mimi kipepe
Member
- Feb 24, 2017
- 23
- 16
Tujaribu hii wadau, na tuwe tunapeana mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hio njia ya Belize ni nzuri na nyepesi sana kwani ni hela yako tu, but baada ya kuingia USA utawaambiaje maafisa wa uhamiaji ? hapo hakuna hatari ya kurudishwa? au njia hio ni halali ???
Mkuu Barikiwa sana. jana sehemu zote nilizozunguka, nafuu yangu niliikuta Turkish walinambia 810 usd, kwa tar 30 april. Thanks alot Mkuu, am on that web site now
Mkuu uko sahihi sana sijui kwanini wa Tanzania wengi siku hizi wanapenda mno whatsup group! Na ni kitu gani kinafanya huko kwenye magroup iwe rahisi kuandikwa kuliko hapaWhat's more special in what's up group than this forum? Sijaona umuhimu wa kuhamishia mambo huko?? Ni kujitenga kusikokuwa na tija .
Sio kila member anataka kujulikana ama mawasiliano yake kuwa wazi kwa sababu mbali mbali ikiwepo usalama binafsi.
Kuna mengi yanawezekana kusemwa hapa kwa jukwaa kuliko uko what's up.
Sitegemei matokeo mazuri zaidi kupitia kwa group la whatsup tofauti na hapa kwa huu uzi. Mkiwa kwa group ni members waliojiunga tu ndio mnaoshea lakini hapa yeyote anaweza kuchangia mada kwa muda atakaoona unafaa yeye kufanya hivyo.
Haiwezekani members wote wenye uhitaji huo wa kwenda nje na kupata taarifa wakajiunga.
Group la what's up linaweza kuanzishwa kwa jambo fulani linalohusisha watu wachache tu....pia sio lazima kwani pm inaweza kutumika kufanya hayo yote na sio kama ilivyo apa kwa huu uzi.
Ni mtazamo wangu tu nakubali kupingwa na kukosolewa kwa manufaa ya wengi.
Huu Uzi una viewers zaidi ya 2K then mnafungua group ambalo maximum no ni 256 kwa nini msi share hayo mambo apa kwa huu uzi ili watu wengi zaidi wafaidike????![]()
![]()
![]()
Wewe umekuta kila kitu kinajadiliwa hapa kwanini sasa hivi unang'ang'ana mjadala upelekwe whatsup group! Wengine hatupendi hizo whatsup group huoni kuwa utakuwa unatubania kujua mambo mengine tofauti na lengo la mwanzisha Uzi.Naomba tuujadili whatsapp huu mjadala please link hiyo Open this link to join my WhatsApp Group: Journey To The West
Everything !! kwa mtanzania ambae anaweza kutoka hapa anaweza kufanya biashara za namna gan? Mazingira yao yapoje?huduma zao za jamii,usalama,mzunguko wa hela yao,mtu anaetoka sehem gan nzur ya kufikia namaanisha bei za hotel zipoje,utaratibu ni upi kuingia kule,kuishi kule... LUSUNGOunataka kujua nini kuhusu botswana?
Mimi kwa sasa nipo hapa hapa TZSamahani segitoo we upo wapi kwa sasa?
Mana nshaninganya huu urapa ni noooma!!!
Ila mi nilikuwa nawasiliana na segito wa karenga ndo alisema yupo SA.
Kutaka kujuana kwa majina halisi na kutoana hofu.
Karibu. Japan mkuu, pesa hipo pahala hapa. Cha kuzingatia kuwa na adabu na eshima kwa kila mtu. Japan ni nchi ya maadili sana. Besides that ukikifaham Kijapan utafanikisha mambo yako zaid. Kila la kheri.Nmepata mchongo wa kwenda japan na mwenyeji wangu kaniambia fursa za kazi kibao na nkifika natafutiwa mwanamke tunafunga ndoa napata kikaratas maisha mengine yataendela. Kwa mwenye uzoefu na inchi hiyo ningependa kujua mengi
Nmepata mchongo wa kwenda japan na mwenyeji wangu kaniambia fursa za kazi kibao na nkifika natafutiwa mwanamke tunafunga ndoa napata kikaratas maisha mengine yataendela. Kwa mwenye uzoefu na inchi hiyo ningependa kujua mengi
Kiukweli bongo fursa kibao, sema tu serikali si muezeshaji kwa wananchi wake
Nmeshauliza snaa nchi ya botswana lakin sijapata mrejesho mpka leo
Duh, asante mkuu hapo kwenye Note pamekaa poa sanaKwa vile umeuliza si vibaya kukufahamisha ilichouliza kwanza Hongera sana kwa kupata mchongo Japan . Japan ni moja ya nchi zilizoendelea Duniani ikiwa ya 3 kutoka US then China Kwanza jambo la kwanza unapotaka kwenda kutafuta maisha kwenye nchi nyingine cha Kwanza unachotakiwa kuangalia ni Uchumi wa Nchi husika then vinafata vigezo vingine ambayo kwa ujumla ni 5
Kwanza kwa kuamia Japan Kwanza utapata faida 4 ambazo kwa wanaoamia Ulaya magharibi na North America wanapata faida 3 lakini unapoamia nchi yeyote kuna faida ambazo unatakiwa kuzipata faida hizo ni
1 Kiusalama
2 Kiafya
3 Kiuchumi
4 Kijamii (hii inategemea ulipotoka)
Ulaya na America utapata faida 3 nazo ni Usalama, Afya, Uchumi
Wakati Japan utapata faida zote ikiwamo faida muhimu sana ,faida ya Kijamii watu wengi wanadharau faida hii lakini ni Faida kubwa sana kwa watu wenye misingi , hekima na weledi
Japan ni nchi ambayo ni nchi yenye watu wastarabu na wenye maadiri hapo ndipo faida ya Kijamii inapokuja kwani Nidhamu ndio inamjenga mtu , mtu yeyote ambae hana Nidhamu kufanikiwa kwake ni ngumu sana na huwezi kukaa kwa watu wasio na Nidhamu then ww ukawa na Nidhamu
Watu wengi walio Ulaya si nchi za Scandinavia kwani nchi za Scandinavia wana Nidhamu sana nazungumzia Ulaya na America wengi wanaona aibu kurudi kwani wamekijuta wamekaa muda mrefu nje lakini hakuna cha maana wanachoweza kujisifia au kuonyesha nyumbani kwani fedha nying imepotea kwenye starehe tu ndo linapokuja swala la Nidhamu
Yapo mengi ya kukwambia kuhusu Japan lakini ninachotaka kukwambia ni moja ya nchi bora kabisa Duniani kuishi pia kitu ambacho wengi hawajui kuhusu Japan. Japan is restricting immigration. In reality over 95% of applicants are accepted. So, it is just the fact that not many people actually apply.
So uwezekano wa kupata Citizenship ni mkubwa kuliko Ulaya na America kwani wahamiaji wengi wa Japan ni Mongolian kutoka Korea na zamani walikuwa wachina lakini siku hizi Wachina wanakimbilia Canada na USA pia Japan hawataki dual citizenship so watu wengi unakuta japan si chaguo lao wazungu wengi wanataka kuwa na uraia zaidi ya mmoja so kutokana na hilo inakuta Japan si Chaguo lao pili Lugha ya Kijapani watu wengi wanapenda kwenda kwenye nchi zinazoongea Kingereza
Kama nilivyosema Yapo mengi ya kukwambia kuhusu Japan lakini naomba niishie hapo mengine unakwenda kujionea mwenyewe
Note wanawake wa Asia yani wanawake kutoka nchi za Mongalian races yani Japan, China,Korea, Philippines, Malaysia, Taiwan, Singapore wana vivu sana hasa wanapopata mtu kutoka race tofauti na yao kwa hyo kuwa makini sana wanapenda vibaya sana na wapo tayali kujeruhi au kuua kwa ajili ya mwanaume so kuwa makini sana
Bila kusahau Taima hushide suka-- unavuta bangi?Mkuu Hongera sanaaaaa tu.Muhimu ni kuingia Japan kwanza Halafu Hayo mambo mengine ni wewe tu.Mwenyeji wako atakufungulia mlango ila wewe ndio unafanya ujasiri wa kuendelea.Kama alisema mwanaJF Hapo juu
Maadili Na Nidhamu za waJapani.
Kazi zipo Wanawake wapo vyote hivi vinahitaji ujasiri wako wa kujifunza Kijapani ili ufanikishe malengo yako.
WaJapani Wanasema "domo arigato" Asante sana."Sayonara" Kwa heri
"Ganbarou " kila la kheri
Mkuu Hongera sanaaaaa tu.Muhimu ni kuingia Japan kwanza Halafu Hayo mambo mengine ni wewe tu.Mwenyeji wako atakufungulia mlango ila wewe ndio unafanya ujasiri wa kuendelea.Kama alisema mwanaJF Hapo juu
Maadili Na Nidhamu za waJapani.
Kazi zipo Wanawake wapo vyote hivi vinahitaji ujasiri wako wa kujifunza Kijapani ili ufanikishe malengo yako.
WaJapani Wanasema "domo arigato" Asante sana."Sayonara" Kwa heri
"Ganbarou " kila la kheri