Ndio maana wa naigeria wanasema hyo ndio simple way ya kuingia nchi zenye asali sema visa kwa Tanzania wanatolea Egypt, south Africa, India na turkey au uende sengen countries ndio uombe visa mm naona bora uende Egypt au Athens.Lithuania inapakana na Poland na poland inapakana na Ujerumani,Isitoshe Poland ipo Muungano wa Ulaya.
Toka hapo mbele kwambele .
Au pale Estonia anachukua ferry Tallin to Helsinki , ni kama dar to zenj.
We became millionaires by being here.lini mtatajirika?Sio lzm kwenda nje, Tz kuna hela za kufa mtu we became millionaires by being here
Kwahyo kwa sasa upo wapi?km ulifanikiwa kuondoka uliishi vipi wakati hukuwa na mtu unayemjua?Mkuu, bongo mtu anakubania bila kisa bila sababu, yaani hapendi tu kuona unafanikiwa, si bora kungekuwa na jambo akikubania wewe anapata yeye, hamna, anakubania akijua hunufaiki chochote. Wapo vijana wengi sana wamekwama kwa kubaniwa kwa staili kama hiyo.
Unakuta mtu amepata admission, wakati wakuomba scholarship unatakiwa upate barua ya employer kuthibitisha amekubali uende ukalr nondo, hr gani kwa bongo atakuandikia hiyo barua? Huipati miaka 200.
Mm najiandikia mwenyewe employer statement, logo ya kampuni ninayo, contacts naweka zangu mwenyewe (nina namba kama nne hivi, huku nakuwekea voda hapa nakuwekea airtel). Michakato inaenda. Ukizubaa tu bongo umeliwa. Majitu yana roho mbaya kama kitugani sijui
Mkuu nimekufuatilia una akili nzuri sana aise bila kujiongeza bongo hakuna utakachopata.Mkuu, bongo mtu anakubania bila kisa bila sababu, yaani hapendi tu kuona unafanikiwa, si bora kungekuwa na jambo akikubania wewe anapata yeye, hamna, anakubania akijua hunufaiki chochote. Wapo vijana wengi sana wamekwama kwa kubaniwa kwa staili kama hiyo.
Unakuta mtu amepata admission, wakati wakuomba scholarship unatakiwa upate barua ya employer kuthibitisha amekubali uende ukalr nondo, hr gani kwa bongo atakuandikia hiyo barua? Huipati miaka 200.
Mm najiandikia mwenyewe employer statement, logo ya kampuni ninayo, contacts naweka zangu mwenyewe (nina namba kama nne hivi, huku nakuwekea voda hapa nakuwekea airtel). Michakato inaenda. Ukizubaa tu bongo umeliwa. Majitu yana roho mbaya kama kitugani sijui
SEMBEDu KANIKI kawekwa ndani tangu lini mkuu kosa lilikuwa nini?
Nipo hapahapa bongo bado nifight. Haya mambo yalinicost kuweka wazi kwa hr na mabosi wangu, unajua mtu mwingine akiona hata admission tu anakuona bonge la mtu na anawaza huyu jamaa akifanikiwa kutoka akirudi sina changu, mwanangu ilinisumbua sana.Kwahyo kwa sasa upo wapi?km ulifanikiwa kuondoka uliishi vipi wakati hukuwa na mtu unayemjua?
Na je mtu km mimi nahitaji msaada wa namna hiyo utanisaidiaje?Asante
Siwezi mkuu home is the best basi tu hizi shida mkuu
dah! issue ya visa pale ubalozi sio mchezo.., jiandae kifedha upande wa visa application na pia kisaikolojia, kukataliwa visa ndio kukubwa kuliko kupewa hasa kwa vijana. visa zinazotoka bila shida ni aged people kama mama yake huyo aliyekualika. nakutakia mafanikio mema.Siwezi mkuu home is the best basi tu hizi shida mkuu
Inategemea na atakavyo handle interview mkuu... Kitu kikubwa cha kuzingatia ni kuwaonesha mazingira ya kwamba utarudi.dah! issue ya visa pale ubalozi sio mchezo.., jiandae kifedha upande wa visa application na pia kisaikolojia, kukataliwa visa ndio kukubwa kuliko kupewa hasa kwa vijana. visa zinazotoka bila shida ni aged people kama mama yake huyo aliyekualika. nakutakia mafanikio mema.
kuna mtu alipata kusema afrika kazi yetu ni kumshusha mwerevu awe mjinga,nakumbuka nane nane mwaka fulani eastern zone morogoro,kuna ofisi ya serikali ilikua na banda pale, sasa walikua wana miradi ya kilimo kama maonesho pale cha ajabu aliepo pale ni secretary wa ile ofisi hawezi hata kujibu maswali ya kawaida wakati kuna wataalam ambao wange facilitate professionallyWizara ni agent wa scholarahip za nchi nyingi na baadhi ya mashirika. Ukimaliza kufanya online application wanakutaka uprint form zako na baadhi ya docs uzipeleke wizarani. Pale wanafanya nomination. Jamaa wakimaliza mchujo wao huko wanakujulisha kuwa umepita awamu hiyo au umekwama. Kama umepita wanakutaarifu hatua inayofuata. Mara nyingi watu wanakwama hapo hatua ya nomination kutoka waizara yetu pendwa inayolea vilaza
Mkuu, bongo mtu anakubania bila kisa bila sababu, yaani hapendi tu kuona unafanikiwa, si bora kungekuwa na jambo akikubania wewe anapata yeye, hamna, anakubania akijua hunufaiki chochote. Wapo vijana wengi sana wamekwama kwa kubaniwa kwa staili kama hiyo.
Unakuta mtu amepata admission, wakati wakuomba scholarship unatakiwa upate barua ya employer kuthibitisha amekubali uende ukalr nondo, hr gani kwa bongo atakuandikia hiyo barua? Huipati miaka 200.
Mm najiandikia mwenyewe employer statement, logo ya kampuni ninayo, contacts naweka zangu mwenyewe (nina namba kama nne hivi, huku nakuwekea voda hapa nakuwekea airtel). Michakato inaenda. Ukizubaa tu bongo umeliwa. Majitu yana roho mbaya kama kitugani sijui
Mkuu hata nchi za Nordic English sio ishu kama utaingia kwa mlango wao.nilianza purukushani za kwenda USA, UNIVERSITY OF WASHINGTON, nilimeet criteria zote hadi bank statement (ya kukodi) tayari nilikua nayo mkononi walitaka NATIONAL ID kama huna pass,nikawapa, ishu ikaja mitihani yao ya kiingereza hicho tu kikanikwamisha
mitihani miwili TOEFL na GRE hapo inakutoka 1.3M nakufeli kupo kwenye hiyo mitihani nikatulia.
saivi sitaki kusikia kitu kwenda kusoma, elimu nimeiweka kapuni niikitegemea kunitajirisha NITAUMIA. mnaotaka scholarships mjue kuna mitihani ya kiingereza uwe nanyo kwanza tena upate 6.5 out of 9
nasaka kwenda nje kama mtu asie na elimu, kama itatumika, itatumika nje nikifika
Nilichagua nchi ya Luxermburg, ila Malta naona inanivutia sababu ya kiingereza najua nikifanikiwa 6months inatosha kujua lugha tu competent level
mkuu IZZO kama unajua agents niunge nae
Mkuu hata nchi za Nordic English sio ishu kama utaingia kwa mlango wao.
Si lazima ukasome.... Unaweza kwenda tafuta maisha mkuu.mkuu ubaya hizo nchi zinatumia lugha zao hata kwenye websites zao za chuo, changamoto ndipo zinapokuja, but saiv kusoma NIPUMZIKE KWANZA IMETOSHA ZAID YA KUA MASKINI TU, WATUMISHI WA UMMA HUMU KILA SIKU WANALALAMIKA,
Samahani, nilikuwa na mishughuliko kidogo.
Mimi nimesoma Marekani. Naishi Japan.
Kwa wanaotafuta mabinti wa Kijapani, ingia hapa. Wanatangaza kutafuta mchumba. Jaribu bahati yako.
Women Looking For Men