Vigezo vya kupata scholaship ni vip naomba msaada.je kwa ss form four tunaweza pata?Hii hapa, Ila hadi December ndo zinakuwa open Swedish Institute scholarships for 2017/2018 | Study in Sweden
Hii ni kwa ajili ya Masters peke yake na uwe umefanya kazi walau miaka 2. Maelezo mengine fungua hiyo link ujisomeeVigezo vya kupata scholaship ni vip naomba msaada.je kwa ss form four tunaweza pata?
[emoji106]Hii ni kwa ajili ya Masters peke yake na uwe umefanya kazi walau miaka 2. Maelezo mengine fungua hiyo link ujisomee
NimeelewaHii ni kwa ajili ya Masters peke yake na uwe umefanya kazi walau miaka 2. Maelezo mengine fungua hiyo link ujisomee
Nabii hatambulik kwaokaeni nyumbani muijenge nchi yenu. nyie mnaikimbia wakenya,wazimbabwe,wamalawi ,wazambia,wachina na mataifa kibao wanaingia.
Kwa kuanzia tu mi naona nataka nitoke na hii ya kupata Mwenza hebu funguka njia ya kuweza kupata weza pengine kama kuna sites online nijilipue kwa njia hioNinakumbuka pia kulikua na Commonwealth visa ambayo ilikua kwa vijana wote chini ya miaka 27 watembelee nchi mama ya Commonwealth kwa miaka miwili hii ilikuwa ni jitihada za kudumisha ushirikiano na kuwapa vijana exposure. Wakenya waliitumia sana hii, baada ya miaka miwili wadada wengi unakuta walishaolewa na wazungu.
Hawana.malta wana embassy bongo mkuu?
Ukipata hizo online sites mkuu, uni_tag..Kwa kuanzia tu mi naona nataka nitoke na hii ya kupata Mwenza hebu funguka njia ya kuweza kupata weza pengine kama kuna sites online nijilipue kwa njia hio
Njia rahisi ni kupitia Nairobi Kenya coz Dar hawana embacy Ila visa yao ni very easy kuipata.
tatizo mihuli ndio shida mkuu halafu kuna jamaa aliandikaga humu kwamba sasa hivi mipakani hawatoi zile temporary passport kama zamani.Kama ni kenya si wakupe ndogo ile karatasi na picha juu. Ila ndo hivyo kaka tafuta namna ujianfikie hiyo invitation letter mwenyewe, ingia net sample kibao,
Sio lzm kwenda nje, Tz kuna hela za kufa mtu we became millionaires by being here
Duu...yaani ndy kuwa VIZURI kule?hao ndugu zako wapo ofisini?au mitaani?hyo zamani mwaka gani?mm nimekaa 2013 ...2014....mdomo huo ufute....kwahyo wale wapo VIZURI kuliko bongo?au ndugu yako alikuletea kiatu na pesa basi unajuwa anafanya kazi ofisini? Au unajuwa alipo kuna maisha mazuri?MKUU pabaya pale.....nenda ukajionee...usione ndugu yako kanitumia pch ya sehemu Fulani Fulani.....Waliofika zamani huko wakt uchumi uko vizuri nao wako vizuri,ila kwa hii miaka 5 hali mbaya kaka
Moja ya Comment bora kabisaHahahaha, jiongeze kamanda hii bongo usipokuwa makini wafwaaaa.
Mm nilivyoona usumbufu umezidi nilipiga moyo konde nikaachini nikafanya kazi. Nilitengeneza offer letter ya ajira kutoka kampuni moja yakibumba ya nchini Marekani. Ile offer letter ilikuwa inatisha ukiiangakia lazima upagawe, mshahara na marupurupu ya maana sana. Nikatika zangu uhamiaji.
Nikajaza mafomu yao nikasogea dirishani, kuingalia tuu, wakashangaa, vipi, nikawaambia kuna anko yupo mbele ni baharia kanisukia dili, na nikamwambia kama una dogo wewe muandae tu mm namsaidia mbona.
Kwenye barua nimeonyesha zimebaki siku 5 kuondoka so pass inatakiwa ndani ya siku 3. Akaniambia haiwezekani. Nikamwambia nielekeze kwa bosi nimpe contacts za anko antwangie na ukumbuke anko hewa yuko USA. Haaa basi ntakusaidia. Mwanangu ndani ya siku 3 nikakamata pass.
Ilifikia mahali kutokana na usumbufu nikaamua kujichongea mihuri mwenyewe. Nikitakiwa barua ya serikali za mitaa, nazama kwa pc naprint, naigonga muhuri nakuletea. Bongo tunachoshana sana jamani.
ndoto zangu nikwenda US hata ushamba boy au kuzoa taka me ntaanza nao ntawezaje kufika huko mkuuNdugu wana JF
Kwa muda mrefu kumekuwa na masuala mbalimbali yahusuyo kujilipua (kwenda nje ya nchi) ambayo watu wanauliza mmoja mmoja kwa lemgo la kutaka msaada na ushauri namna ya kufika na jinsi ya kuanza maisha huko nje.
Kutokana na kutoa msaada kwa wengi (binafsi) kwa kutumia njia binafsi nimeona nifungue uzi huu ili kuweka mambo yote wazi kwa kadiri itakavyowezekana na kualika wengine pia waweze kutoka maoni yao.
Ndugu zangu nchi yetu ya Tanzania ki uwezo bado ni changa, fursa za kutoka ni chache na hata changamoto ni nyingi. Huko kwa wenzetu fursa ni nyingi ndio maana imekuwa chanzo cha kuvuta wahamiaji wengi sana toka mataifa masikini.
Nchi masikini wenzetu huko mbele raia wao wamejaa haswa kutokana na moyo wa kusaidiana na kuvutana.
Nimeamua nilete hoja hii kama ambavyo wenzetu hufanya huko Nairaland ya Nigeria ili kila mtu mwenye ujuzi au ufahamu juu ya namna ya kutoka (kujilipua) atoe msaada kwa wengine kwenda huko... si lazima wewe binafsi usaidie mtu binafsi NO, hata mbinu tu za jinsi ya kufika huko.
Kabla sijaingia kwenye kiini cha mada naomba nitoe faida na changamoto za kujilipua.
FAIDA
1. Fursa nzuri za kiuchumi na kujiinua hasa ukiwa na malengo.. Wakuu binafsi nimeishi Marekani kwa miaka nane. moja ya faida nilizopata huko ni kujiinua kiuchumi.... binafsi wakati naenda kusoma huko nilijiwekea malengo ya kujenga ghorofa nyumbani, kufungua mashine za kusaga na kukoboa nafaka pamoja na kumiliki fuso za mizigo...
kipato cha mfanyakazi wa kule ni kikubwa mno kushinda hata cha baadhi ya maboss wetu hapa... hivyo nilijitahidi nilipokuwa kule malengo yangu yaimie... ni kweli baada ya muda huo nilifanikiwa kutimiza yote.
2. Huduma nzuri za afya, Elimu, Sheria, miundombinu.
CHANGAMOTO
1. changamoto kubwa kwa kuwa kule ni upweke (ku feel home mara kwa mara japo wakati mwingine ukizoea hutoweka)
2. Xenophobia hii ni kwa baadhi ya nchi tu sio zote.
USHAURI WA WAPI UENDE NA NAMNA GANI UENDE
Kwa wale wahitaji wa masuala ya maisha kujijenga na kuchuma nashauri nchi hizi, USA, UK, NORDIC COUNTRIES, NA WESTERN EUROPE COUNTRIES. kwa Afrika nashauri SA.
Jinsi gani utaenda namna ni nyingi.... naorodhesha baadhi hapo chini...
1. kwenda kimasomo ambapo unaweza tafuta sponsors then ukapata scolarship itayokuwezesha kupata visa na kujilipua huko baada ya masomo...
2. Kutafuta mwenzi wa nje ambaye atakualika huko kisha mtaoana na kukuwezesha kupata resident permit na baadae uraia.
3. Kuhamisha mataji na biashara njia hii unakubaliwa popote alimradi uwe na biashara halali,
4. kwenda kwa shughuli za utamaduni
Wenzetu wakenya na wanigeria wameunda mfumo wa kualikana wao kwa wao, kwamba mtu anakutumia barua ya mwaliko, then unakwenda ukifika huko anakutafutia mtu mnaoana kisheria tu ili upate karatasi kisha kila mtu anasika hamsini zake....
Wapendwa mambo ni mengi siwezi andika yote ndio maana nimeanziasha uzi huu tutaendelea kujuzana kwa kairi michango ya watu itakavyokuwa na maswali yatayojitokeza.
Nawakaribisha wafuatao: BAK kui Isanga family Sky Eclat
Matola MziziMkavu Copenhagen DN Ng'wamapalala Pascal Mayalla Nyani Ngabu rev kishoka Bavaria FaizaFoxy farkhina MfalmewaKiha mwandende Slim5
Na wote wenye maujuazi au mauzoefu ya huko mbele... karibuni tusaidiane tujenge taifa letu... Tuwasaidie vijana wakasake fursa.
Mkuu, bongo mtu anakubania bila kisa bila sababu, yaani hapendi tu kuona unafanikiwa, si bora kungekuwa na jambo akikubania wewe anapata yeye, hamna, anakubania akijua hunufaiki chochote. Wapo vijana wengi sana wamekwama kwa kubaniwa kwa staili kama hiyo.Moja ya Comment bora kabisa
Mkuu we mbayaaaπππ.Mimi mwenyewe siku hizi naandaa kila kitu nikifika pale namsomesha HR anisainie tu, ukisubiri akuandikie barua utakesha.Mkuu, bongo mtu anakubania bila kisa bila sababu, yaani hapendi tu kuona unafanikiwa, si bora kungekuwa na jambo akikubania wewe anapata yeye, hamna, anakubania akijua hunufaiki chochote. Wapo vijana wengi sana wamekwama kwa kubaniwa kwa staili kama hiyo.
Unakuta mtu amepata admission, wakati wakuomba scholarship unatakiwa upate barua ya employer kuthibitisha amekubali uende ukalr nondo, hr gani kwa bongo atakuandikia hiyo barua? Huipati miaka 200.
Mm najiandikia mwenyewe employer statement, logo ya kampuni ninayo, contacts naweka zangu mwenyewe (nina namba kama nne hivi, huku nakuwekea voda hapa nakuwekea airtel). Michakato inaenda. Ukizubaa tu bongo umeliwa. Majitu yana roho mbaya kama kitugani sijui
Huyo wako ana nafuu, wengine wakijua unataka kusepa tena kwenda mbele kujiendeleza anapata uoga na kinyingo. Hatakiwi kujua akijua anakutengenezea zengwe manake anajua ukiwa nje ya system ngumu kutafuta ugali na kufight haya mamboMkuu we mbayaaaπππ.Mimi mwenyewe siku hizi naandaa kila kitu nikifika pale namsomesha HR anisainie tu, ukisubiri akuandikie barua utakesha.