Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu ni Watanganyika tu ndio wazito kupeana Blue print ya mafanikio lakini wenzetu wa Kenya au West Africa wanapeana sana maujanja mm nina uzoefu mkubwa sana wa nchi nying na hii ni kutokana na majukumu yangu nilishawai kuongea na wajerumani waliniambia kuwa kama Tanganyika wangekuja kuongea na CC juu ya mali tulizoziacha kuja kuzichukua kwa exchange ya kuwajengea miundombinu yote unayoijua wako tayali lakini sijui kama serikali ya Tanganyika walishawai kuwaza juu ya hili jambo
 
Ivi kutuma hela Tanzania naweza tumia njia gani zaidi ya money gram na western union?
 
No hapa hapa baba
 
uko sahihi mkuu. wabongo wengi hawatoi taarifa za mafanikio kwa wenzao na hata akitoa atakutisha tu ili usijaribu...(nafikiri hiyo ni hulka ya ubinafsi na siyo wote wanataka mtu afanikiwe kupitia njia hiyo hiyo...)! kitu kingine ni serikali iliyopo madarakani kutojitambua...wakati nchi nyingine wana facilitate vijana wao wakasome ng'ambo lakini kwa tz ni kinyume chake...hawajui kwamba vijana wanapotoka kwenda kutafuta, ni tija kwa nchi yenyewe kwani itapata wataalam Plus remittance (fedha inayotumwa nyumbani kwa ndugu na jamaa)...Licha ya kuwa Mjerumani alikuwa mkoloni katili, lakini nafikiri ndo true friend wa Tanzania. Hata linapokuja suala la misaada, hana masharti magumu kama nchi nyingine...Lakini bahati mbaya viongozi hawana upeo wa kuliona hilo! Nasikia nyumbani wanajenga standard gauge Railway (SGR)...sijui kwa nini hawajawa-consult wajerumani wasaidie...
 
Denmark ni nchi ya scandinavia... Ni nchi yenye maisha ya raha na amani sana japo ni nchi ndogo... Njia rahisi kwenda huko unaweza kwenda as tourist then ukifika huko unapambana upate wa kumwoa hata kwa makaratasi tu ili upate kibali cha ukaazi.
Wanatumia lugha gani?
 
Ila Madagascar ni mchanganyiko wa wahindi,Wachina ,wazungu,

yaani hata wao hawajuwi asili yao..

maana watu weusi ni wachache sana...

wengi wahindi...kama China China..

kuna siku niliwauliza asili yao...

Wengi wanasema ni wale wafanya biashara wa mwanzo wahindi na wachina walikuwa wakipita kuja east Africa waliviona visiwa wakawa wanapumzika...

mwishowe wakaanzisha maisha hapo...
hawa jamaa na seashells wanafanana...
hawa jamaa wanatabia zote za Kihindi... Uchafu na hata maumbo yao...
kula pariki..
kutema mate hovyo...

nikaamini kweli unaweza ikawa story ya kweli...
 
Mchina hajawai kuwa rafiki wa kweli kwa Africa mzungu akisema promise basi ni promise kweli lakini Mchina anakwambia promise huku nyuma amekunja vidole

Nataka kukwambia mm nawajua wajerumani vizuri na marafiki zangu ni wajerumani wengi tu na nataka kukwambia Wajerumani wana akili sana kuliko hata wazungu wengine we jiulize mjerumani alichukuliwa makoloni yote vita ya kwanza vita vya pili akapigana na dunia nchi zote kubwa zilikuwa zinapigana na Mjerumani pamoja na Mjapani lakini pamoja na kupigwa lakini leo Ujerumani ndio baba wa EU Mwingereza kamkimbia EU lakini yeye anawambia yeye ataibeba EU bila ya wasiwasi bila ya msaada wa UK au US na kuonyesha hvyo tayali jamaa kupitia bunge la ulaya wamefuta Free visa kwa raia wote wa US kuingia Ulaya

Mkoloni wetu wa ukweli ni Mjerumani na hilo hata wajerumani wanalijua ila sisi ndio tumewatenga tu na kumwoma Mwingereza ndio mkoloni wetu wakati Mwingereza alipewa tu kutusimamia na kama leo Tanganyika ingekuwa chini ya Wajerumani trust me tungekuwa mbali sana kimaendeleo na tungekuwa tunafanya kazi kweli kweli Mjerumani si mvivu kama Mwingereza sheria nying lakini hakuna kitu

Mjerumani yeye ndio anabeba mzigo wote wa EU kwa sasa baada ya Ufaransa kuyumba na kukimbia kwa Mwingereza
 
Ivi kutuma hela Tanzania naweza tumia njia gani zaidi ya money gram na western union?
MoneyGram na western Union ndo zipo common sana. Ila Dunia imekuwa rahisi in term of technology. unaweza fanya bank transfer kwa kuhamisha fedha kutoka A/C moja let say A kwenda B in foreign country..
 
Mkuu kama una swali uliza tutakujibu husiwe na shaka JF ndio sehemu pekee ambapo Elimu inapatikana bure huku hakuna kukatwa 15% wala hakuna Bodi ya mikopo huku
 
mbona Bashite kaiweza bongo!
angejilipua kama Le Mutuz!?

nafoji cheti na jina..nakuwa na urafiki na watoto wote wa viongozi,najipendekeza kwa sanaa,nakuwa kimbelembele...then nitapewa wadhifa/cheo

USA,France...huko Dubai, Denmark nakuja kwa matembezi na LIKIZO
 
Mkuu hii tumemaanisha kwa wote tuuu hata walohamia kihalali.
 
Hasa ma HR ndo kabisaaaa, shida ya wabongo tunapenda kuangushana kuliko kuinuana.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…