Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
[emoji121]Huu ni utapeli, na anayejifanya anajua kutafutia watu namna ya kuruka ng'ambo naye ni tapeli!!!! Tena kuweni makini hawa ni matapeli!!! Ni type ya kina britannica tena unaweza kuta ndio huyu shenzi kabisa...... Matapeli tu hawa
[emoji121]
BILA SHAKA WEWE NI [HASHTAG]#BRITANICA[/HASHTAG] UMEKUJA KIVINGINE KWA JINA LA #Eng_Mose.
MCHAWI WA TRIP ZETU ZA UGHAIBUNI WEWE!
[emoji121] [emoji121] [emoji121][/QUOTE
Naimani daby, lusungo,stunter, kaveli, shyshii, dr. Adam, segito wa kalenga, mgogoone n. k tulianza mwanzo vizuri tukielekezana mbinu na changamoto za kujilipua. Wenye husda walikuja na kusababisha movement kuwa na mwendo mdogo. Tuna kila sababu ya kumshukuru izzo na lusungo kwa walivyokuwa wameamua kujitoa. Hili la kuwa na whatsapp group ni lizuri sasa tungekubaliana nani alianzishe na vipi viwe vigezo vya mtu kuungwa. Kwa kuanza napendekeza waanzilishi wa kundi wawe daby, lusungo, stunterHaha.. hili wazo nililitoa zamani mkuu watu wakakataa. Tunawaza namna moja sijui kisa wote wamasai (joking)
Hamna ya free registrationKuna hii site nyingine ambayo ina picha ya huyu Rais mpya. Miaka ya nyuma hii site haijawahi kuwa na picha ya Rais yeyote yule, lakini huyu jamaa anavyopenda misifa si ajabu kataka picha yake iwekwe.
THE OFFICIAL USA DV2019 GREEN CARD LOTTERY
Hamna ya free registration
Scammers wengi kaka, unaweza kuliwa
Hi nzuri na iko openHapo kwenye where chagua bar au nchi halafu chini itakuletea idadi ya host ambao wapo maeneo hayo
Find host families and organizations as a volunteer, for gap year, work and travel. Germany
Nimejaribu kuchimba zaidi ila sijajua kama itawezekana kuwapata wahitaji wawanaohitaji watu bila kulipia. Njia yenyewe ni kuangalia host halafu angalia kwenye comment za watu walishafika kwenye hizo familia. Baada ya hapo jaribu kuangalia ambaye ameandika jina lake kamili. Ukilikuta nenda kalitafute hilo jina google basi utapata na baadhi ya mawasiliano aidha facebook, twiter, linked n. k au waweza kusave picha yake halafu ukatafuta detail kupitia google imageHi nzuri na iko open
Tatizo ni kuombwa hela Scammers wengi, unaweza kuliwa
Ila asante sana kaka umetupa mwangaza
Hiki kitu nimekifuatilia sana, na kipindi chote nilichokuwa kimya humu nilikuwa nafuatilia hili suala kwenye mifumo yake ikiwemo kuangalia waliotutangulia jinsi wanavyojiendesha,Jamani mnaonaje tukafungua kampuni au NGOs iwe ina shughulika na mambo yote tutakayo kubariana kuhusu diaspora na jinsi ya kuwa na wanachama na utaratibu wa kufata na mambo mengine... kama kuwa na office, web nk
NB: ni wazo najaribu kuwailisha kwenu kama kuna mawazo ya aina yoyote e.g kujenga na kuvunja (kukosoa) pia yana karibishwa....
Daby Umemuelewa Eng Mose? Unakumbuka nilichokwambia?Huu ni utapeli, na anayejifanya anajua kutafutia watu namna ya kuruka ng'ambo naye ni tapeli!!!! Tena kuweni makini hawa ni matapeli!!! Ni type ya kina britannica tena unaweza kuta ndio huyu shenzi kabisa...... Matapeli tu hawa
Asante sana mpendwaNimejaribu kuchimba zaidi ila sijajua kama itawezekana kuwapata wahitaji wawanaohitaji watu bila kulipia. Njia yenyewe ni kuangalia host halafu angalia kwenye comment za watu walishafika kwenye hizo familia. Baada ya hapo jaribu kuangalia ambaye ameandika jina lake kamili. Ukilikuta nenda kalitafute hilo jina google basi utapata na baadhi ya mawasiliano aidha facebook, twiter, linked n. k au waweza kusave picha yake halafu ukatafuta detail kupitia google image
Asante sana mpendwaNimejaribu kuchimba zaidi ila sijajua kama itawezekana kuwapata wahitaji wawanaohitaji watu bila kulipia. Njia yenyewe ni kuangalia host halafu angalia kwenye comment za watu walishafika kwenye hizo familia. Baada ya hapo jaribu kuangalia ambaye ameandika jina lake kamili. Ukilikuta nenda kalitafute hilo jina google basi utapata na baadhi ya mawasiliano aidha facebook, twiter, linked n. k au waweza kusave picha yake halafu ukatafuta detail kupitia google image
Uliiona hiyo www.homestay.comHi nzuri na iko open
Tatizo ni kuombwa hela Scammers wengi, unaweza kuliwa
Ila asante sana kaka umetupa mwangaza
Wazo lako naliunga mkono, kwa sababu bila ya kufanya hivi, itakuwa hawa walijitokeza kutusaidia kina Lusungo, Izzo na wengineo yatabaki hapa. Lakini tukiwa na group tukajiwekea utaratibu mzuri, tukaweka malengo thabiti na nia inawezekana. Kwa mwendo wa kuendelea kujadiliana hapa kuna wahuuni na wenye wivu kuja kutuaribia Uzi.Naimani daby, lusungo,stunter, kaveli, shyshii, dr. Adam, segito wa kalenga, mgogoone n. k tulianza mwanzo vizuri tukielekezana mbinu na changamoto za kujilipua. Wenye husda walikuja na kusababisha movement kuwa na mwendo mdogo. Tuna kila sababu ya kumshukuru izzo na lusungo kwa walivyokuwa wameamua kujitoa. Hili la kuwa na whatsapp group ni lizuri sasa tungekubaliana nani alianzishe na vipi viwe vigezo vya mtu kuungwa. Kwa kuanza napendekeza waanzilishi wa kundi wawe daby, lusungo, stunter
Kwenye msafara Wa mamba na kenge wamo, tutawajua kwa matendo/maneno yao tafadhali tusonge mbele mkuu lusungo, daby na stunter tunasibiri maelekezo toka kwenu. Lusungo ongea na Izzo arudishe moyo wa kutusaidia.