Mkuu, bongo mtu anakubania bila kisa bila sababu, yaani hapendi tu kuona unafanikiwa, si bora kungekuwa na jambo akikubania wewe anapata yeye, hamna, anakubania akijua hunufaiki chochote. Wapo vijana wengi sana wamekwama kwa kubaniwa kwa staili kama hiyo.
Unakuta mtu amepata admission, wakati wakuomba scholarship unatakiwa upate barua ya employer kuthibitisha amekubali uende ukalr nondo, hr gani kwa bongo atakuandikia hiyo barua? Huipati miaka 200.
Mm najiandikia mwenyewe employer statement, logo ya kampuni ninayo, contacts naweka zangu mwenyewe (nina namba kama nne hivi, huku nakuwekea voda hapa nakuwekea airtel). Michakato inaenda. Ukizubaa tu bongo umeliwa. Majitu yana roho mbaya kama kitugani sijui