Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Niwaambie kitu Ujerumani wanajitahidi sana kuwa karibu na makoloni yao yale waliopokonywa na UN baada ya Vita kuu ya kwanza, ambayo ni German East Africa(Tanganyika, Rwanda na B Urundi) , Kameroon na Togo.
Wenzetu waliinyaka kitambo sisi tu Wabongo tulizembea.
 
Mkuu lakini kutoboa german si ni mbide tofauti na yule yupo dernmark.
 
Mkuu lakini kutoboa german si ni mbide tofauti na yule yupo dernmark.

Ukweli ni mbinde kuliko Scandinavian Countries ,Penye ugumu ndipo penye neema.

Ukipata nafasi wewe chukua ,zote ni Umoja wa Ulaya. Danmark inapakana na Ujerumani upande wa kaskasini . Yaani ipo kaskazini ya Ujerumani
.
 
Wewe kweli umeona kwa jicho eagle ambalo wengi hawana access ya kuona hvyo mjerumani akijua umetoka Tanganyika usisema Tanzania sema Tanganyika yani hapo utakuwa rafiki yake na atakusumbua sana mje wote TANZANIA trust me hakuna nchi ambayo mjerumani anaipenda kwa africa kama Tanzania sema serikali yetu imejishwa kujitambua au kuelewa na kutumia nafasi hyo

Ni kuingia nao mkataba nao tu na kuwambia waje wachukue vitu au mali walizozificha then kwa makubaliano ya kutujengea miundombinu na mikoa mf mnawapa mikoa kama Dodoma,Mwanza , Arusha na morogoro wajenge na waisimamie wao kwa kuchukua mali zao walizozificha wakat wanakimbia vita vya kwanza vya dunia
 
Ni kweli mkuu ila mleta Uzi alitaka inchi ya kujilipua..maana YAKE apate na uraia..sasa ni VIZURI ukapata uraia ktk inchi ambazo zina haki za binadamu...hata mkimbizi unathaminiwa mkuu...ndy maana nikamwambiya watu hawajilipui kule...kuna baadhi ya inchi hata za ulaya hupewi stahiki zako kama mkimbizi...na kutoa uraia pia ni ngumu mno..mfano GREECE...Bulgaria..Romania.nk zipo ulaya lakini huwezi pata stahiki kama BELGIUM.. Swiss.. Austria..nk..inchi hizo miaka miwili TU ushapewa makaratasi ya uraia..mm nimekaa ATHENS ..GREECE miaka minne na aijapewa hata kibali cha UKIMBIZI..nikiona police nataka kuvunja miguu kwa mbio...nilipoona hovyo nilijirudia Tanzania..ilikuwa 2011
 
Mkuu ULAYA ni kwl kutamu..ila wapo watu wana miaka ZAIDI KUMI kule..hawajarudi bongo kwa aibu...hajuwi atasema nn huku...maana miaka yote hiyo hajafanya cha.Maana huku kwao..hata bicycle pia hajatuma...mwishoe anaamua kuwa TEJA..now ulaya imekuwa ngumu mkuu...watu weusi na weupe tumekuwa idadi sawa..
 

Halafu German ni super power Nchi za Umoja wa Ulaya. Yeye ndiye aliyebeba mzigo wote wa Euro Curency,
maana wakati hii Euro inaanza fedha yake ndiyo ilikuwa na thamani sana.
 
Mkuu MziziMkavu alikua akifanya ishu za kuwapeleka watu ulaya kwa malipo fulani... Unafika huko wanafanya arrangement ya mwaliko mpaka residence permit....

Wasiliana nae kama bado wanafanya hizo mambo....
Sawa ngoja nimcheki
 
Frank mbise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…