Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Hivo vikundi wanazichangamkia wanaijeria Na wakenya mfano kupitia ubalozini mfano via Belgium embassy Dar Kuna BTC uwa wanatoa scholarship though Kuna ukiritimba adui wa mbongo ni mbongo mwenzake so ukitegemea ubalozini Kuna urasimu kibao .
Kweli mkuu... Uliahidi kurudi kutoa nondo... Karibu....
 
Then si wote wapendao kuukana uraia wao... Watu wanaenda saka fursa tu.... Leo sweden au DK ukipata long stay visa unakula mema ya nchi alimradi ujue lugha tu
Lugha imekuwa ni tatizo sana kwa nchi hizo
 
Kweli mkuu... Uliahidi kurudi kutoa nondo... Karibu....
Ni kweli mkuu wakati naingia Sweden niliingia kwa lengo la kusoma via scholarship ya shirika fulani lengo lilikuwa Ni after three years nitarudi Bongo kuendelea na mambo mengine according to their principles kumbuka by then nilikuwa nimefukuzwa Chuo na sikuwa na hili wala lile but uncle wangu alinichomeka katika hiyo chance wakati naendelea na masomo nilimpata rafiki wa kike Swedish ambaye tulijaliwa kupata mtoto then ikawa nimepewa uraia wa Sweden ila uraia wa Bongo sijaukana bado but nilichofurahi Ni kwamba Sweden Kuna watanzania wengi Sana I'm feeling like I am in Tabata.
 
Ni kweli mkuu wakati naingia Sweden niliingia kwa lengo la kusoma via scholarship ya shirika fulani lengo lilikuwa Ni after three years nitarudi Bongo kuendelea na mambo mengine according to their principles kumbuka by then nilikuwa nimefukuzwa Chuo na sikuwa na hili wala lile but uncle wangu alinichomeka katika hiyo chance wakati naendelea na masomo nilimpata rafiki wa kike Swedish ambaye tulijaliwa kupata mtoto then ikawa nimepewa uraia wa Sweden ila uraia wa Bongo sijaukana bado but nilichofurahi Ni kwamba Sweden Kuna watanzania wengi Sana I'm feeling like I am in Tabata.

Una dual citizenship yaTanzania na Sweden?
 
Ninawajua wemgi tu waloanzia Sweden baada ya kupata kibali wakahamia DK....

Ok maisha ya hapa ulaya yaani siri kubwa saana wengi hawasemi ukweli,na kupata karatasi sio Kwamba ndio ticket ya kwenda Europe union countries na kufanya kazi kuna kitu inaitwa personal number kila nchi ina yake,pia watu kibao wa karatasi za Italy lkn hawapewi kazi Scandinavia,mpk uwe na contract ya kazi,nani sasa anakupa hiyo contract ya kazi?kuna kampuni moja tu inatoa contact nayo ni kusambaza mataganzo hapa wanaita REKLAM.hiyo kazi hailipi hata kidogo ni bora ubaki bongo uuze nyanya.
 
Sasa watu wanakwenda ULAYA au America kujilipua...ushasikia MTU amejilipua China?au Vietnam?

Mkuu Mwandende
kama baharia wa miaka hiyo unaonekana umefika karibu continents zote na nchi karibu zote.
Hebu tufahamishe maisha in general kule Italy na Greece. Kuna fursa gani?
Maana kuna jamaa zangu wengi wamekaa huko since 1980s wamepewa permits lakini mzungu kagoma kuwapa passports
 
Kwahyo mkuu nikifika majuu naweza kuhamisha mkwanja kutoka akaunti yangu ya NMB kwenda akaunti ya nchi niliyoenda?
Je utaratibu ukoje?
Je nikiwa na mastercard si natoa pesa benki yoyote dunia nzima?
Inawezekana kabisa. Ilimradi kadi yako ni mastercard, unaweza kutoa hela popote duniani. unazama kwenye ATM na kutoa hela kama kawaida. Ila kama una foreign account, unaweza instruct bank itume kiasi kadhaa kutoka kwenye account yako na kwenda kwenye account ya Ndugu uliowaacha home. kwa technlogy ya leo, hata wewe unaweza fanya hivo kwa sekunde chache tu...
 
Alaf passport. Nilipoona masuala ya cheti cha kuzaliwa cha mzazi.hapo ndo nilichoka.sasa tunafanyaje kuipata.ya 50,000.ila naomba usiwe kama britanicca tu. 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Mkuu hapo unatengeneza hata ya kiapo inaitwa affidavit... Unapiga muhuri wa mahakama kwisha habari... Hii hati ni ipo form of paper yaan una type like Bibi yko au babu yako ana thibitisha Kuwa alimzaa mama ako au baba ako tarh flan na Mwaka flan...then Jina lake chini na sahihi then una gonga muhuri wa mahakama basi umemaliza.
 
Mkuu hapo unatengeneza hata ya kiapo inaitwa avidavit... Unapiga muhuri wa mahakama kwisha habari... Hii hati ni ipo form of paper yaan una type like Bibi yko au babu yako ana thibitisha Kuwa alimzaa mama ako au baba ako tarh flan na Mwaka flan...then Jina lake chini na sahihi then una gonna muhuri wa mahakama basi umemaliza.
Affidavit
 
Mbinu nyepesi sana ya kufanikisha ndoto zenu coz naona wengi mnatamani kuja au kwenda Ulaya na US lakini njia mnayotumia ni ndefu ikiwamo ya ndoa za usanii siku hz wanafatilia sana na njia hii siku hz ni ngumu kwa sasa hv kwani siasa za sasa ni siasa za utengano na kufunga mipaka dhidi ya wageni
Ok njia ya kwanza ni kuingia nchi ya Malta ,Malta ndio nchi inayomkaribisha mgeni yeyote na yenye sheria nyepesi sana za uhamiaji kwa wananchi wanaotoka nchi za Commonwealth ( British colonisation)
So ukishafika Malta ukiweza kukaa ndani ya Malta ndani ya mwaka mmoja bila ya kufanya jinai huna haki ya kuomba uraia so kama utakuwa umekwenda kusoma , kufanya kazi, kutembea au kwenda kufanya kazi ya kujitolea (kazi za bila ya malipo)
Ukishapata uraia wa Malta unakuwa na uwezo wa kwenda kufanya kazi nchi yeyote ya Ulaya kwani Malta ni nchi iliyo kwenye jumuhiya ya Ulaya
So kama unabahati unaweza kupata lakini nchi nying za ulaya au nchi za dunia ya kwanza kupata kazi kwa elimu uliyosomea Africa ni ngumu sana mpaka usome kwao ndio wanakuamini
Owk kama utakuwa uko vizuri kiafya unaweza kwenda Jeshini ,nchi nyingi za ulaya zinachukua raia wa nchi za ulaya kama wanajeshi au kama umetoka nje ya jumuhiya ya ulaya ni lazima upate parmanent resident kitu ambacho ni kigumu sana kukipata kwa nyinyi mnaokuja huku kiujanja janja
Nchi zinazochukua raia wa nchi nyingine kwenye majeshi yao nitakuja na list yao muda si mrefu
lakini ni nchi ambazo zipo kwenye kundi la A list duniani zikiwamo nchi zote za Scandinavian
Ushaingia jeshini ,majeshi mengi ya Ulaya wanapaga watu ambao si raia wa nchi hyo mkataba miaka mitano mitano ndani ya hyo miaka mitano unaruhusiwa kusoma chochote utakachopenda gharama ni za jeshi so utachagua cha kusoma kama umetoka bongo na ka degree chako utasoma masters kama umetoka manyoya utatafuta cha kusoma ndani ya miaka mitano ni mingi sana na unapata faida mbili moja kulipwa mshahara ,huduma za Afya na uhakika wa kupata uraia kama utaitaji
So ukimaliza miaka mitano tu usiongeze tena mkataba ongeza tena kama umeipenda kazi ya jeshi so kama umeona ni manyoya unaiacha so unalipwa mafao yako na unakwenda kuomba uraia na unapata hata bila ya kufanya mtihani wa kuomba uraia na hii kuna nchi hawataki uraia pacha kama Germany au Norway so kama nchi hawataki uraia pacha basi unachagua mmoja ukishamaliza kupata uraia wa nchi hyo uliyoichagua ww from there unatafuta kazi kwa vyeti ulivyosomea jeshini na tena wakijua ulikuwa mwanajeshi wanakuheshimu sana kwani unaonekana umejitoa kwa nchi so unapata kazi na maisha yanaendelea ndani ya miaka 6 tu mission inakuwa imekwisha ukipita Airport ukionyesha gamba la mzungu unapita tu hupekuliwi pekuliwi kama mwenye passport ya Bongo
Kuna website ambazo watu kutoka sehemu zote za dunia wanatafuta watu wa kuja kumfanyia kazi ya kujitolea ambapo yeye atakupa chakula na sehemu ya kukaa bure kipindi chote utakachokuwa pale kwake mwaka mmoja tu ndani ya Malta bhasi
Lakini leo kunambia sijui mnapanga kuondoka kwenda nchi ambayo huna mwenyeji naona mnacheza nyinyi na mnadanganyana Ulaya na US ya sasa si kama ya zamani utaishia jela au kufa tena na balozi zenu zilivyo ngumu kwa raia wake utakoma na kujuta kuja tena mkuu wenu amesema muachwe njia nyepesi kabsa ndani ya miaka 6 tu umefanikisha mwaka mmoja Malta miaka 5 jeshini mwaka wa sita unapassport ya mzungu
Na hii ni kwa wanawake na wanaume sehemu pekee ni kufika Malta tu mwaka mmoja tatizo nililogundua Waafrica wengi akili yetu tunawaza ulaya tena zile nchi tajiri tu lakini mmeshindwa kujua dunia nzima wanawaza hvyo hvyo njia hii ya malta bado wengi awajaijua then tafuta mtu wa malta kafanye kazi ya kujitolea kwa mwaka mmoja kwanza unapata pa kukaa kula na mwenyeji lakini kwenda sehemu kwa mipango mipango mtakuwa mnadanganyana tu wanawake hasa wa Tanganyika wamekuwa wanaogapa sana kuchukua maamuzi ya kuondoka lakini nataka kuwambia tena wanawake ndio njia nyepesi sana kwani wazungu wanawaheshimu sana wanawake cha kwanza kwa heshima kwa wazungu
1 Wanawake
2 Mbwa au wanyama
3 Mwanaume
So kwa dada zangu kwa njia hii ya Jeshi ni bora sana kwao tena sana naongea hv kwa kujua ninachosem

Ningependa kuwambia ndugu zangu Watanganyika kwamba dunia ya sasa maendeleo yamehama kutoka kwenye nchi zinazoongea kingereza na kuhamia kwenye nchi ambazo haziongei kingereza kwani dunia nzima robo tatu wanajifunza au wanajua kingereza na target yao ni kwenda kukaa nchi zinazoogea kingereza sasa utakuta nchi zinazoongea kingereza zimeshajaa wahamiaji kibao lakini niwape siri kubwa kuwa nchi zisizo ongea kingereza zinaitaji sana watu kwani watu wamekuwa wakienda kwenye nchi zinazoongea kingereza

MALCOM LUMUMBA
Hizo website ni zipi tutajiee
 
Inawezekana kabisa. Ilimradi kadi yako ni mastercard, unaweza kutoa hela popote duniani. unazama kwenye ATM na kutoa hela kama kawaida. Ila kama una foreign account, unaweza instruct bank itume kiasi kadhaa kutoka kwenye account yako na kwenda kwenye account ya Ndugu uliowaacha home. kwa technlogy ya leo, hata wewe unaweza fanya hivo kwa sekunde chache tu...
Na jina la bwana lihimidiwe....sema amen Prof
 
Karibu kwa michango, mawazo na ushauri mkuu.

Miaka hiyo ya zamani jirani yetu mmoja alifanya hii daring and most adventurous journey to Denmark kama ifuatavyo:
Jamaa alipanda basi from Dar to Nairobi miaka hiyo stendi ya mabasi ya Arusha ilikuwa Kisutu. Alibeba mfuko wa rambo akiwa na nguo chache na mswaki.
Alipofika Nairobi akachukua basi hadi Uganda. From Uganda akapata lifti ya lori la mizigo hadi Juba.
Kutoka Juba akaungaunga Safari hadi Khartoum na hatimae akaingia Cairo, Egypt. After a few days akaenda Port Said. Baada ya wiki kadhaa akapata jahazi from Port Said hadi Syria.
Akaishi Syria for several months akipiga dei waka na finally akapata mchongo wa kuingia Turkey.
Alikaa Turkey for 3 years akapata mchongo wa kuingia Denmark ambako alioa huko na ana Danish wife na familia ya watoto 3. Alijiendeleza kielimu na ana kazi nzuri tu na maisha mazuri
Hutembelea bongo once in 2 years na alisema atafia huko

Pengine kwa wale wapiganaji mnaweza kujifunza kitu hapa
Asanteni
 
Back
Top Bottom