Wakuu huku ktk hili jukwaa inawezekana nikampata mtu ambaye yuko Msumbiji au anayejua namna ya kupata uraia. Kwani ni kama wiki mbili zilizopita nikiwa natoka Moshi kuna Mzee tulikuwa tunapiga stori za maisha kwa ujumla ananiambia raia wa kule sio watu wa kujishghulisha. Yeye anasema alitoka huko miaka kumi na mbili iliyopita. Msaada wenu kwangu utanisaidia sana