Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Na wao wanataka fee ya shingapi? Mtego huo.Wadau kuna hawa jamaa wako kariakoo wanasema ukifika jengo la infinix uwapigie wanakupa mchongo wa majuu wako facebook ,visa yako ,passport yako nauli yako je ni wakweli?
Nimehisi. Mtego kozi kila ukiuliza maswali wanasema njoo ofisin na shart lao eti lazima statement ya bank iwe equit mnaweza nisadia kupretend kusikia maelezo yao 0773682098Na wao wanataka fee ya shingapi? Mtego huo.
Usipoteze muda wako achana nao hao.Nimehisi. Mtego kozi kila ukiuliza maswali wanasema njoo ofisin na shart lao eti lazima statement ya bank iwe equit mnaweza nisadia kupretend kusikia maelezo yao 0773682098
Nataka kwenda Canada kaka nipe michongo paspoti ni nayo!Mkuu inategemea unataka kwenda nchi gani kujilipua. Zipo inchi zipo Ulaya lakini utatamani ubaki Afrika. Sasa wewe nidokeze unataka uende nchi gani?
Shukran sana kaka nakuunga mkono ikiwezekana naomba tuongee inbox 📞Binafsi uzi huu nauunga mkono 100% Lakin pamoja na hayo bado kuna changamoto nyingi kufikia hatua ya kuondoka nchini, kuna mambo mengi ambayo niya msingi hasa upande wa Serikali yetu tukufu hasa upande wa Idara ya uhamiaji.
Tz yetu mtu kupata the tu cheti cha kuzaliwa ambacho ni haki ya Mzawa mpaka jasho likutoke, na ikiwezekana na rushwa juu utoe. Ukienda Migiration ili kuanza mchakato wa passport utahenya vibaya.
Kupata card ya chanjo ya homa ya manjano mpaka utahenya.
Lakini pia changamoto nyingine ni mtu kupata Nauli kamili ya kukufikisha mahari unako taka kwenda. Binafsi ninacho elewa wakirahisisha hayo mambo ya juu, naona Tanzania inaweza kubaki na wazee tu.
Sasa nchi gani hii isiyo toa ajira, Mali asili ni nyingi lakini hatujui wala hatuoni uthamani wake, Vyeo vya juu wanapeana wao kwa wao
HAKI YA MUNGU MIMI SIKU NIKIONDOKA NDO BASI TENA. BORA NIKAFIE KWA FARAO KULIKO KANANI AMBAKO SIJAWAHI FIKA.
🤝🤜🤛Mimi nataka kwenda Denmark. Naomba jinsi ya kuingia na fursa zilizopo huko zisizohitaji elimu.yaani nguvu kazi.
Canada pako.powwa sna kwa kutafuta maishaMimi
Nataka kwenda Canada kaka nipe michongo paspoti ni nayo!
Habari mkuu!...ulifanikiwa?Asante sawa mkuu Izzo Mungu akubalic ngoja nipitie hzo scholarship za masters Malta. Swali la nyongeza ukienda kimasomo si unaweza pata part time job kwa malta??
Ingia deep kidogo .. toa sababau za kwanini tusio wazungu?All the best, ukifanikiwa usioe mzungu, iko hivi ndoa ya mzungu mwanamke na mwafrika (mwanaume) hazidumu ni mateso lakin ndoa ya mwafrica mwanamke na mzungu (mwanamke) ni raha mseleleko.
Kaka zetu walio oa wazungu ndo wana majibu hiki nilichokwambia.wachache sana wana furaha.
Rafiki yangu yupo US katoka kunipigia muda sio mrefu anajuta kuoa mzungu pamoja na pesa alizo nazo bado hana furaha. Anakuja tz kutafuta mwanamke hata kama hajasoma.
N.b wadada walioshindwana na kaka zetu bongo tafuta mzungu hutojuta.
mkuu salaam.karibuni Basel (uswizi)...ila huku ukitaka kula nchi uwe umepiga shule...niko swiss tropical inst....
....ulaya imekua chungu sana kwa waosha vyombo na wazamiaji....maana sharia za nchi za ulaya zimekua tight sana ...maana wana monitor terrorism....maana kumejaa waarabu ulaya....
.....sasa hivi ukitaka kuula....nenda shule tu....ili ukubalike kokote....
....Btw.....home is always better.....singewashauri watu wawe na mtizamo wa kukimbilia ng'ambo....kwani bado kuna ubaguzi mkubwa wa kimfumo(institutional racism).....kwa hiyo ni bora nyumbani TZ....ni bora kubanana nyumbani kuliko ng'ambo....
..madada zetu wengi wanaishia kupiga umalaya ng'ambo...na wanapigwa hadi nyuma...kisa eti maisha bora!!kuuza utu sababu ya maisha bora!!....ama kuoshea wazungu vyoo!!...no please....
UZI TAYARI....👍Kitu cha kwanza kama una jamaa au rafiki asiye mchoyo ni rahisi kukupa michongo na maisha jinsi yalivyo huko majuu bila janjajanja ila kitu cha muhimu doc zote ziwe sawa zisipishane, mpunga ni jambo muhimu sana aisee katika mambo ya kwenda mbele
Naona hakuna labda uwe wewe wa kwanzaWaliofanikiwa kusafiri kupitia uzi huu wako wapi?
Website zipo nyingi ila Cha kwanza kufika hukoMimi nataka niende Scandinavian Countries au Canada. Kama kuna mtu ana connection anijuze.
Connection ya Ajira Nchini Canada, Dubai, Qatar & Scandinavian Countries
Habarini Wakuu!!!! Nahitaji mwenye Connection ya Ajira kwa nchi hizi (Canada, Dubai, Qatar, Denmark, Finland, Iceland, Norway,Sweden). Kama mnavyojua Bongo ajira ni kipengele kidogo, Sasa katika kuangalia mtandaoni naona wenzetu Wakenya wanasafiri sana nchi hizo kwenda kufanya kazi, na siku...www.jamiiforums.com