Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Aisee kuna jamaa yangu mmoja aliniambia ukiwaambia unatoka na tanzania, na hili wakuelewe basi itabidi uwape lecture haswaa.... Na sijui utatumia reference gani maana mlima kilimanjaro wanafahamu unapatikana kenya.
Mkuu wapi nawwza kuishi nakupata kazi European country na Asian country na kuna urahisi wa kupata visa?
 
Aisee kuna jamaa yangu mmoja aliniambia ukiwaambia unatoka na tanzania, na hili wakuelewe basi itabidi uwape lecture haswaa.... Na sijui utatumia reference gani maana mlima kilimanjaro wanafahamu unapatikana kenya.
Wase***ng* sana wakenya yaani watuwahi mapema wakautangaza mlima wetu upo kwao dunia nzima ikawajua.
 
Mkuu ni kweli... Uhamiaji hawatoi passport bila reason.... Nafikiri tungebadili huu utaratibu tuwe kama wenzetu ambao passport kwao ni haki ya msingi na unaweza miliki tu.


Mkuu lusungo hongera uzi mzuri, una manufaa sana pia.

Hii kitu ya kuhangaishwa na passport imenishtua, it's not right kuhangaishwa Mtanzania halisi. Ni vizuri kuwa careful since the right to have a passport as a Tanzanian was abused before, lakini they can tell, inapokuja suala la kugundua mzawa na asie mzawa. Kila mtanzania ana ya haki kuwa na passport ya Tanzania bila kunyanyaswa.
 
karibuni Basel (uswizi)...ila huku ukitaka kula nchi uwe umepiga shule...niko swiss tropical inst....

....ulaya imekua chungu sana kwa waosha vyombo na wazamiaji....maana sharia za nchi za ulaya zimekua tight sana ...maana wana monitor terrorism....maana kumejaa waarabu ulaya....

.....sasa hivi ukitaka kuula....nenda shule tu....ili ukubalike kokote....

....Btw.....home is always better.....singewashauri watu wawe na mtizamo wa kukimbilia ng'ambo....kwani bado kuna ubaguzi mkubwa wa kimfumo(institutional racism).....kwa hiyo ni bora nyumbani TZ....ni bora kubanana nyumbani kuliko ng'ambo....

..madada zetu wengi wanaishia kupiga umalaya ng'ambo...na wanapigwa hadi nyuma...kisa eti maisha bora!!kuuza utu sababu ya maisha bora!!....ama kuoshea wazungu vyoo!!...no please....
 
Mkuu lusungo hongera uzi mzuri, una manufaa sana pia.

Hii kitu ya kuhangaishwa na passport imenishtua, it's not right kuhangaishwa Mtanzania halisi. Ni vizuri kuwa careful since the the right to have a passport was abused before, lakini they can tell, inapokuja suala la kugundua mzawa na asie mzawa. Kila mtanzania ana ya haki kuwa na passport ya Tanzania bila kunyanyaswa.
Asante sana mkuu Kui

Binafsi nimefarijika sana kukuona hapa! Karibu ushee nasi uzoefu...... Karibu sana sana!!
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hahahaa mkuu, leo hii hadi sie vijana wa kitaa tunakula vumbi la Mbagala na passport tumezika uvunguni geto mpaka tunaisahau!

Mvua za mwaka juzi... natoka misele narejea geto uswazi... ile kufungua goli tu, nikatahamaki na kujisemea: "khaaa kumbe nina passport, sa nangoja nini kwenye Bara hili la giza?". Geto limejaa maji mpaka level ya kitanda, gamba la kijani linaelea tu kwenye maji. Siku hiyo nilishinda kutwa nzima nadeki geto na kuanika nyaraka. Uswazini heka heka!

Kweli nawadeiz mpaka masela wa kitaa wanaholdi passport. Kupata channel ya kupaa ndo mbinde kichizi, hasa kwa vijana tunaotokea familia za 'unga robo usicheze mbali'. Otherwise uwe 'msafiri kafiri with nothing to lose' then unajilipua mbele kwa mbele.

-Kaveli-
Zama zimebadilika kaveli, enzi hizo unazamia kwa meli tena meli yenyewe ya wagreec au waitaly wakikunyaka pona yako upige mbizi
 
karibuni Basel (uswizi)...ila huku ukitaka kula nchi uwe umepiga shule...niko swiss tropical inst....

....ulaya imekua chungu sana kwa waosha vyombo na wazamiaji....maana sharia za nchi za ulaya zimekua tight sana ...maana wana monitor terrorism....maana kumejaa waarabu ulaya....

.....sasa hivi ukitaka kuula....nenda shule tu....ili ukubalike kokote....

....Btw.....home is always better.....singewashauri watu wawe na mtizamo wa kukimbilia ng'ambo....kwani bado kuna ubaguzi mkubwa wa kimfumo(institutional racism).....kwa hiyo ni bora nyumbani TZ....ni bora kubanana nyumbani kuliko ng'ambo....

..madada zetu wengi wanaishia kupiga umalaya ng'ambo...na wanapigwa hadi nyuma...kisa eti maisha bora!!kuuza utu sababu ya maisha bora!!....ama kuoshea wazungu vyoo!!...no please....
Mkuu wewe ulisomea mambo gani mpaka ukaula uswis?
 
Madagascar vipi wakuu

Na yenyewe ni visa free country kwa mbongo au?
Yaa..pale ni viza free mkuu kwa tanzanian passport holder..

mkuu hapafai..pana njaa hatari..
.halafu cha ajabu ukifika wanakuita muafrica...
wao wanajiona sio waafrica..

Nimekaa Antananarivo pale...kwnz hawajuwi English wanaongea kimashangaa...au French kwa mbali...

Ukifika pale ndy utajuwa Tanzania tumepiga hatua kiasi gani ktk Africa yetu hii...
kuanzia chakula chao ni kibovu..
hata chumvi hawaweki kwny chakula,
...hata ugali hawaujuwi..
Wao ni wali tu..

kuna siku tulihangaika kusaka unga wa ugali shoprite zote hawajuwi...

ila papuchi inje nje mkuu,
kule ukiwa disco...ukiona mwanamke kavaa viatu virefu means anauza..

wewe uliza bei tu..hiyo .ndy style yao..

kile kisiwa wafaransa kibao wanakuja kula raha tu na kuondoka..

Ila cha kushangaza pale mtu akifa...anawekwa kwenye shelfu ndani ya nyumba ila inajengwa makaburini....

kwa hyo wakimuweka maiti kwenye shelfu....then baada ya mwaka wanakuja kufunguwa ile nyumba wanachukuwa maiti wanacheza nayo mziki..
tena mziki mkubwa unafunguliwa makaburini.
watu wanajaa kushuhudia maiti wanavyocheza nayo mziki.na ndugu wanakuwa na bajeti hiyo ya sherehe hiyo kila ikifika mwaka maiti itatolewa wanacheza nayo ngoma na kuibadilisha nguo.

Then inarudishwa kwenye shelf wanafunga wanaondoka....

wanaamini wasipofanya hivyo maiti itawaletea mikosi....

rais wao fulani alifukuzwa na wanainchi kwa mawe kama mwizi...akakimbilia mafichoni south..
rais alikuwa na uwanja wake wa ndege mwenyewe na pesa inaingia mfukoni kwake..
Kapiga sn pesa huyo jamaa.

mkuu hapafai pale...Tanzania yetu ni marekani...nyumba zao zipo milimani na mabondeni tu...

Mafuriko daily.
Madagascar vipi wakuu

Na yenyewe ni visa free entry kwa mbongo au?
 
Mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu ikiwamo ya ndoa za usanii siku hz wanafatilia sana na njia hii siku hz ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni
Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)
So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)
Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya
So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini
Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja
Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian
Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji
So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo
Kuna website ambazo watu kutoka sehemu zote za dunia wanatafuta watu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea ambapo yeye atakupa chakula na sehemu ya kukaa bure kipindi chote utakachokuwa pale kwake mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi
Lakini leo kunambia sijui mnapanga kuondoka kwenda nchi ambayo huna mwenyeji naona mnacheza nyinyi na mnadanganyana Ulaya na US ya sasa si kama ya zamani utaishia jela au kufa tena na balozi zenu zilivyo ngumu kwa raia wake utakoma na kujuta kuja tena mkuu wenu amesema muachwe njia nyepesi kabsa ndani ya miaka 6 tu umefanikisha mwaka mmoja Malta miaka 5 jeshini mwaka wa sita unapassport ya mzungu
Na hii ni kwa wanawake na wanaume sehemu pekee ni kufika Malta tu mwaka mmoja tatizo nililogundua Waafrica wengi akili yetu tunawaza ulaya tena zile nchi tajiri tu lakini mmeshindwa kujua dunia nzima wanawaza hvyo hvyo njia hii ya malta bado wengi awajaijua then tafuta mtu wa malta kafanye kazi ya kujitolea kwa mwaka mmoja kwanza unapata pa kukaa kula na mwenyeji lakini kwenda sehemu kwa mipango mipango mtakuwa mnadanganyana tu wanawake hasa wa Tanganyika wamekuwa wanaogapa sana kuchukua maamuzi ya kuondoka lakini nataka kuwambia tena wanawake ndio njia nyepesi sana kwani wazungu wanawaheshimu sana wanawake cha kwanza kwa heshima kwa wazungu
1 Wanawake
2 Mbwa au wanyama
3 Mwanaume
So kwa dada zangu kwa njia hii ya Jeshi ni bora sana kwao tena sana naongea hv kwa kujua ninachosem

Ningependa kuwambia ndugu zangu Watanganyika kwamba dunia ya sasa maendeleo yamehama kutoka kwenye nchi zinazoongea kingereza na kuhamia kwenye nchi ambazo haziongei kingereza kwani dunia nzima robo tatu wanajifunza au wanajua kingereza na target yao ni kwenda kukaa nchi zinazoogea kingereza sasa utakuta nchi zinazoongea kingereza zimeshajaa wahamiaji kibao lakini niwape siri kubwa kuwa nchi zisizo ongea kingereza zinaitaji sana watu kwani watu wamekuwa wakienda kwenye nchi zinazoongea kingereza

MALCOM LUMUMBA


This's an eye opener. Ubarikiwe mkuu.
Nikiongeza hapo kwenye jeshi. It’s one of the best ways kupata uraia kwenye nchi za mbele. Hakuna figisu wala mahangaiko yasiyo na msingi.
And the best part iko kwenye shule, mtu ni akili yake tu, serikali inalipa gharama.
 
izzo. Mkuu hao wa kujitolea Malta wanapatikana kwa njia gani?
Kama kuna website tuwekee
 
This's eye opener. Ubarikiwe mkuu.
Nikiongeza hapo kwenye jeshi. It’s one of the best ways kupata uraia kwenye nchi za mbele. Hakuna figisu wala mahangaiko yasiyo na msingi.
And the best part iko kwenye shule, mtu ni akili yake tu, serikali inalipa gharama.
Ina maana blacks wanaweza aminika jeshini huko mbele mkuu? Mfano Norway wanaweza kukuchukua black?
 
Back
Top Bottom