Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ni kweli mkuu wakati naingia Sweden niliingia kwa lengo la kusoma via scholarship ya shirika fulani lengo lilikuwa Ni after three years nitarudi Bongo kuendelea na mambo mengine according to their principles kumbuka by then nilikuwa nimefukuzwa Chuo na sikuwa na hili wala lile but uncle wangu alinichomeka katika hiyo chance wakati naendelea na masomo nilimpata rafiki wa kike Swedish ambaye tulijaliwa kupata mtoto then ikawa nimepewa uraia wa Sweden ila uraia wa Bongo sijaukana bado but nilichofurahi Ni kwamba Sweden Kuna watanzania wengi Sana I'm feeling like I am in Tabata.
Mkuu kama nakuona vile unavyopakata kiuno cha mswedish 😛😛😛😛
 
Mshkaji mwingine hadi naandika haya yupo Nogales, Mexico akisubiri mvushaji ama maarufu kwa jina la COYOTE amvushe boda kumwingiza USA
Kwa kifupi alipanda ndege from Dar to Adis then from Adis to Rio de Janeiro. From Rio alienda Mexico City na sasa yupo Nogales mji ambao upo kwenye border ya Mexico na US akisubiri kuwa-smuggled into US
Anasema hapo transit Nogales kuna mafuriko ya watu toka Latin America, west Africans na Asians wakisubiri kuvuka boda kuingia US
Mungu ambariki atimize ndoto yake
 
Mshkaji mwingine hadi naandika haya yupo Nogales, Mexico akisubiri mvushaji ama maarufu kwa jina la COYOTE amvushe boda kumwingiza USA
Kwa kifupi alipanda ndege from Dar to Adis then from Adis to Rio de Janeiro. From Rio alienda Mexico City na sasa yupo Nogales mji ambao upo kwenye border ya Mexico na US
Duuh..niliona juzi wamexico wanarudishwa..asije akakutwa na huo mkumbo
 
Africa nipazuri mimi nimeoa sweden sina ata mwaka ila napenda kuishi tz natuinue nchi yetu kule nikama utumwani mkuu
 
Mkuu kama nakuona vile unavyopakata kuona cha mswedish 😛😛😛😛
Mkuu acha tu mi siku system ikichange naweza Rudi uzuri huku kuna wabongo wengi mpaka wana timu ya mpira wa miguu akina Athuman Machupa na Shekhan Rashid na wenzao nadhani Kama Wangekuwa members humu wangeleta mautundu walivyofanya mpaka kufikia pale walipo . Sweden is the best place.
 
Na watanzania sasa mnatamani kwenda nje !chezea JPM,mlifikiri wanaija na wacongo wanathubutu kwenda ulaya na america wanapenda ?
 
Mkuu mbona hujaitumia mali hiyo.... Maana ukiwa na passport South Africa unakwenda kama tandika tuuu... Ni nauli yako

Mkuu, nipo na ndoto kede kede za ku-explore the world. Najipanga mudogo mudogo, hopefully mid next year nitanyanyua kuikacha bongo land... if God awards me a 'green light' in my endeavors & pre-arrangements.

Mtaji mkuu wa maskini ni Ujasiri, AFYA, na Nguvu.

-Kaveli-
 
Niwasiliane na ubalozi wakati naenda huko kama kariakoo? Ndugu ongea kwa experience usilete nadharia.... Hayo uloyasema hayapo.
Ok Mkuu mimi nimetoa angalizo kwa kile ninachokijua kwa hakika, kwa ajili ya wengine ambao wanapenda kwenda Ulaya kama mada uliyoiweka. Najua kuwa raia wa Denmark wanaijua hiyo sheria inayowataka wao wajihadhari na ndoa za kiujanja ujanja ambazo zinalenga kufanikisha zoezi la uhamaji usiofuata sheria nchini kwao. Sasa wewe kama hutaki na labda wewe unajua mengi zaidi basi hakuna ugomvi kati yetu,Maisha yaendelee tu bila kufanya suala dogo kama hili kuwa mashindano ya nani zaidi.
 
Mkuu acha tu mi siku system ikichange naweza Rudi uzuri huku kuna wabongo wengi mpaka wana timu ya mpira wa miguu akina Athuman Machupa na Shekhan Rashid na wenzao nadhani Kama Wangekuwa members humu wangeleta mautundu walivyofanya mpaka kufikia pale walipo . Sweden is the best place.

System gani ikichange mkuu?
 
Mkuu acha tu mi siku system ikichange naweza Rudi uzuri huku kuna wabongo wengi mpaka wana timu ya mpira wa miguu akina Athuman Machupa na Shekhan Rashid na wenzao nadhani Kama Wangekuwa members humu wangeleta mautundu walivyofanya mpaka kufikia pale walipo . Sweden is the best place.
Tena kina machupa wangeweza kutusaidia kupata barua nasi tuje tuweke nanga huko mkuu.
Mkuu fanya mambo unirushie ka barua ka kunialika tu jumuike wote sweden najua utakua umeokoa jahazi nikifika huko natafuta nami njia ya kutokea maana nipo kada ya afya wish nikisoma kidogo huko naweza kupata kibarua.
 
Niwasiliane na ubalozi wakati naenda huko kama kariakoo? Ndugu ongea kwa experience usilete nadharia.... Hayo uloyasema hayapo.
Ok Mkuu mimi nimetoa angalizo kwa kile ninachokijua kwa hakika, kwa ajili ya wengine ambao wanapenda kwenda Ulaya kama mada uliyoiweka. Najua kuwa raia wa Denmark wanaijua hiyo sheria inayowataka wao wajihadhari na ndoa za kiujanja ujanja ambazo zinalenga kufanikisha zoezi la uhamaji usiofuata sheria nchini kwao. Sasa wewe kama hutaki na labda wewe unajua mengi zaidi basi hakuna ugomvi kati yetu,Maisha yaendelee tu bila kufanya suala dogo kama hili kuwa mashindano ya nani zaidi.
 
Naomba kujuzwa , mfano ukiwa na tourist visa ya france inatakiwa ufanye booking hotel ya kufikia sasa hapo kwenye kufanya booking n lazma ubook cku zote utakazo kaa au?
 
Tanzania yetu ndio inakimbiwa hivyo! Kweli watu wamechoka

Ni vizuri kuwa na large number of Tanzanians in diaspora ingawa mchango wao hauthaminiwi
Imagine kuna watu wako nje ya bongo na wanatuma pesa wanasomesha ndugu zao bongo, wanajenga, wanaendesha biashara nk
Lakini hawathaminiwi kwao
Tena kuna beef kubwa ya walioko bongo kuwachukia waliopo diaspora
 
Back
Top Bottom