Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Ushauri, maoni na mbinu za biashara ya ufundi simu na Computer

Hatimae nimefungua huu uzi kwa mara nyingne.....nyuzi kama hizi ndo huwa zinanifanya nidate pale napoikosa Jamii forum hewani.
 
Msaada tafadhali, nimekwama kabisa kupata bootkey ya hii simu ili nitumie miracle box au gsm alladin ku unlock, ni itel it 2160 ya batani. Pia ni nilitaka nijaribu kutumia SP flash tool na spd research tool lakini nimeshindwa kupata pac file. Mwenye kuweza kunisaidia tafadhali
Vipi ulifanikiwa kutatua hili tatizo lako?
 
Huenda UKAHITAJI HUDUMA

KUSAJIL KAMPUNI
-jina la Biashara
-limited caompany
-partneship

HESABU ZA KAMPUNI(FINANCIAL STATEMENTS)

KUANDIKA MEMORANDUM

USAFI WA:
-Majumbani
-Viwandani
-maofisini
-hosipitalini
-shuleni
-maeneo ya jamii

TUKO NA UZOEFU WAKUTOSHA

Wasiliana nasi kwa # 0788104228

USHAURI NI BURE

Popote ulipo TANZANIA tunakupa huduma.
Klin&Brite
 
Hii ndiyo next project yangu kufungua ofisi ya kurepair simu na kompyuta.

Tafadhali naomba mawasiliano yako uwe mwalimu wangu. In short kwa sasa sijui chochote ila nina uwezo wa kujifunza haraka sababu nina commitment kwenye mambo haya.
Karibu nikufundishe.
 
Hongera Saana mkuu kwa kuja huku, mimi nakushauri usijikite sana kwenye vitabu utapata uvivu; tumia video za youtube kwa case ya hardware utakuwa nondo sana, unaamua kuwa kipind hiki unahangaika na tatizo fulani la pc tu, kwa mfano unaweza kuanza na kujifunza kusoma schematic diagram mbalimbali.

kwa hardware mcheki huyu babu wa UK

Mtwara Smart nimeclick link zote hapo juu naona most of them ni za computer repair. tafadhali naomba link za video za phone repair from begginers to advanced. nimezurura u tube kutafta video za phone repair sjaona video za kueleweka.
 
Wakuu ni wapi naweza pata vifaa vya marekebisho ya simu kama oca laminating mashine, microscope kwa Kariakoo.
 
Mkuu kama ulishindwa kuelewa electronics basis unahitaji msaada, tuwasiliane nikuandalie tutorial ya kiswhili(electronics science ie digital electronics,analogue electronics,digital components) mi ni mfizikia sio sio injinia ila electronics theory tumeichapa sana hivyo vitu kama semiconductor devices havinipi shida.
Mafundi wengi hawataweza kuelewa mother board kwa sababu it is purely science nao waliishia 7.
Hata hivyo nina mpango wa kuanzisha website ambapo nitatoa msaada wa hizo kitu kwa lugha nyepesi hata mtu alie ishia la 2 aelewe na aboreshe kazi yake.
Mkuu vipi kihusu website. Kama tayari, tujulishane
 
Mkuu vipi kihusu website. Kama tayari, tujulishane
Bado, inatakiwa niwe navifaa vya kutosha sitaki kubabaisha nataka iwe complete open online school katika sayansi kuanzia kinder gatten mpaka juu, sitaki kufanya ubabaishaji.

Vifaa vya maabara na na vya kufanyia trouble shooting ni ghali sana bado studio. Mfano oscilloscope ya kiwango cha kati inacheza dola 200-1000, kamera ya kurikodia tutorial dola 800+.interactive board, kuna software kama doods, Adobe ,functional generator, pulze detector, radiation detector nk nikipiga hesabu natakiwa niwe na walau m5+ ndio nifanye kitu hata mtu wa South Africa au kenya aweze kutumia site zangu.

Sijaamua bado kuifanya kuwa kazi (full time job) zaidi ya hobi.
Nadhani nita aanza na you tube tutorial japo nimekutana na pingamizi ya kupata cheap kamera ya walau laki 4 kuanzuta, kutokana na korona kikuu waliniambia huduma za kuagiza vitu zimesitishw na mimi nipo mkoani vifaa vingi havipatikani.

Nilitoa option kwa mtu asie na ujuzi na anataka kujifunza basics awasiliane nami nimuandalie local/low quality video na atahusika mwenyewe gharama ya ku up- load/ kumtumia video.
 
Bado, inatakiwa niwe navifaa vya kutosha sitaki kubabaisha nataka iwe complete open online school katika sayansi kuanzia kinder gatten mpaka juu, sitaki kufanya ubabaishaji.
Vifaa vya maabara na na vya kufanyia trouble shooting ni ghali sana bado studio. Mfano oscilloscope ya kiwango cha kati inacheza dola 200-1000, kamera ya kurikodia tutorial dola 800+.interactive board, kuna software kama doods, Adobe ,functional generator, pulze detector, radiation detector nk nikipiga hesabu natakiwa niwe na walau m5000 ndio nifanye kitu hata mtu wa South Africa au kenya aweze kutumia site zangu.
Sijaamua bado kuifanya kuwa kazi (full time job) zaidi ya hobi.
Nadhani nita aanza na you tube tutorial japo nimekutana na pingamizi ya kupata cheap kamera ya walau laki 4 kuanzuta, kutokana na korona kikuu waliniambia huduma za kuagiza vitu zimesitishw na mimi nipo mkoani vifaa vingi havipatikani.
Nilitoa option kwa mtu asie na ujuzi na anataka kujifunza basics awasiliane nami nimuandalie local/low quality video na atahusika mwenyewe gharama ya ku up- load/ kumtumia video.
M5000 chai hii mkuu?
 
Bado, inatakiwa niwe navifaa vya kutosha sitaki kubabaisha nataka iwe complete open online school katika sayansi kuanzia kinder gatten mpaka juu, sitaki kufanya ubabaishaji.

Vifaa vya maabara na na vya kufanyia trouble shooting ni ghali sana bado studio. Mfano oscilloscope ya kiwango cha kati inacheza dola 200-1000, kamera ya kurikodia tutorial dola 800+.interactive board, kuna software kama doods, Adobe ,functional generator, pulze detector, radiation detector nk nikipiga hesabu natakiwa niwe na walau m5+ ndio nifanye kitu hata mtu wa South Africa au kenya aweze kutumia site zangu.

Sijaamua bado kuifanya kuwa kazi (full time job) zaidi ya hobi.
Nadhani nita aanza na you tube tutorial japo nimekutana na pingamizi ya kupata cheap kamera ya walau laki 4 kuanzuta, kutokana na korona kikuu waliniambia huduma za kuagiza vitu zimesitishw na mimi nipo mkoani vifaa vingi havipatikani.

Nilitoa option kwa mtu asie na ujuzi na anataka kujifunza basics awasiliane nami nimuandalie local/low quality video na atahusika mwenyewe gharama ya ku up- load/ kumtumia video.
Hongera sana Mkuu

Naomba kujua una idea ya vifaa vya kufungua FM radio station
 
Hongera sana Mkuu

Naomba kujua una idea ya vifaa vya kufungua FM radio station
No practically ila theoretically yes. SijawahiH fanya experment zozote tangu ni.alize chuo kwa sababu ya changamoto ya vifaa na nafanya kazi tofauti na hayo mambo.
Nafikiri nukifanikisha vifaa ntafanya project nyingi.
Ntaleta hizo design hapa
uende kujaribu kuzifunga(simple transmiter).
Unazungumzia radio station/ mitambo ya kisasa au classical radio transmiter.
 
Hongera sana Mkuu

Naomba kujua una idea ya vifaa vya kufungua FM radio station

Hongera sana Mkuu

Naomba kujua una idea ya vifaa vya kufungua FM radio station
Ili uweze ku design/ kufanya project ya radio receiver & transmiter ina bidi ujifunze/ uzijue component kama inductor,transistor,filter, opam, capacitor, diode, resiator transformer,ic components pamoja na baadhi ya digital components.

Simple transmiter haina complication theoretically naweza kukusaidia namna inavyo fanya kazi(in circuits form) ila sijawahi kuidizaini practically kama nilivytoeleza pale juu kuwa sina vifaa vya practical.

Hata hivyo hurusiwi kurusha mawimbi bila vibali. Kama una nia na hela ununue vifaa vya kufanyia electronics projects kisha ndio upate bridge board/ circuits board halisi na components uunde halisi, utafanikiwa kwa muongozo.
 
Back
Top Bottom