Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu, mwaka huu nimeomba scholarship kwenda kusoma Australia, China na UK
Niombeeni nifanikiwe ,nijilipue huko, nafanya kaxi ila haina maslahi na wategemezi lukuki, bora nitokomee huko kwanza
Kati ya hizo sehemu tatu ulizotaja, ikitokea kuchagua; Australia is the best! Wishing you all the best.
 
Hii ndio shida yetu wabongo!
 
Nilishajitambulisha sana binamu ila wengi wakawa hawaelewi kabisa kuhusu Tz wanajua wakenya,wasouth na wanaigeria ,so nikaona sio issue ,maaana wengi walikua wananiuliza are you from kenya,najibu yes,lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka nikawa naji feel inferior sometimes but ilinibid niikane nchi yangu tu kwa kweli
 
MoneyGram na western Union ndo zipo common sana. Ila Dunia imekuwa rahisi in term of technology. unaweza fanya bank transfer kwa kuhamisha fedha kutoka A/C moja let say A kwenda B in foreign country..
Kwahyo mkuu nikifika majuu naweza kuhamisha mkwanja kutoka akaunti yangu ya NMB kwenda akaunti ya nchi niliyoenda?
Je utaratibu ukoje?
Je nikiwa na mastercard si natoa pesa benki yoyote dunia nzima?
 
Duh nimekupenda bure aisee,,,ukitaka kwenda niambie twende wote tukafie huko
 
huu uzi ni mzuri sana...shida kubwa ya wa tz ni ubinafsi.....yes tumeumbwa hivyo wanadamu ila utaifa wetu hua hatuuweki mbele...mimi nimetembelea baadhi ya nchi ukikuta wenzetu wa nchi zingine wanaishi kindugu ila sisi mkiisha salamiana basi kila mtu kivyake.. niliokua nao karibu walikua wakenya, Ghana, pili ukienda kwenye hizo nchi unatakiwa uwe na malengo kabisa kabla hata ya kuondoka hio itakusaidia kwakua unakua unajua unatafuta nini.
 
Nikipata sehemu pa kujilipua, najilipua mpaka akili.. Tanzania maisha yanakua magumu kila siku, mwenye namna ya kupata scholarship aweke hapa nijaribu hizo bahati..
 
Nikipata UK nataenda ila kwa sasa ama aiming for Australia. Napapenda tu
UK utalala kwenye nje kwenye mabox wewe kule maisha magumu sana pesa hakuna,vibarua hakuna kazi za box mpaka upitie kwa dalali hata kama unaenda kusoma inabidi uwe upo fresh sana kwenye swala la pesa.
Vinginevyo nenda Australia kule hata kupata PR nirahisi compare na UK ukimaliza masomo wanakuswaga unarudi tena mavumbini {tz}.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…