangu Mtoto, So Hata Nilipokuwa Chuo Bado Niliwekeza Nguvu Kwenye Electronics Ingawaje Nasoma Medicine.

Leo Ningependa Ku Share Na Nyinyi Experience Na Mbinu Na Ningependa Wengine Wajifunze Jinsi Ya Ku Run Phone And Computer Repair Business.

1. TAMBUA NA JIFUNZE BASIC ELECTRONICS KJKM

Hiki Ndio Kitu Kikubwa Kuliko Vyote, Kwa Maana Mafundi Wengi Hawajui Haswaa Kufanya Motherboard Repair Wanasingizia Motherboard Imeunguaz But Motherboard Haijawahi Kuungua Na Haitaungua, Kwa Maana Motherboard Ina IC Zaid Ya 50 + Other Eletronics Component Ambazo Sio Rahis Zote Kupiga Short.
Wanafanya Hivyo Kwa Sababu Hawajui Na Hicho Ndicho Kinachofanya Motherboarx Repair Iwe Most Paid Job Kwenye Repair Business.

Nitajifunzaje???

Kujua Electronics Kunaanzia Na Kuipenda Na Kuchezea Vifaa
Kwa Repair Kwanza Tambua Motherboard Component Na IC, Capacitors, Drivers, Mosfet Etc.
Pia Tambua Na Hivi

JINSI YA KUTUMIA MULTIMETER
JINSI YA KUUNGA COMPONENTS (SOLDERING & DESOLDERING)
SHORT CIRCUIT & NORMAL CIRCUIT
JINSI YA KUSOMA SCHEMATIC DIAGRAM

Vitu Vyote Utavipata Google Na Yourube So Tumia Internet Vizuri Na Tools Zipo Baadhi Cheap Sana, Mfano Multimeter Ni Elfu 8 Tu Kariakoo, Soldering Iron Cheap Ni Elfu Kumi Tu Kariakoo
Means Ukiwa Na Is 20k Basic Tools Zote Utazipata.

2. USIOGOPE KUWEKEZA KWENYE VIFAA

Vifaa Vipo Vingi Na Vinalipa Ila Vifuatavyo Ni Vifaa Basic Ambavyo Mimi Ninlmetumia Na Naamini Vinatumik Sana Katika Kazi Hizi.

MULTIMETER
SOLDERING STATION
LCD SEPARATOR
LAPTOP
ANT STATIC WRAP
BENCH POWER SUPPLY (30V, 10A)
HAND TOOLS (SCREWS, Etc)
USB VOLTMETER
REPAIR MICROSCOPE (Advanced Users)
Etc.
Mimi Nimepiga Hesabu Kwa Vifaa Hivyo Kariakoo Unavipata Kwa 1 Million Vote (Toa Microscope)


Always Kumbuka Vifaa Vinajilipa.


3. UAMINIFU, UAMINIFU, UAMINIFU.

Hapa Ndipo Mtihani Unapoanzia Maana 90% Ya Mafundi Ni Waongog Na Sio Waaminifu, Wanaiba Sana Vifa Vya Wateja Wao Na Wanatakaga Watanguliziwe Pesa Hatay Kama Kazi Imegoma, Wakishachukua Pesa Wanaanza Sound
Jitahid Usiwe Kama Hao, and Kuwa Mkweli Na Muaminifu
Mimi Ofisini Kwangu Ni 24 Hour's Muda Wa Kusubir Baada Ya g Hapo Mteja Atarudishiwa Kifaa Chake, Kama Imeshindikana Imeshindikana Tu, La Sivyo Kiwe Kinataka Spair Imeagizwa Na Mteja Akakubali Kusubir.


4. JIFUNZE UTOAJI HUDUMA NA KAULI SAHIHI

Wateja Ni Kama Mtoto Au Mpenzi Anahitaji Lugha Na Kauli Nzuri Ili Arudi Tena, Tambua Aina Za Wateja Wako Na Jua Jinsi Ya Kuongea Nao, Tengeneza Mazingira Rafiki Kwa Wateja Kufika, Mimi Kwangu Nimefanya Haya

UCHANGAMFU
KINYWAJI WAKATI MTEJA ANASUBIRI KIFAA CHAKE
USAFI WA OFISI
FOMU YA MREJESHO (Mteja Atatuambia Kuhusu Huduma Zetu)
HUDUMA YA BURE KUFUATA NA KURUDISHA KIFAA (DELIVERY)


5. JITANGAZE KIDIGITALI

Tengeneza Akaunti Katika Mitqndao Ya Kijamii
INSTA, FB NA TWITTER, WhatsApp Business Acount.
Hii Itqkusaidia Sana Kwa Maana Ulimwengu Wa Sasa Asilimia Kubwa Ya Wateja Wanapatikana Online., Kwanzoni Inakuwaga Ngumu Ila Baadae Inakaa Sawa Na Utaona Kawaida.

6. ITANUE BIASHARA YAKO.

Unaweza Kuiongezea Vitu Kama Spair Za Laptop Na Simu Kama Charger, Battery, Vioo Na Storage Device, Zinasaidia Kukuza Mtaji, Na Kuifanya Biashara Yako Kubwa.

Pia Unaweza Kufanya ON SITE IS BASED REPAIR (Unaenda Kurekebisha Kifaa Alipo Mteja) Au REMOTE SERVICE (Unamuelekeza Mteja Anatuma Kifaa, Unarekebisha Na Wewe Unamtumia)


USEFUL SITES KWA WANAOTAKA KUJIFUNZA

Youtube: SORIN REPAIR SCHOOL, LOUIS ROUSMAN NA IFIXIT






Software Za Simu:


Google.

Wanaohitaji Software Za Kuflash Na Ku Unlock Simu
CRACKED VERSION ONLY
Download Kwenye Hii Link Ya Google Drive




Kwa Wasio Wavivu Kusoma Vitabu Unaweza Kupitia Vitabu Hapo Chini


MOST PAID JOBS

1. Motherboards Repair
2. Screen Replacement
3. Data Recovery
4. Windows Instalation
5. Phone Unlocking & Flashing


Tuendeleze Mjadala

ASANTENI
[/QUOTE
Asante sana mtu wa Mungu kwa uzi mzuri, Mungu azidi kukufanikisha.
 
Very smart. Mungu akufanikishe zaidi na zaidi. Duka lako liko wapi?
View attachment 1160572



Habari Zenu Wakuu, Natumaini Leo Mko Vyema.

Lengo La Nyuzi Hii Ni Kupeana Ushauri, Maoni Na Mbinu Za Uthubutu Katika Biashara Ya Ufundi Simu Na Laptop

Kwanza Mimi Ni Mmoja Wa Mafundi Waliojifunza Na Ku Master Phone And Laptop Repair Kutoka Google Na Youtube, Yaani Self Made Technician

Profesional Nilisomaga Diploma Ya Clinical Medicine Lakin Mapenz Na Fikra Zangu Zipo Kwenye Electronics Tangu Mtoto, So Hata Nilipokuwa Chuo Bado Niliwekeza Nguvu Kwenye Electronics Ingawaje Nasoma Medicine.

Leo Ningependa Ku Share Na Nyinyi Experience Na Mbinu Na Ningependa Wengine Wajifunze Jinsi Ya Ku Run Phone And Computer Repair Business.

1. TAMBUA NA JIFUNZE BASIC ELECTRONICS KJKM

Hiki Ndio Kitu Kikubwa Kuliko Vyote, Kwa Maana Mafundi Wengi Hawajui Haswaa Kufanya Motherboard Repair Wanasingizia Motherboard Imeunguaz But Motherboard Haijawahi Kuungua Na Haitaungua, Kwa Maana Motherboard Ina IC Zaid Ya 50 + Other Eletronics Component Ambazo Sio Rahis Zote Kupiga Short.
Wanafanya Hivyo Kwa Sababu Hawajui Na Hicho Ndicho Kinachofanya Motherboarx Repair Iwe Most Paid Job Kwenye Repair Business.

Nitajifunzaje???

Kujua Electronics Kunaanzia Na Kuipenda Na Kuchezea Vifaa
Kwa Repair Kwanza Tambua Motherboard Component Na IC, Capacitors, Drivers, Mosfet Etc.
Pia Tambua Na Hivi

JINSI YA KUTUMIA MULTIMETER
JINSI YA KUUNGA COMPONENTS (SOLDERING & DESOLDERING)
SHORT CIRCUIT & NORMAL CIRCUIT
JINSI YA KUSOMA SCHEMATIC DIAGRAM

Vitu Vyote Utavipata Google Na Yourube So Tumia Internet Vizuri Na Tools Zipo Baadhi Cheap Sana, Mfano Multimeter Ni Elfu 8 Tu Kariakoo, Soldering Iron Cheap Ni Elfu Kumi Tu Kariakoo
Means Ukiwa Na Is 20k Basic Tools Zote Utazipata.

2. USIOGOPE KUWEKEZA KWENYE VIFAA

Vifaa Vipo Vingi Na Vinalipa Ila Vifuatavyo Ni Vifaa Basic Ambavyo Mimi Ninlmetumia Na Naamini Vinatumik Sana Katika Kazi Hizi.

MULTIMETER
SOLDERING STATION
LCD SEPARATOR
LAPTOP
ANT STATIC WRAP
BENCH POWER SUPPLY (30V, 10A)
HAND TOOLS (SCREWS, Etc)
USB VOLTMETER
REPAIR MICROSCOPE (Advanced Users)
Etc.
Mimi Nimepiga Hesabu Kwa Vifaa Hivyo Kariakoo Unavipata Kwa 1 Million Vote (Toa Microscope)


Always Kumbuka Vifaa Vinajilipa.


3. UAMINIFU, UAMINIFU, UAMINIFU.

Hapa Ndipo Mtihani Unapoanzia Maana 90% Ya Mafundi Ni Waongog Na Sio Waaminifu, Wanaiba Sana Vifa Vya Wateja Wao Na Wanatakaga Watanguliziwe Pesa Hatay Kama Kazi Imegoma, Wakishachukua Pesa Wanaanza Sound
Jitahid Usiwe Kama Hao, and Kuwa Mkweli Na Muaminifu
Mimi Ofisini Kwangu Ni 24 Hour's Muda Wa Kusubir Baada Ya g Hapo Mteja Atarudishiwa Kifaa Chake, Kama Imeshindikana Imeshindikana Tu, La Sivyo Kiwe Kinataka Spair Imeagizwa Na Mteja Akakubali Kusubir.


4. JIFUNZE UTOAJI HUDUMA NA KAULI SAHIHI

Wateja Ni Kama Mtoto Au Mpenzi Anahitaji Lugha Na Kauli Nzuri Ili Arudi Tena, Tambua Aina Za Wateja Wako Na Jua Jinsi Ya Kuongea Nao, Tengeneza Mazingira Rafiki Kwa Wateja Kufika, Mimi Kwangu Nimefanya Haya

UCHANGAMFU
KINYWAJI WAKATI MTEJA ANASUBIRI KIFAA CHAKE
USAFI WA OFISI
FOMU YA MREJESHO (Mteja Atatuambia Kuhusu Huduma Zetu)
HUDUMA YA BURE KUFUATA NA KURUDISHA KIFAA (DELIVERY)


5. JITANGAZE KIDIGITALI

Tengeneza Akaunti Katika Mitqndao Ya Kijamii
INSTA, FB NA TWITTER, WhatsApp Business Acount.
Hii Itqkusaidia Sana Kwa Maana Ulimwengu Wa Sasa Asilimia Kubwa Ya Wateja Wanapatikana Online., Kwanzoni Inakuwaga Ngumu Ila Baadae Inakaa Sawa Na Utaona Kawaida.

6. ITANUE BIASHARA YAKO.

Unaweza Kuiongezea Vitu Kama Spair Za Laptop Na Simu Kama Charger, Battery, Vioo Na Storage Device, Zinasaidia Kukuza Mtaji, Na Kuifanya Biashara Yako Kubwa.

Pia Unaweza Kufanya ON SITE IS BASED REPAIR (Unaenda Kurekebisha Kifaa Alipo Mteja) Au REMOTE SERVICE (Unamuelekeza Mteja Anatuma Kifaa, Unarekebisha Na Wewe Unamtumia)


USEFUL SITES KWA WANAOTAKA KUJIFUNZA

Youtube: SORIN REPAIR SCHOOL, LOUIS ROUSMAN NA IFIXIT






Software Za Simu:


Google.

Wanaohitaji Software Za Kuflash Na Ku Unlock Simu
CRACKED VERSION ONLY
Download Kwenye Hii Link Ya Google Drive




Kwa Wasio Wavivu Kusoma Vitabu Unaweza Kupitia Vitabu Hapo Chini


MOST PAID JOBS

1. Motherboards Repair
2. Screen Replacement
3. Data Recovery
4. Windows Instalation
5. Phone Unlocking & Flashing


Tuendeleze Mjadala

ASANTENI
 
. Lugha la software ndo inaniachaga hoi.... Wacha nimsikilize babu SORIN yupo vizuri
 
Ngoja nianze kujifunza ufundi simu kupitia simu yangu.

Nina tecno spark 2 ina shida ya kamera. Nikifungua camera inaandika "cant connect to camera. Please close other applications which may use camera or flashlight"

Nimejaribu kufix tatizo hili hadi nikaaingia google lakini sijaona suluhisho. Nisaidieni
Peleka kwa fund

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu paka sasa nimeshanunua iyo pc
Ina RAM 4GB
HDD 500
Ila najaribu ku install GSM aladdin inagoma,
Je kuna flashing tools nyingine ambazo unatumia bila box?
Kama zipo ni zipi
Download kupitia kwenye hii site. Mambo yote kuhusu ufundi simu utayapata humo jinsi ya kuflash, kuunlock simu n.k
 
Hapo ndia hapo penye shida mafundi sio waaaminifu na waongo, mimi ofisini kwangu nilishakataa hili, simu au laptop ina masaa 24 tu, ikizid hapo mteja anarudishiwa na sina pesa ya kutanguliza maana najua italeta matatizo
ANATAKIWA AKUPE PESA YAKO NA SIMU IKIWA KAMA ULIVYO PELEKA



Naomba kuuliza swali.
Mteja amekuletea kifaa umtengenezee mimi kama fundi nikatafuta chanzo cha tatizo nikajua ubovu unasababisha na kufa kwa component fulani, lakini kwa bahati mbaya nikashindwa kutengeneza hicho kifaa kwa sababu moja kati ya hizi;
1.Kukosa spea za kureplace
2.mteja kaamua kuchukua kifaa chake baada ya kuona gharama itakuwa kubwa
3.sinauwezo wa kutengeneza hilo tatizo na ktk eneo langu hakuna anaeweza.

Sasa tayari nimeshatumia jitihada kugundua chanzo cha ubovu,Je hapo nastahili kulipwa kidogo?
 
Naomba kuuliza swali.
Mteja amekuletea kifaa umtengenezee mimi kama fundi nikatafuta chanzo cha tatizo nikajua ubovu unasababisha na kufa kwa component fulani, lakini kwa bahati mbaya nikashindwa kutengeneza hicho kifaa kwa sababu moja kati ya hizi;
1.Kukosa spea za kureplace
2.mteja kaamua kuchukua kifaa chake baada ya kuona gharama itakuwa kubwa
3.sinauwezo wa kutengeneza hilo tatizo na ktk eneo langu hakuna anaeweza.

Sasa tayari nimeshatumia jitihada kugundua chanzo cha ubovu,Je hapo nastahili kulipwa kidogo?
Hustahili kama alikuja kutengeneza


Unastahili kama alikuja kucheck up.
 
Hustahili kama alikuja kutengeneza


Unastahili kama alikuja kucheck up.

Wakati mwingine siyo wateja wote ni wema wengine ni wajanjawajanja inawezekana akajifanya gharama ya ufundi ni kubwa akachukua kifaa chake kumbe shida yake ni kujua tatizo tu, kwa kesi kama hiyo fundi siatakuwa kapoteza muda na gharama za umeme kama alitumia vifaa vinavyotumia umeme kutroubleshoot
 
Naomba kuuliza swali.
Mteja amekuletea kifaa umtengenezee mimi kama fundi nikatafuta chanzo cha tatizo nikajua ubovu unasababisha na kufa kwa component fulani, lakini kwa bahati mbaya nikashindwa kutengeneza hicho kifaa kwa sababu moja kati ya hizi;
1.Kukosa spea za kureplace
2.mteja kaamua kuchukua kifaa chake baada ya kuona gharama itakuwa kubwa
3.sinauwezo wa kutengeneza hilo tatizo na ktk eneo langu hakuna anaeweza.

Sasa tayari nimeshatumia jitihada kugundua chanzo cha ubovu,Je hapo nastahili kulipwa kidogo?
Mimi Huwa Nawatoza Fair 10000 Kwa Usumbufu Kama Device Mteja Kapenda Kuichukua Mwenyewe
 
Back
Top Bottom