Maputo ndo sehemu salama kule ni kireno hasa, fulsa za biashara zipo pia wao wanapenda sana dawa za asili miti shamba kama wamasai wanavyouza. Kuna dada yupo humu Jf anaishi huko nadhani anaweza kueleza vizuri.Wakuu huku ktk hili jukwaa inawezekana nikampata mtu ambaye yuko Msumbiji au anayejua namna ya kupata uraia. Kwani ni kama wiki mbili zilizopita nikiwa natoka Moshi kuna Mzee tulikuwa tunapiga stori za maisha kwa ujumla ananiambia raia wa kule sio watu wa kujishghulisha. Yeye anasema alitoka huko miaka kumi na mbili iliyopita. Msaada wenu kwangu utanisaidia sana
Mkuu Malinyi,
Hiki ni moja ya chuo bora huko Berlin, Ujerumani. Fee yao ni Euro 120 hivi lakini pia kuna utaratibu wa kuweka fedha katika ubalozi wa Ujerumani kama Euro 7000.
Angalia tovuti ya chuo. Kinaitwa Technical University of Munich.
Application and Acceptance - TUM
Fahamu kuwa utahitaji kuonyesha na kufungua a/c ya Euro 7000 ubalozi wa Ujerumani, Tanzania. Hii ni gharama ya maisha kwa mwaka Ujerumani.
Mkuu hayo maswali yako yamejibiwa katika huu uziWakuu naombeni ushauri, Nina rafiki yupo USA tulikutana. online tuna miezi miwili sasa, je akinitumia mwaliko pale US embassy watanipa visa? au inatakiwa urafiki uwe wa mda mrefu ?? angalau miezi mingapi??? Nisaidieni. wakuu.
Ktk page no. ngapi mkuu ??Mkuu hayo maswali yako yamejibiwa katika huu uzi
Tafadhali soma vizuri
Changamoto ya hizi nchi zisizotumia Kiingereza ni kuelewa lugha yao kwenye website zao hapo hua naumiza kichwa sana
Angalia # 2917Ktk page no. ngapi mkuu ??
1. Hii tovuti ni ya Kiingereza.Changamoto ya hizi nchi zisizotumia Kiingereza ni kuelewa lugha yao kwenye website zao hapo hua naumiza kichwa sana
Hiyo nimepitia na imekaa vizuri kilugha, nimejaribu kwa vyuo vingine imegoma hata kutranslate1. Hii tovuti ni ya Kiingereza.
2. Unaweza kusoma kwa lugha ya Kiingereza kwa baadhi ya masomo.
3. Kuna vyuo vinavyotumia Kiingereza peke yake Ujerumani, Norway na hata Japan.
Ukiwa na uwezo, the sky is the limit.
Mkuu, google tu mwenyewe.Hiyo nimepitia na imekaa vizuri kilugha, nimejaribu kwa vyuo vingine imegoma hata kutranslate
ubarkiwe mkuu
Kuu naomba uniunge na mimi hasa kwa mtu wa makerere nahitaji kwenda kufanya bachelor huko..Naomba nikuunganishe na mdau wangu wa makerere na university of Nairobi hope they will have something to share kuhusu hiyo course yako
Barikiwa.
Ingia hapa Swedish Institute Study Scholarships Application zinafunguliwa mwezi December, kwa mwaka huu tayari wameshatoa majina ya waliopata scholarship. Hizi ni za SwedenWandugu Mimi nina shahada ya kilimo, nafanya kazi serikalini, nina miaka 3 kazini
Naomba kupewa link ya kusoma vyuo vya nje masters ya kilimo katika vyuo ambavyo hawahitaji mitihani ya English, maana mimi sijafanya hiyo mitihani.
Kuna vitu vya muhimu uviandae Kabla ya muda wa kuomba kufikaWandugu Mimi nina shahada ya kilimo, nafanya kazi serikalini, nina miaka 3 kazini
Naomba kupewa link ya kusoma vyuo vya nje masters ya kilimo katika vyuo ambavyo hawahitaji mitihani ya English, maana mimi sijafanya hiyo mitihani.
Aisee mkuu daby huu mtandao ni mzuri pia una hitaji mtu uwe mkweli kwa unacho kuzungumzaKama unauhitaji wa kujifunza lugha online na unaweza kutumia hiyo opportunity kufahamiana na watu wa nje ...tafuta hii app Hello talk.
Yes sure.. nimejifunza kiswedish kupitia hello talk sasa hivi nipo intermediate level.Aisee mkuu daby huu mtandao ni mzuri pia una hitaji mtu uwe mkweli kwa unacho kuzungumza
Ongera[emoji2][emoji2]Yes sure.. nimejifunza kiswedish kupitia hello talk sasa hivi nipo intermediate level.