Kaveli pambana ndugu yangu pambana haswa nasisitiza .....hapa sisi tunaendelea kupambana tu hata tupate chance ya hosting.
Jamaa ukichomoka katusomee ramani.
all the best kaveli tuliza akili jaza form kwa umakini zaidi 10 days hope Ni nyingi
GO KAVELI...!
Komaeni kwenu wabongo kuna fursa nyingi tu. Uzi umedumu huu! Kumbe mnadanganyana kwenda usikokua na ndugu! Msilaumu serikali kama wenzenu wanaojirusha miloisti!
Mkuu I wholeheartedly wish you best of luck. I salute your fighting spirit keep movingThanks a bunch guys. Shukrani kwa dua zenu juu yangu katika hili. Naendelea kupambana ndugu zangu. Naendelea na mchakato wa Application kwa muongozo wa mkuu izzo .
Peace and love. Barikiwa sana wote.
-Kaveli-
Huu uzi haukuhusu umepotea njia.Komaeni kwenu wabongo kuna fursa nyingi tu. Uzi umedumu huu! Kumbe mnadanganyana kwenda usikokua na ndugu! Msilaumu serikali kama wenzenu wanaojirusha miloisti!
Mkuu I wholeheartedly wish you best of luck. I salute your fighting spirit keep moving
Sasa wew kwa nini unaiquote thread ndefu ,mbona mnakuwa namna hii jamaniMkuu inategemea unataka kwenda inchi gani kujilipua...zipo inchi zipo ulaya lakini utatamani ubaki Africa..sasa wewe nidokeze unataka uende inchi gani?
Kwahiyo hivyo visiwa ni visa free?Nmefuatilia kwa makini huu uzi... . Maoni yangu n kwann tusiende zile nchi za free viza.. nmependa nchi moja inaitwa British virgins island... nime Google iko poa sana... economic n political... kuliko kuhangaika na nchi ngumu kuingia me nashauri twende nchii hii.. afu ni rahis kwenda UK.. Ukishazama UK ni rahis kwenda Ireland.. then nirahis kwenda *Luxembourg* .. hii Nchi n Bora kbsaaa Ulimwenguni.. Luxembourg bonge la Nchi nzur sanaa hii..
Kesho naenda kuchukua passport yangu, One step at a time hopefully one day we will reach there
mkuu vipi ile program yako na izzo?
Daby usisahau kuna nyumba ambazo ziko bei chini zaidi ya hapo, na mnaweza mkaishi watu wawili kwa kuchangia mahitaji,Kodi ya pango 50
Tax 20
Simu 5
Chakula 20
Transport 20
Kazin kula 10
Umeme 10
Extra labda 50
Total 185.
250 - 185 = 65
Kwa hiyo utakuwa unasave 65 pound. Ambayo ni sawa na laki 165420 per week. Kwa mwezi una laki 6 na kitu.
Aseeeh.
Mkuu hata mm plan yangu ni Malta, Pasport na nauli ninayo nishauri nitumie njia gani ? kujisajiri workaway ni $ 29 sasa najiuliza wale wanaotaka watu wa volunteering anaweza kunitumia mwaliko?? au tutishia kuchat tu ??? au nitumie njia gani nyepesi ya kupata visa ???? Naomba ushauri wako mkuu
Kwahiyo hivyo visiwa ni visa free?
Hizo gharama alizoweka hapo ni kubwa mno....Daby usisahau kuna nyumba ambazo ziko bei chini zaidi ya hapo, na mnaweza mkaishi watu wawili kwa kuchangia mahitaji,
Then kwasiku huwezi kufanya kazi moja, unaweza ukafanya kazi hata 3, na kila kazi kwa lisaa unalipwa zaidi ya 20 elf
Haha kweli mkuu... Si unaona hapa mtu anamkarisha tamaa mwenzie ooh Huku hivi na vile hapohapo yeye bado yupo huko....watanzania wengi walioko nje wana roho mbaya.hawasaidiani kabisaaa.sipendi kudanganya ila bora hata ujitambulishe we mkenya au mganda au mrundi utasaidiwa ila ukijitaja mbongo tu hata pa kukaa hutopata.wanaosaidiana ni nchi zingine.inauma sana.tunashndwa hata na wamalawi?daaah
immagration inchi husika watachaj hela kidogo baada ya kuingia airport yao ????? au hapa hapa bongo kabla ya kuondoka ???? Kuhusu maswali nikisema nimekuja kutembea pia nikaonyesha bank statment yenye salio la kutosha kuna la ziada hapo ???? Naomba mwongozo wako mkuu.
Ameen,kila la kheri mkuuKm Mwenyezi Mungu atapenda Kivyovyote vile mie lazima nisepe tu, ikiwezekana hata kwa miguu kikubwa uzima in shall ah...